LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Na hapo usisahau usa naye yupo ground anasaidia lakini wanapata tabu na kikundi cha mgambo ndio maana netanyahu mashambulizi ya hezbollah anayavumilia anajua akilianzisha kule patakuwa hapakaliki
Wanalambishwa sana mchanga
 
Ndo nini sasa ulichoscreenshot? Sijaelewa uhusiano wake na kinachoongelewa hapa.
 
Kumekua na mrundikano wa vifaru na magari mengi ya Israel yaliyokutana na kipigo (ambush) katika jiji la Gaza..

[emoji298]Israeli vehicles destroyed in Gaza ambush - local mediaView attachment 2812926
vita haina macho kikubwa ubao unasoma vzr upande wa nan? sidhan kama dhamira ya hamas ilikiwa kulipua vifaru vnne tu
 
Mabikira wenyewe wapo basi?[emoji3][emoji3][emoji3]
 
A picture shows a large number of damaged and destroyed Israeli tanks, armored vehicles, and bulldozers near Al-Shifa Hospital in Gaza.

As the IRGC commanders said, the Palestinians are prepared for a long-term war and have always hoped that Israel would invade Gaza.
 
Sasa Mkuu kumiliki jengo la bunge ndo kuiangamiza hamas mbona haueleweki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…