LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums

Screenshot_20231102-202738.jpg

Ndugu zako hao walisahau kuvaa pampers wanasikia mabomu wanajinyea tu malinda hakuna
 
Hezbollah sio wanamgambo ni well trained Army, wanajua muda gani wa kupiga na muda gani wa kutulia, kama wamepewa benefit why waendelee na senseless war?

Pia Israel ndio anatumika na sio vice versa, Israel ni Tool of power ya US, ingekuwa ni state ya kiyahudi kama mnavyodanvanyana wasinge tembea mkong'oto kwa Wayahudi wabaofuata dini.
Kudanganyana na nani? Siku hizi mambo yako open tu?. Labda vile unavyotaka uaminiwe wewe. Hivyo vita mtachezea kwa israel
 
Msichokijua akina mwajuma ni kwamba Israel ni sawa marekani. Uliza wataalam wote wa teknorojia na vifaa vya kijeshi marekani ni Wa-israel kiasi kikubwa. Nyuma ya pazia marekani inaongozwa na Israel. Sasa ukisema marekani iliingilia kati. Kwa nini msipige nao wanaoingilia kati?. Au mwajuma ingilieni kati wote sasa hivi muone mnavyozungushwa
Duh.

Na wewe bado unazo hizi hadithi 🤣🤣
 
Kumebakia masaa machache kabla ya mkuu wa Hezbollah kutoa tamko!!Maangamizi yanakuja.

Tumebakiza masaa kadhaa kabla ya Nasrallah mkuu wa Hezbollah kutoa tamko!!

Hili tamko limemfanya hadi Bilinkelin kufanya Israel Israel ijumaa hii Nchi za magharibi, mashariki ya kati, Israel na dunia yote kesho itayaelekeza macho na masikio huko Lebanon kwa mwamba mmoja tu si mwingi ni Bwana Nasrallah mkuu wa kundi la Hezbollah la Lebanon

Tamko la kesho ndo litaamua hatma ya mashariki ya kati na utawala wa kizayuni....Hezbollah wana kila silaha mnayoijua ninyi hakuna silaha ambazo hawana.

Tunakwenda kushuhudia hali ya mambo ikibadilika ndani ya masaa kadhaa yajayo

Tutapeana updates hapa hapa..........View attachment 2801828View attachment 2801829View attachment 2801833View attachment 2801837
Wewe kwa akili yako hao wanamgambo wanaweza kitu.
MWANZO ULISEMA OOOH IDF WANAOGOPA KUINGIA GAZA NA SASA UPO KIMYA🤣🤣😂😂😂
Umehamia kwa mgambo wa kiarabu huko Lebanon.
NB:TOKA 1967 TIMEZOEA NGONJERA ZA WARAABU
 
Hezbollah sio wanamgambo ni well trained Army, wanajua muda gani wa kupiga na muda gani wa kutulia, kama wamepewa benefit why waendelee na senseless war?

Pia Israel ndio anatumika na sio vice versa, Israel ni Tool of power ya US, ingekuwa ni state ya kiyahudi kama mnavyodanvanyana wasinge tembea mkong'oto kwa Wayahudi wabaofuata dini.
Mgambo tu na mbona hawajachukua hata sentimita moja ya nchi ya wayahudi
 
Kumebakia masaa machache kabla ya mkuu wa Hezbollah kutoa tamko!!Maangamizi yanakuja.

Tumebakiza masaa kadhaa kabla ya Nasrallah mkuu wa Hezbollah kutoa tamko!!

Hili tamko limemfanya hadi Bilinkelin kufanya Israel Israel ijumaa hii Nchi za magharibi, mashariki ya kati, Israel na dunia yote kesho itayaelekeza macho na masikio huko Lebanon kwa mwamba mmoja tu si mwingi ni Bwana Nasrallah mkuu wa kundi la Hezbollah la Lebanon

Tamko la kesho ndo litaamua hatma ya mashariki ya kati na utawala wa kizayuni....Hezbollah wana kila silaha mnayoijua ninyi hakuna silaha ambazo hawana.

Tunakwenda kushuhudia hali ya mambo ikibadilika ndani ya masaa kadhaa yajayo

Tutapeana updates hapa hapa..........View attachment 2801828View attachment 2801829View attachment 2801833View attachment 2801837
Hizboollah ni kati ya makundi ya kigaidi ambao ni waoga wa kiwango cha lami.....
hawawezi fanya kitu kazi yao ni kubwekabweka tu
 
Kumebakia masaa machache kabla ya mkuu wa Hezbollah kutoa tamko!!Maangamizi yanakuja.

Tumebakiza masaa kadhaa kabla ya Nasrallah mkuu wa Hezbollah kutoa tamko!!

Hili tamko limemfanya hadi Bilinkelin kufanya Israel Israel ijumaa hii Nchi za magharibi, mashariki ya kati, Israel na dunia yote kesho itayaelekeza macho na masikio huko Lebanon kwa mwamba mmoja tu si mwingi ni Bwana Nasrallah mkuu wa kundi la Hezbollah la Lebanon

Tamko la kesho ndo litaamua hatma ya mashariki ya kati na utawala wa kizayuni....Hezbollah wana kila silaha mnayoijua ninyi hakuna silaha ambazo hawana.

Tunakwenda kushuhudia hali ya mambo ikibadilika ndani ya masaa kadhaa yajayo

Tutapeana updates hapa hapa..........View attachment 2801828View attachment 2801829View attachment 2801833View attachment 2801837
nyie mafala halafu baadae mje tena na #freepalestine
mnaanza choko choko nasema mpigwe tu mpaka mchakae!
 
Hamas wana ndege siku hizi😂
Unaweza ID hiyo vehicle iliyoshambuliwa na lini imeanza kutumiwa na IDF ground forces.

Na hivi huoni hiyo attack ni ya ndege. Na huoni hiki unachoonyesha hapa ni tofauti na kile ulichoonyesha pale kwenye video iliyopita.
Tatizo lako unajifanya unajua kila kitu😂
 

Attachments

  • twidown.mp4
    17.6 MB
Hapo hamna kitu bomu limefanya, tank armour inabidi kuwa penetrated sio kuwekewa blast. Na hakuna anayeogopa kupigana nao, ndio maaana wamefuatwa. Unamuogopaje mtu alafu unaenda kwake kumpiga.
Angalia jamaa zako wahaamisha vifaru baada ya bakora😂
 

Attachments

  • twidown.mp4
    527.2 KB
Hukujibu swali kwanini pope aruhusu hawa watu kuingia kanisani wakati biblia imekataza?

Point ni kwamba wanataka kuharibu kanisa ili hili jambo lionekane kawaida, ili kuwapata wengi zaidi.

Unaona nguvu kubwa inayotumika katika kueneza LGBTQ? ulikaa ukajiuliza kama hii nguvu ingekuwa kwenye kulitangaza neno la Mungu dunia ingekuwa wapi sasa?

Pope amekwenda far zaidi mpaka kufungisha ndoa hawa watu, ndugu yangu unashindwa kung’amua Agenda za hawa watu na huu ulimwengu??

Leo kanisa linageuka kuwa sehemu ya kufungisha ndoa za jinsia moja?? Dunia ipo mwishoni na Pope ndo Anti-christ mwenyewe “666” hatujui nani ameandaliwa ila ndo ukweli.

Na bible imeandika wazi atakuja kwa kificho cha Dini na atapoteza watu wengi sana watakao mfuata “RC church”
Cha kushangaza Mungu ndiyo kamuumba huyo mnyama ili apate sababu ya kuwachoma watu aliowaumba, hivi huwa najiuliza Kwanini Mungu alituumba???????
 
🚨BREAKING: ATTACK FROM IRAQI TERRITORY ONTO ISRAEL | FIRST TIME SINCE 1990s

ISLAMIC RESISTANCE IN IRAQ SHOOTS ISRAELI TARGETS IN DEAD SEA

STATEMENT BY THE ISLAMIC RESISTANCE IN IRAQ:

"In the name of God, the most gracious, the most merciful

Permission has been given to those who fight because they have been wronged. And indeed, God is Able to grant them victory

In support of our people in Gaza, and in response to the massacres committed by the usurping entity against Palestinian civilians, including children, women and the elderly, the Mujahideen of the Islamic Resistance in Iraq targeted, at dawn today, a vital target for the Zionist entity on the coast of the Dead Sea. The Islamic Resistance confirms that it will continue to destroy enemy strongholds.

Victory is only from God. Indeed, God is Mighty, All-Wise"

MY THOUGHTS:

With the Houthis launching missiles against Israel and threatening more, constant attacks on US bases, warnings by Iran and their proxies, and the reports that Hezbollah and Iran warned U.S that Israel must cease attacks by Friday, this is yet another example of escalations by the 'Axis of Resistance.'

With the report of Netanyahu considering a 'temporary truce', seems Iran is pressuring Israel to pause hostilities otherwise they will escalate.

Things are heating up.

Source: Hezbullah TG
 
Mkuu unaweza ukafagia taarifa mtandaoni ukajiona mtafiti mkubwa kumbe ni layman tu, watoto wa israeli waliamrishwa na allah kuingia ardhi takatifu ya palestina wakati wa nabii musa amani iwe juu yake, na walikataa wakapewa adhabu ya kuzurura jangwani kwa miaka 40, mpaka kile kizazi chote kilichogoma kikaisha ndipo sasa yoshua mwana wa nuun amani iwe juu yake, akaingia kupigana vita na jeshi la wana wa israeli, na akawaingiza kwenye ardhi yao waliyoandikiwa.

Baada ya hapo zikapita karne kadhaa na hatua kadhaa za utawala wao na kuwa kwao kwenye neema na walipoenda kinyume na maamrisho, wakatolewa tena kwenye ardhi hiyo na wakageuzwa watumwa, na mitume wakafuatia wengi mpaka kina nabii sulaymaan amani iwe juu yake walipokuja.

Historia ni ndefu, ila chukua point kuwa hiyo ardhi hawakuandikiwa milele, na pia allah aliwafadhilisha wayahudi juu ya wanadamu wote wa wakati wao! kwa sasa waliofadhilishwa sio wao tena.
Hoja fikirishi hii...

zitto junior
 
Jeshi la mungu nlipambana na magaidi.
 

Attachments

  • IMG_5753.jpeg
    IMG_5753.jpeg
    81.6 KB · Views: 5
Cheka na hii..

Mtaokoteza mapicha ila sisi tunafuatilia live, na kuna mapicha ukiangalia kule Telegram aisei utalipuka mabomu....
Hivi leo mliandamana na mikanzu yenu?
 
BREAKING: HAMAS SENDS MESSAGE TO FAMILIES OF ISRAELI PRISONERS - THEIR GOVERNMENT REJECTED A PRISONER EXCHANGE

"We offered your government a prisoner exchange, but it did not accept

This is our message: the release of all prisoners in exchange for the release of all Palestinian prisoners

To know the condition of all your prisoners, stay in touch with us"
Ukiona hivi ujue maji yamefika shingoni IDF piga mbwa hao .
 
Back
Top Bottom