Ni nini hiiHhhhh tukubali tu leo Israel kapokea kichapo, na kama sio air supremacy, wakelambwa wengi sana.
Hakuna aliye mkamilifuNitashangaa sana kama Netanyahu hatamfuta kazi Spy Chief wa sasa pale Mossad. Uzembe ulioje huu.
Meir Dagan is rolling in his grave.
Bwasheh naona ligi mpya tayariNetanyahu awaita Wapinzani kuunda serikali ya Mseto kwa dharura!
Waambie Wenzako hapo siyo mnakimbilia ruzuku tu
Bwashee mimi nataka Amani tu!Bwasheh naona ligi mpya tayari
We hapo team gani [emoji1]
Ova
Naona leo hisia zako zimejeruhiwa.Netanyahu awaita Wapinzani kuunda serikali ya Mseto kwa dharura!
Waambie Wenzako hapo siyo mnakimbilia ruzuku tu
Hivi yule mzee wa wapigwe tu huku kwetu akiona yanayoendelea huko ME atarudia tena kutamka maneno yale!!!wapigwe tu.
Mkitaka Waisraeli tuache kupambana na Palestina mnaowatetea Kutwa waambieni Iran, Iraq na Lebanon waache kuwa nyuma yao la sivyo Siku si nyingi dunia itakuwa haina Taifa liitwalo Palestina sawa?Binafsi ningekuwa na uwezo wa kuwashauri wahusika, ushauri wangu ungekuwa mgumu sana. Taifa moja hapo liteketezwe, ama makusudi au waachwe wapigane mpaka tone la mwisho.
Vita imeshaua watu wengi sana duniani, hii yao haimshangazi mtu hata wakifa wote itakuwa ni sawa kabisa. Kwa sababu wameshindwa ku coexist, hakuna namna. Hatuan pa kuwapeleka, hakuna ardhi isiyo na mwenyewe. na hakuna sayari mbadala.
Gaidi ni mtu Hatari sana aisee!Naona leo hisia zako zimejeruhiwa.
You are fighting with people who love death more that you love to live,Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wetu Mpendwa Major General Ariel Sharon ( 1928 - 2014 ) alituachia Waisraeli huu Msemo wake wa Kishujaa usemao..."OUR DOCTRINE IS THAT THERE'S NO MISSION WE CAN'T ACCOMPLISH"... ambao ndiyo umekuwa Silaha yetu na Morali toshelezi Kwetu dhidi ya Wahuni na Wachokozi kama hawa Hamas wa Palestina, Iran na Lebanon.
Tumeshalipua tayari Ghorofa Kubwa lenye Wapalestina wengi na tumeshakamilisha Umafia wa Kuwakatia Umeme na sasa tunamalizia Kuiteka Rada yao ya Anga na Baharini ili kisitoke na kisijngie Kitu na baada ya hapo tunataka tutoe Funzo Tukuka kwa Wapalestina, Waarabu, Dunia na Wachokozi wote kuwa kama ambavyo ukiwa hapa JamiiForums hupashwi Kucheza na GENTAMYCINE basi hata hapa duniani pia hupashwi Kucheza na Taifa Teule la Mwenyezi Mungu la Israel.
Premier Netanyahu iteketeze Palestine.
Tumeshajua walipo Hamas hivyo tunaenda Kuwafuta na Kufuta kabisa Kizazi chao chote huko huko waliko.Hata Israel akiuwa watu wote wa gaza Hamas haitokufa na wataendelea kuwasumbua
Sasa nimeelewa kwa nini Tanganyika tumeamua kuwapa umeme Zanzibar, na hata wakati mwingine kufuta madeni ya bills zaoIsrael yawakatia Umeme Palestine
Absolutely, why not?! Wapigwe tu. Kuwaamua kila siku ni ujinga waachwe watandikane mpaka mshindi ajulikane. Anayepigwa na apigwe tu.Hivi yule mzee wa wapigwe tu huku kwetu akiona yanayoendelea huko ME atarudia tena kutamka maneno yale!!!
πππππ Ok bwana naomba mnisameheMkuu naomba uwaheshimu wavuta bangi, nazani hawahusiki kwenye huu mjadala, wewe kama umeona alichoongea sio sahihi ungemrekebisha kwa kumueleza usahihi ni upi.
Waachwe wapigane na yeyote anayetaka kupigana aende vita haina mwenyewe, who cares nani anapigana. Waachwe wapigane watu wazima hao. Ni ujinga kuwaingilia. Iran, Iraq, Lebanon, na yeyote anayetaka aende wachapane tupate mshindi period.Mkitaka Waisraeli tuache kupambana na Palestina mnaowatetea Kutwa waambieni Iran, Iraq na Lebanon waache kuwa nyuma yao la sivyo Siku si nyingi dunia itakuwa haina Taifa liitwalo Palestina sawa?
Ni uwezo wa kuthibiti anga, yani kam vile kuwa na satellite, ndege za kivita , drone na mifumo ya ulinzi ya anga ambayo inanguvu kuliko aduiNi nini hii
Revenge against the Fools and Killers is one of our great doctrine so you wait and see what unforgettable Lesson We're going to teach the Hamas, Palestines and the Arabs.You are fighting with people who love death more that you love to live,
Palestinians has been killed for years, no amount of death is new to them.
It is exciting news because you jews never used to this, nor did you know how exactly does it feel.
Whatever you're going to throw but the lesson has been learned, π΅πΈπ΅πΈπ΅πΈπ΅πΈπ΅πΈ
Ingawa nimefurahi waisrael kunyooshwapo kwa lile pigo, maana walijusahau sana. Ila kwa kweli Hamas wamesa kabisa akili, nadhani walikua wanawaza kupata picha za kutupia huko X pia TikTok, katika hawakujua kabisa kuwa wanajichimbia kaburi, na hakuna mamlaka yoyote itakayotoa wito hata Israel aweze ku back off.Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wetu Mpendwa Major General Ariel Sharon ( 1928 - 2014 ) alituachia Waisraeli huu Msemo wake wa Kishujaa usemao..."OUR DOCTRINE IS THAT THERE'S NO MISSION WE CAN'T ACCOMPLISH"... ambao ndiyo umekuwa Silaha yetu na Morali toshelezi Kwetu dhidi ya Wahuni na Wachokozi kama hawa Hamas wa Palestina, Iran na Lebanon.
Tumeshalipua tayari Ghorofa Kubwa lenye Wapalestina wengi na tumeshakamilisha Umafia wa Kuwakatia Umeme na sasa tunamalizia Kuiteka Rada yao ya Anga na Baharini ili kisitoke na kisijngie Kitu na baada ya hapo tunataka tutoe Funzo Tukuka kwa Wapalestina, Waarabu, Dunia na Wachokozi wote kuwa kama ambavyo ukiwa hapa JamiiForums hupashwi Kucheza na GENTAMYCINE basi hata hapa duniani pia hupashwi Kucheza na Taifa Teule la Mwenyezi Mungu la Israel.
Premier Netanyahu iteketeze Palestine.