Afghanistan. Their Mother landKabla majeshi ya US hayajaondoka Taliban walikuwa wanamiliki nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afghanistan. Their Mother landKabla majeshi ya US hayajaondoka Taliban walikuwa wanamiliki nini?
Mkuu,Karibu sana kwa Yesu,unakuwa na amani sana moyoni hata kama ukiwa huna pesa za kutosha,huko uliko utachomwa vibaya sana.Sikitumwa Ila Kwa kondoo waliopotea wa Israel....kila goti litapigwa na ulimi kukiri ya kwamba wewe ndiye Mungu mkuu na yesu 'uliyemtuma'....nitahukumu makabila kumi na mawili ya Israel..je waweza chukua chakula Cha watoto na kumpa mbwa!?
Yesu hanihusu,ni WA waisrael waliopotea,Mimi mheheMkuu,Karibu sana kwa Yesu,unakuwa na amani sana moyoni hata kama ukiwa huna pesa za kutosha,huko uliko utachomwa vibaya sana.
Nimenawa mikono lakini elewa kuwa bila Yesu umepotea mazima na upo katika uangamivu mkubwa.Yesu hanihusu,ni WA waisrael waliopotea,Mimi mhehe
TUsubirie watakavyolaanisasaivi Hamas wameanza kuomba poo, wanatoa ofa ya vita kusimama siku 5 ili wakimbie na wao wataachia mateka 70. tukimalizana na magaidi ya Gaza, Netanyahu amesema vita na Hezbollah haitapiganwa kwengine ila ndani ya Lebanon. waandae tu cement na nondo kujenga majengo mapya muda si mrefu kwasababu yale yaliyopo yatakuwa magofu. mtoto akililia wembe mpe.
Yesu ni kwa ajili ya Wana wa Israel,Mimi mheheNimenawa mikono lakini elewa kuwa bila Yesu umepotea mazima na upo katika uangamivu mkubwa.
Wahehe tupo kwa Yesu,basi mwenzetu umepotea.Yesu ni kwa ajili ya Wana wa Israel,Mimi mhehe
Wewe na mkwawa(abdallah) nani mhehe kweli!?Wahehe tupo kwa Yesu,basi mwenzetu umepotea.
Umeruhusu adui aingie hadi ikulu, bado unajidanganya ni mtego.Kitendo cha Hamas kuwapa Green light IDF sio bahati mbaya
Nimeona Wazayuni wakisherehekea kuchukua baadhi ya barabara kaskazini mwa Gaza huku wakichukua baadhi ya majengo na Viunga muhimu kaskazini mwa Gaza
Hii siyo ya bahati mbaya hata kidogo!! Hii inaitwa unamuacha adui aingie hadi ndani sana ikisha unaanza kumshughulikia ipasavyo
Wameachwa wasonge mbele bila tatizo hapo watawekwa mtu kati na hawatoamini kitakachowakuta watashambuliwa pande zote
Tayari wameshapoteza Vifaru na magari zaidi ya 190 hadi hivi sasa!!
Huko kaskazini mwa Israel Hezbollah anazidi kuchoma kambi zao hao waisrael tu
Hii Vita kwa tulipofika hakuna haja ya ceasefire najua wazayuni washaanza kuomba Ceasefire kwasasa wakati awali walikataa kwasababu washauona moto wa Hezbollah.
Kitakachowakuta Gaza hawatoamini, na tayari mtoto wa Rais wa Israel hajulikani kama yupo Hai au ni maiti huko Gaza
Hamas walivyosema Gaza itageuka kuwa kaburi la Wazayuni hawakukosea hata kidogo!!