LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Sasa ww akili kama kisoda ubapigana na kakundi kasichokuwa na silaha zozote za maan ndo mnasifia tena kwa kuchangia na marekani , mkipigana na nchi yenye air supreme yoyote mbona kazi mtakuwa nayo

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Wale walioungana wakapigwa kwa siku 6 hawakuwa na silaha?
 
Yani mtu anayetaka kujiua huwa anasubiria ruhusa ya mtu mwingine? Waende tu wakapigane.
 
Ijapo watu elfu waanguka ubavuni pako. Naam, kumi elfu mkono wako wa kuume! Hata hivyo hautakukaribia wewe. [Zaburi 91:7].
Watu wale wana ahadi, mkono wa Yehova upo juu yao.
Dini ni ujinga uliokomaa
 
"......sema: hakika allah haamrishi mambo machafu, je mnamsemea allah yale msiyoyajua?.."

Qur'an 7:28
Unataka kuniambia kuna mambo binadamu anafanya Allah hajui, kama Allah aliumba kila kitu na anajua kila kitu mpaka kitakachotokea baada ya kiama, kama Allah ndiye aliyepanga kila kitu na vitu vinatokea Kwa kuwa tu ameruhusu kama hajaruhusu hicho kitu hakuwezi kutokea sasa Allah si anahusika na kila kitu hadi mauaji yanayotokea hapo palestina????


Labda uniambie kuwa Allah Hana uwezowa kuona Jambo lolote litakalokuja kutokea na yeye anakuja kujua Jambo Fulani Kwa baada ya tukio kutokea
 
Tutaharibu uzi wa watu, ukipata mahali pana uzi unaohusiana nitag nitakupatia majibu mkuu.
 

Nov 10, 2023 07:41 UTC

Msemaji wa Saraya al-Quds, tawi la kijeshi la Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesema, adui yetu anayejaribu kusonga mbele anaionja ladha ya maumivu ndani ya vifaru vyake ambavyo vimegeuka kuwa majeneza yanayotembea.

Brigedi za Shahidi Izzuddin Al-Qassam, tawi la kijeshi la harakati ya Hamas, zilitangaza jana kuwa katika siku ya 34 ya operesheni ya Kimbunga ya Al-Aqsa, zinaendelea kuzishambulia zana za kivita za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.

Al-Qassam ilitangaza kuwa imeshambulia kwa maroketi aina ya Yaasin 105 kifaru kimoja cha jeshi la Israel katika eneo la Al-Tawam kaskazini-magharibi mwa mji wa Gaza, kifaru kingine kaskazini mwa Al-Sheikh Ridhwan, na magari 3 ya kijeshi na buldoza moja la jeshi la utawala huo ghasibu karibu na kambi ya Shat'ii.

Image Caption
Kwa mujibu wa IRNA, Abu Hamza, msemaji wa Sarayal-Quds tawi la kijeshi la Harakati ya Jihadul-Islami, alieleza hapo jana katika hotuba aliyotoa kuhusiana na vita vya Gaza: "kwa siku nyingi adui yetu amekuwa akisonga mbele kuelekea Gaza kutokea pande kadhaa lakini amekuwa akipata vipigo".

Abu Hamzah ameongezea kwa kusema, "sisi ni sehemu isiyotenganishika na operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa na tuko bega kwa bega na wapiganaji wa Brigedi za Al-Qassam katika avita dhidi ya adui Mzayuni".

Katika upande mwingine Hizbullah ya Lebanon imetangaza katika taarifa kwamba imeviteketeza vifaru viwili vya Merkava vya utawala wa Kizayuni katika eneo la al-Mutla kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu na wote waliokuwamo ndani ya vifaru hivyo wameuawa au kujeruhiwa.../
 
Hehehehe wakimbizi nchi walishaichukua zamani. Bila aibu leo mnajisifu.
 
Mi hawa jamaa sometimes naonaga kama mazuzu flan. Hiv kweli waarabu wanawaua waafrica waislamu hapo Darfur Sudan na hawasemi kitu ila mwarabu ni watoto wa mtume hawastahili kuuawa.
 
Na mkiwaweza israel kwa roho zenu za kigaidi mtaanza kuyataman mataifa mengine ya kikrosto mwisho mtaaribu dunia yote.Hamtakiw kushinda
 
hii uliiandika November 2, leo hii i november 10, hayo masaa machache yameisha? israel wenyewe wanatamani hiyo opportunity ili wapate sababu. wajaribu waone;
 
KIMSBOY??
VIPI HIZO SAA CHACHE ZA KUIMBA NGONJERA NI MPAKA MWAKANI AU??
 
Meza vidonge vyako vya kupunguza hiyo dementia ya kiakili uliyonayo ,then vua nenda kamkumbatie mmeo
Sina muda wa kujibizana na mataahira kama wewe
 
Meza vidonge vyako vya kupunguza hiyo dementia ya kiakili uliyonayo ,then vua nenda kamkumbatie mmeo
Sina muda wa kujibizana na mataahira kama wewe
unawaza ujinga ndugu. kama una tabia za kukumbatia wanaume wenzio ni wewe, manake naona umeng'ang'ania sana, pengine ndio mchezo wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…