LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Niliona shambulizi walilofanyiwa IDF na Hamas kaskazini mwa Beit Hanoun linatafakarisha na kusikitisha sana.

Jeshi la anga la Israel linaonekana lipo vizuri. Ila wanajeshi wa Israel hususani wa ardhini kama hawana morali na vita.

Mbali na hilo kuna changamoto nyengine ambayo ni nzito sana kwa Israel.

Changamoto hiyo ni upande waliyopakana na Lebanon wanapigana na Hizbullah pasipo kutangaziana vita. Yaani kimya kimya!

Sina lengo baya: Ila wanajeshi wa Israel wanauliwa kizembe sana. Kwa siku ya jana tu Hebrew media imeripoti takribani wanajeshi 21 wa IDF wamejeruhiwa. Jana wameuliwa wanajeshi 8.

Sasa Israel anatumia mbinu ya kulipua maeneo ya raia ili kuwe na tension baina ya raia na serikali. Kapiga maeneo ya raia Lebanon.

Hizbullah naye kajibu mapigo tena! Naye kapiga Dovev kwenye makazi ya raia huko Israe. Hizbullah imwambka ukipiga makazi ya raia na sisi tunapiga makazi ya raia. Matokeo yake Dovev raia 14 wamekufa.
 
Kuna habari tatu za kushangaza sana kwenye hii vita;

1) Wanajuwa kabisa wanpigwa kuytokea wapi na wanatuma ndege za kivita kwenda kupiga na makombora ya mbali (missiles) lakini cha kushangaza wakienda walipopiga wanapigwa wao.

2) Maaskari wa kizayuni wanaotoka Ghaza wengi wanarudi kwa kupatwa na majanga ya kupiga kelele hovyo na kuona, majegajega, vitu ambavyo wengine hawavioni (hallucinations), askari mmoja kasema alikuwa kwenye kifaru kikapigwa akawahi kutoka, akaona kazungukwa na vifaru zaidi 20 akwa anapiga kelele niwachieni maisha yangu, naondoka sirudi " anasema "wakniwachia". Cha kushangaza ni kuwa wapalestina hawana kifaru hata kimoja.

3) Wayahudi wanapigana na majeshi makundi kwa makundi lakini wanayaona wao tu.

Sasa hivi mazayuni wanachukuwa wanajeshi wa kulipwa (merceneries) kutokea dunia nzima, wanawalipa Dollar 4,0000 kwa wiki.

View attachment 2813095
Sikuwai kudhani we kibibi ni mpumbavu kiasi hiki.
Kakojoe ulale
 
Sikuwai kudhani we kibibi ni mpumbavu kiasi hiki.
Kakojoe ulale
Unafahamu kuwa idf wameanza kuchukuwa askari wa kukodi?

Kawahi kazi ya dollar 4,000 kwa wiki, hizo ni sawa na million 10 za Tanzania kwa wiki, unangoja nini?
 
F-0wgOXXIAA4NAq.jpeg

Inaonekana hamas wangekuwa na support kidogo tu Israel wangepata tabu sana.
 
View attachment 2813132
Inaonekana hamas wangekuwa na support kidogo tu Israel wangepata tabu sana.
Unataka kusema hawana support? Hiyo ni kawaida ya vikundi vya kigaidi vinavyoshambulia kwa kuvizia haina tofauti na Alshabaab kule Somalia, Boko Haram Nigeria na ISIS kule middle east pamoja na Taliban Afghanistan, huwez kuwakuta Wana ndege za kivita, vifaru nk ila wamejizatiti kwahiyo unapopambana nao usipokuwa makini watasababisha hasara kubwa.,
 
Unataka kusema hawana support? Hiyo ni kawaida ya vikundi vya kigaidi vinavyoshambulia kwa kuvizia haina tofauti na Alshabaab kule Somalia, Boko Haram Nigeria na ISIS kule middle east pamoja na Taliban Afghanistan, huwez kuwakuta Wana ndege za kivita, vifaru nk ila wamejizatiti kwahiyo unapopambana nao usipokuwa makini watasababisha hasara kubwa.,
Taliban ndo wnaongoza nchi kule Afganistan. Ndo wenye Serikali. wanamili hadi ndege za kisasa za kivita zilizotelekezwa na Jeshi la US wakati linaondoka Afganistan.
 
Taliban ndo wnaongoza nchi kule Afganistan. Ndo wenye Serikali. wanamili hadi ndege za kisasa za kivita zilizotelekezwa na Jeshi la US wakati linaondoka Afganistan.
Kabla majeshi ya US hayajaondoka Taliban walikuwa wanamiliki nini?
 
Kabla majeshi ya US hayajaondoka Taliban walikuwa wanamiliki nini?
Walikuwa wanamiliki vifaru, ndege vita na silaha zote kali unazosisikiaga. Kumbuka Taliban walikuwa wakiongoza AFGANISTAN KWA MIONGO MINGI KAMA sERIKALI KAMILI. Hivyo katika miaka yote ya uvamizi qwa US walikuwa hawajasarenda solaha zao na kambi zao milimani. Pia kumbuka Taliban walikuwa wakipata silaha kutoka RUSIA, IRAN na kutoka nchi nyingine zenye mrengo tofauti na US. Taliban siyo kama Alshabab na Boko haram. Taliban ni jeshi kamili kama ilivyo kwa Hizbullah. Taliban ni zaidi ya WEGNER maana Wegner haina Serikali lakini Taliban ilikuwa na Serrikali kamili na sasa ina Serikali kamili.
 
Huna unachokielewa.
Walikuwa wanamiliki vifaru, ndege vita na silaha zote kali unazosisikiaga. Kumbuka Taliban walikuwa wakiongoza AFGANISTAN KWA MIONGO MINGI KAMA sERIKALI KAMILI. Hivyo katika miaka yote ya uvamizi qwa US walikuwa hawajasarenda solaha zao na kambi zao milimani. Pia kumbuka Taliban walikuwa wakipata silaha kutoka RUSIA, IRAN na kutoka nchi nyingine zenye mrengo tofauti na US. Taliban siyo kama Alshabab na Boko haram. Taliban ni jeshi kamili kama ilivyo kwa Hizbullah. Taliban ni zaidi ya WEGNER maana Wegner haina Serikali lakini Taliban ilikuwa na Serrikali kamili na sasa ina Serikali kamili.
 
Huna unachokielewa.
Wewe ndo huelewi. Kuwa na free mind ndo unaweza kujua ukweli wa mambo. Jeshi la marekani ahiwezi kuwakimbia wana mgambo wasio na silaha. Kumbuka lengo la marekani kuivamia Afghanistan ni kuitoa Taliban na mwaka juzi wanaondoka wameikabidhi ten nchi kwa Taliban.
 
Hawajifichi shimoni Tena,unataka tuwaamini Israel!?.. Israel hawaaminiki,waongo tangu zamani,Sasa hivi wamepunguza idadi ya wahanga wa shambulio la Hamas kwa 200+,kuhusu kuchinja watoto ilikua uwongo tu hawana ushahidi,kombora lilitua hospital halikua la Hamas ni lao,bado unawaamini!?
Aisee kumbe mpo ambao kusoma kuna wapa shida sana eeh?

Wapi nimeandika wanajificha shimoni?
 
Mfalme wa Uingereza Charles III ndio Mkuu wa Kanisa la Anglikana kwa sasa na nchi yake inasadikiwa kuwa na Waislamu Wengi zaidi barani Ulaya

Uingereza imejikuta ikiwa mdau muhimu kwenye Vita ya Israel na Palestine kuliko yenyewe ilivyojikadiria

Tuzidi kuwaombea!
 
Back
Top Bottom