Kuna habari tatu za kushangaza sana kwenye hii vita;
1) Wanajuwa kabisa wanpigwa kuytokea wapi na wanatuma ndege za kivita kwenda kupiga na makombora ya mbali (missiles) lakini cha kushangaza wakienda walipopiga wanapigwa wao.
2) Maaskari wa kizayuni wanaotoka Ghaza wengi wanarudi kwa kupatwa na majanga ya kupiga kelele hovyo na kuona, majegajega, vitu ambavyo wengine hawavioni (hallucinations), askari mmoja kasema alikuwa kwenye kifaru kikapigwa akawahi kutoka, akaona kazungukwa na vifaru zaidi 20 akwa anapiga kelele niwachieni maisha yangu, naondoka sirudi " anasema "wakniwachia". Cha kushangaza ni kuwa wapalestina hawana kifaru hata kimoja.
3) Wayahudi wanapigana na majeshi makundi kwa makundi lakini wanayaona wao tu.
Sasa hivi mazayuni wanachukuwa wanajeshi wa kulipwa (merceneries) kutokea dunia nzima, wanawalipa Dollar 4,0000 kwa wiki.
View attachment 2813095