HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Unatafuta ugomviYehova (real God) Vs Allah (the imaginary arab skygod)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatafuta ugomviYehova (real God) Vs Allah (the imaginary arab skygod)
Saudia na Jordan lazima waseme hivyo, lakini je, wanazuwia makombora? Jonee:Nimeona taarifa saudia na Jordan wamewapiga marufuku houthi kupitisha makombora na drone zao anga zao
Kama ni wewe uliyepo kwenye avatar njoo PM, kuna Oustadh anatafuta mke, tena kama uki convert kuwa muislamu anakupa nyumba.Dogo hujitambui Israel haogopi hao migambo wa Iran, ndg zao Hamas wanashughulikiwa na mko tu hapo karibu nao but hamuwezi kuwasaidia, vita mipasho ndg zangu washia🤣🤣🤣🤣
Hysterical...huko period kweli!?..mkiwa period akili zinakuwaga mbalikwani USA ndie mkuu wao hao Hezbollah hadi wapangiwe na USA? hizi ni gonjera za kuomba huruma kwa raia🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ila wee jamaa ni mpumbavu.Sura ya kazi kuuwa watoto.
Kanyoe upike macaroni,haya siyo mambo yako, ukimaliza tinda nyusi upake wanjaAnayechoka ni nyie maustaadh, ukitaka kujua nchi iliyojizatiti kwa silaha duniani ni Israel, jidanganye coz ujui kilicho nyuma ya pazia wewe, Dunia hii unayoiona ni ya wasomi so nchi za kiarabu haziwezi kumtishia Israel pale ilipo na ndio maana vita zote wamekuwa wakipigwa waarabu😁😁😁😁😁😁😁
Kijana, tunalia kwa miaka 75. Kipi kingine kitulize zaidi?Kikubwa msianze kulialia humu.. Wacha wapigane
Arabs league on ceasefireIla waambie Hao wavaa vipedo na makobazi wenzako wakilianzisha hakuna ceasefire.Hata jumuiya za kimataifa zikipiga kelele.Sijui huruma ya raia wasio na hatia; wanawake na watoto.Manake sasa hivi UN,Qatar, Saudi Arabia,Jordan, Egypt wanadai ceasefire, wapalestina waachwe na Israeli 🇮🇱
Tiger zilikuwa useless kwenye unforgiving environment ya Urusi. Zilikuwa zinafleeze na kukwama kwenye tope. Na zilikuwa chache sana hazikuleta impact kubwa.Zikachemka kwa tiger za Jarumani sio chini ya Erwin Rommel kisanga alikua
[emoji1][emoji1] Nilitegemea kiongozi leo kutangaza kuingia vitani rasm baada ya ile 'ultimatum' kumbe ni hizi blah blah tu zilizo zoeleka siku zote.Kweli ni ya kawaida lakini kamuambia America hizo Carrier's zako hazitutishi, pili tupo kwenye vita inategemea na vita inavyo enda hatuwahidi hatuta piga Israel kutumia missiles na kawapa warning Israel wakivuka mipaka ya kuwauwa civilian Lebanon naye atawauwa civilian wa Israel.
Kawambia Israel hakuna ushindi wa askari wamepata hata mmoja, hio ya kuwauwa wanawake na kuvunja majumba hata nchi ina ndege inaweza kufanya hivyo si lazima uwe na ndege nyingi [emoji1]
Kawambia Israel matekwa hawawezi kuwapata bila kubadilishana na wafungwa wa Palestine sababu hawana uwezo wa kuwakomboa.
Kawambia Israel Hamasi aliuwa wanajeshi tu hao civilian ni jeshi la Israel ndio limewauwa wachunguze na kuhusu watoto pia ni uwongo Hamasi hakuchinja watoto.
Kawambia jeshi la Israel linatumiwa na America na America ndio anapigana hi vita Gaza.
Amesema jeshi la Israel wanadhani kuwauwa wanawake. A watoto ndio watawatia pressure Hamasi hizo ni ndoto tu.
Ningekuwa mpumbavu bi mkubwa wako angenikubali?Ila wee jamaa ni mpumbavu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baada ya hotuba kumalizika sote tuliokuwa tunatazama tukacheka tu.Nilidhani leo ndiyo leo tunaona Kiongozi akiamuru vijana wake wainge vitani badala yake ikawa ni blah blah tupukipa katia mpira kwapani
Tamko kama tamko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kila Mpalestina ni hamas, hilo lisikutie wasiwasi.Nimeona hapa kuna msafara wa ambulance ukielekea Al Shiffa hospital umepiwa rocket, hii piga ua lazima Hamas walikuwemo humo.
Acha kuwadanganya wenzako Hezbollah ni Shia."This decision to launch operation was 100% Palestinian.
They kept it secret and Hamas didn't tell anyone about it. This secrecy is what made October 7 successful.
This secrecy didn't bother us. We congratulated them for keeping it secret and this didn't affect our decision making"
Nasrallah kasema hivyo basi Hamas inawezekana hawana chao. Na confrontation iliyopita kabla ya hii Hamas walifyatua maroketi wakawacontact Hezbollah vizuri alafu baadae Hezbollah chinichini ikapita ikadai haihusiki na mashambulizi yale.
Ninawaza labda Iran anataka aiache Hezbollah ikiwa intact ili imsaidie endapo atavamiwa. Hata hivyo Hezbollah ni Wasuni sidhani kama wataona urahisi kuitetea Iran kuliko PalestinaView attachment 2802781
Mpaka Arabs league wanalaumu UN kushindwa ceasefire 🤔Ni waislam wa Tanzania pekee ndio wanaamini Hamas atashinda hii vita kwengine kote wanaomba siraha ziwekwe chini