LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Binafsi ningekuwa na uwezo wa kuwashauri wahusika, ushauri wangu ungekuwa mgumu sana. Taifa moja hapo liteketezwe, ama makusudi au waachwe wapigane mpaka tone la mwisho.
Vita imeshaua watu wengi sana duniani, hii yao haimshangazi mtu hata wakifa wote itakuwa ni sawa kabisa. Kwa sababu wameshindwa ku coexist, hakuna namna. Hatuan pa kuwapeleka, hakuna ardhi isiyo na mwenyewe. na hakuna sayari mbadala.
 
Binafsi ningekuwa na uwezo wa kuwashauri wahusika, ushauri wangu ungekuwa mgumu sana. Taifa moja hapo liteketezwe, ama makusudi au waachwe wapigane mpaka tone la mwisho.
Vita imeshaua watu wengi sana duniani, hii yao haimshangazi mtu hata wakifa wote itakuwa ni sawa kabisa. Kwa sababu wameshindwa ku coexist, hakuna namna. Hatuan pa kuwapeleka, hakuna ardhi isiyo na mwenyewe. na hakuna sayari mbadala.
Mkitaka Waisraeli tuache kupambana na Palestina mnaowatetea Kutwa waambieni Iran, Iraq na Lebanon waache kuwa nyuma yao la sivyo Siku si nyingi dunia itakuwa haina Taifa liitwalo Palestina sawa?
 
Mnamo Septemba Rais Joe Biden alitoa USD 6 Bilion kwa Serikali ya Iran kama fidia kwa mateka wa Kimarekani wenye asili ya Iran waliokuwa wanashikiliwa Tehran. Duru mbalimbali zinahisi hizo fedha zimetumika kuifadhili Hamas iweze kurusha makombora ndani ya Israel.

Huo ni udhaifu mwingine wa Joe Biden baada ya kukoroga kule Iran mwaka 2022
Screenshot_20231007_223821_Chrome.jpg
 
Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wetu Mpendwa Major General Ariel Sharon ( 1928 - 2014 ) alituachia Waisraeli huu Msemo wake wa Kishujaa usemao..."OUR DOCTRINE IS THAT THERE'S NO MISSION WE CAN'T ACCOMPLISH"... ambao ndiyo umekuwa Silaha yetu na Morali toshelezi Kwetu dhidi ya Wahuni na Wachokozi kama hawa Hamas wa Palestina, Iran na Lebanon.

Tumeshalipua tayari Ghorofa Kubwa lenye Wapalestina wengi na tumeshakamilisha Umafia wa Kuwakatia Umeme na sasa tunamalizia Kuiteka Rada yao ya Anga na Baharini ili kisitoke na kisijngie Kitu na baada ya hapo tunataka tutoe Funzo Tukuka kwa Wapalestina, Waarabu, Dunia na Wachokozi wote kuwa kama ambavyo ukiwa hapa JamiiForums hupashwi Kucheza na GENTAMYCINE basi hata hapa duniani pia hupashwi Kucheza na Taifa Teule la Mwenyezi Mungu la Israel.

Premier Netanyahu iteketeze Palestine.
You are fighting with people who love death more that you love to live,
Palestinians has been killed for years, no amount of death is new to them.

It is exciting news because you jews never used to this, nor did you know how exactly does it feel.

Whatever you're going to throw but the lesson has been learned, 🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸
 
Mkitaka Waisraeli tuache kupambana na Palestina mnaowatetea Kutwa waambieni Iran, Iraq na Lebanon waache kuwa nyuma yao la sivyo Siku si nyingi dunia itakuwa haina Taifa liitwalo Palestina sawa?
Waachwe wapigane na yeyote anayetaka kupigana aende vita haina mwenyewe, who cares nani anapigana. Waachwe wapigane watu wazima hao. Ni ujinga kuwaingilia. Iran, Iraq, Lebanon, na yeyote anayetaka aende wachapane tupate mshindi period.
 
You are fighting with people who love death more that you love to live,
Palestinians has been killed for years, no amount of death is new to them.

It is exciting news because you jews never used to this, nor did you know how exactly does it feel.

Whatever you're going to throw but the lesson has been learned, 🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸
Revenge against the Fools and Killers is one of our great doctrine so you wait and see what unforgettable Lesson We're going to teach the Hamas, Palestines and the Arabs.
 
Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wetu Mpendwa Major General Ariel Sharon ( 1928 - 2014 ) alituachia Waisraeli huu Msemo wake wa Kishujaa usemao..."OUR DOCTRINE IS THAT THERE'S NO MISSION WE CAN'T ACCOMPLISH"... ambao ndiyo umekuwa Silaha yetu na Morali toshelezi Kwetu dhidi ya Wahuni na Wachokozi kama hawa Hamas wa Palestina, Iran na Lebanon.

Tumeshalipua tayari Ghorofa Kubwa lenye Wapalestina wengi na tumeshakamilisha Umafia wa Kuwakatia Umeme na sasa tunamalizia Kuiteka Rada yao ya Anga na Baharini ili kisitoke na kisijngie Kitu na baada ya hapo tunataka tutoe Funzo Tukuka kwa Wapalestina, Waarabu, Dunia na Wachokozi wote kuwa kama ambavyo ukiwa hapa JamiiForums hupashwi Kucheza na GENTAMYCINE basi hata hapa duniani pia hupashwi Kucheza na Taifa Teule la Mwenyezi Mungu la Israel.

Premier Netanyahu iteketeze Palestine.
Ingawa nimefurahi waisrael kunyooshwapo kwa lile pigo, maana walijusahau sana. Ila kwa kweli Hamas wamesa kabisa akili, nadhani walikua wanawaza kupata picha za kutupia huko X pia TikTok, katika hawakujua kabisa kuwa wanajichimbia kaburi, na hakuna mamlaka yoyote itakayotoa wito hata Israel aweze ku back off.

Ukiisikiliza hii clip, utagundua huu mpango una ufadhali wa mataifa mengi ya ya maeneo hayo, hilo kosa ni kubwa sana kwani wapelestina watalazimika kupakimbia Gaza na kuelekea Ramallah ambako kule napo wengi watazuiwa kwani Ramallah hawataki kabisa kuhusishwa na hili, hivyo kutotaka msala uhamishiwe kwao. Ndiyo kwanza wapalestina wa Ramallah watalazimika kufunga njia za kutokea Gaza.
 
Back
Top Bottom