permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Hii siyo vita ni special military operation.Kwa uzoefu wako, Unadhani kitatokea kitu gani kwa vita inayoendelea baina yake Israel na makundi ya wababe wa vita HAMAS na Hezbollah?
Hebu sema japo kwa kifupi tuu.
What funny the way umeelezea kama vile uko uwanja vita unaongoza vikosi
dogo fanya yooote acha kuigusa nchi yetu peleka asila zako uko na upumbavu wako wa kidini uko Gazayanatuhusu sana , ingia google umsome KIMCHE , MYAHUDI ALIYEKUJA KIPINDUA SERIKALI HALALI ILIYOCHAGULIWA KIDEMOKRASIA ZANZIBAR , mpaka leo leo zanzibar imekuwa uharo eti kuna muungano , na Tanganyika ndio hii unayoiona , nchi imedhibitiwa na wayahudi chini ya CCM
Kwahiyo umeshindwa kuona hiyo milipuko hapo au unajifanya kipofu?Nikutoe hofu bwana mwandishi, kwa video tu inaonyesha hayo mabomu yote yamedakiwa angani.
Hapo eliat kuna kitu kina daka mabomu kinaitwa arrow. Na ndicho kilichotokea kwa hayo unayoyaona yametoa mwanga tu.
Nimefatilia hapo red sea kuna aerial defence system. Hivo ni ngumu sana.
So update ni kwamba, hizo missiles hata hazijavuka territory ya israel.
Huo mwanga au ule kama moshi unaouona umetokea mbali sana na israel. Kwenye red sea maana yake. Maan mji wa eliat ndio huo unaouona.
Asante.
Mfatilie taarifa mkileta huku mzilete kamili, sio mna copy and paste.
Point of correction pia, eliat haikulengwa ila mabomu yametedakiwa juu ya eliat. Huo mwanga ni kama unavyoona mwezi ila unakua mbali sana.
Kama ulisoma physics vizuri utajua bomu linavyorushwa ili kufika eneo husika.
Huko magaidi ya israeli hayathubutu kusogeza pua wanashambuliwa karibu mwezi huu sasa .muda ukifika tutaona pray for lebanon nying sana
Regardless of how the Gaza war unfolds, Israel has already lost, Hamas has won and the U.S. has emerged as the only sane global leader capable of moderating the flammable situation.
There is a glimmer of hope that cease-fire, and possibly peace talks, between Israel and the Palestinians could emerge from the devastation.
The surprise Hamas attack on Oct. 7 killed more than 1,300 Israelis, wounded 3,000 and abducted more than 222 people. Relative to the size of the population, the number of Israelis killed amounts to about 40,000 Americans.
Since then, hundreds of thousands of Israelis have left their homes in the north and the south, moving to the relatively secure center of the country. Many go to sleep in their safe rooms or public shelters, or wake up in the middle of the night to watch the latest news. Schools are out, employees work part time or not at all, and the economy is limping.
But Israelis have suffered another kind of loss — deep, profound and long-lasting. This one injured their psyche, their sense of collective self and well-being. You can hear it in their voices, note it in their choice of tentative words and see it on their faces — the feeling of “we have been had.”
Before the Hamas attack, Israelis exuded confidence and bravado. They believed that a surprise war, like the 1973 Yom Kippur War, could not happen again, and that, if it did, their army would nip it in the bud. Then came the Hamas attack, almost exactly 50 years later, sending the nation into a deep trauma, the way Japan’s surprise attack on U.S. warships in Pearl Harbor instantly changed the American mindset.
On the other side, Hamas has won the war despite the loss of more than 8,000 Palestinians — some unknown combination of fighters and ordinary Gazans. Hamas — a terrorist organization of about 20,000 members — was able to invade a country of more than 9 million people with a powerful army, kill indiscriminately, create chaos, shatter the Israeli psyche and bring the Palestinian fight for statehood to the global fore.
But the war between Israelis and Palestinians has been going on-and-off ever since Israel’s 1948 War of Independence, when most Palestinians living in what had become Israel fled to the Gaza Strip and to the West Bank. Since then, new generations have emerged and a national Palestinian identity has evolved. Palestinians want a state of their own, the way the desire of the Jewish population before 1948 turned into the independent state of Israel.
Now the Israeli government, and especially Prime Minister Benjamin Netanyahu, seems determined to avenge the blood of their fellow citizens seemingly without having a clear idea what it wants to achieve beyond that. But obliterating Gaza with indiscriminate killing is no way for the prime minister to redeem himself from his abject failure to perform his most important job: to keep Israel safe.
Fortunately, the U.S. and several Western European states are having a moderating effect on Israel. President Joe Biden, Secretary of State Antony Blinken, Defense Secretary Lloyd Austin and many others have engaged in around-the-clock shuttle diplomacy to temper Israel’s plan for a massive ground war in Gaza, while still assisting it militarily.
Biden has emerged from this crisis as the world’s sage statesman who can moderate Netanyahu’s need for disproportional response; help to open the Rafah Border Crossing with Egypt to allow some food, water, and medical supplies flow to Gazans; and who sent carrier ships to the east Mediterranean to signal to other countries not to intervene. Such actions left Russia’s Vladimir Putin and China’s Xi Jinping to lick their diplomatic wounds of defeat as they watched their roles on the world stage diminish.
Hamas’s unimaginable atrocities have brought the Palestinian struggle for statehood to the world stage. Perhaps this time, Israelis and Palestinians — having both already suffered devastating losses — with the help of global leaders, can finally realize and accept that a peaceful solution is better than killing each other and setting the world on fire. While this is a very complicated route, the alternative may have become unacceptable.
Hopefully this realization would lead them to negotiate and reach an agreement resembling peace — or at least cease-fire.
Avraham Shama is a retired university professor and administrator. His book, “Cyberwars: David Knight Goes to Moscow,” was recently published by 3rd Coast Books.
Regardless of how the Gaza war unfolds, Israel has already lost, Hamas has won and the U.S. has emerged as the only sane global leader capable of moderating the flammable situation.
There is a glimmer of hope that cease-fire, and possibly peace talks, between Israel and the Palestinians could emerge from the devastation.
The surprise Hamas attack on Oct. 7 killed more than 1,300 Israelis, wounded 3,000 and abducted more than 222 people. Relative to the size of the population, the number of Israelis killed amounts to about 40,000 Americans.
Since then, hundreds of thousands of Israelis have left their homes in the north and the south, moving to the relatively secure center of the country. Many go to sleep in their safe rooms or public shelters, or wake up in the middle of the night to watch the latest news. Schools are out, employees work part time or not at all, and the economy is limping.
But Israelis have suffered another kind of loss — deep, profound and long-lasting. This one injured their psyche, their sense of collective self and well-being. You can hear it in their voices, note it in their choice of tentative words and see it on their faces — the feeling of “we have been had.”
Before the Hamas attack, Israelis exuded confidence and bravado. They believed that a surprise war, like the 1973 Yom Kippur War, could not happen again, and that, if it did, their army would nip it in the bud. Then came the Hamas attack, almost exactly 50 years later, sending the nation into a deep trauma, the way Japan’s surprise attack on U.S. warships in Pearl Harbor instantly changed the American mindset.
On the other side, Hamas has won the war despite the loss of more than 8,000 Palestinians — some unknown combination of fighters and ordinary Gazans. Hamas — a terrorist organization of about 20,000 members — was able to invade a country of more than 9 million people with a powerful army, kill indiscriminately, create chaos, shatter the Israeli psyche and bring the Palestinian fight for statehood to the global fore.
But the war between Israelis and Palestinians has been going on-and-off ever since Israel’s 1948 War of Independence, when most Palestinians living in what had become Israel fled to the Gaza Strip and to the West Bank. Since then, new generations have emerged and a national Palestinian identity has evolved. Palestinians want a state of their own, the way the desire of the Jewish population before 1948 turned into the independent state of Israel.
Now the Israeli government, and especially Prime Minister Benjamin Netanyahu, seems determined to avenge the blood of their fellow citizens seemingly without having a clear idea what it wants to achieve beyond that. But obliterating Gaza with indiscriminate killing is no way for the prime minister to redeem himself from his abject failure to perform his most important job: to keep Israel safe.
Fortunately, the U.S. and several Western European states are having a moderating effect on Israel. President Joe Biden, Secretary of State Antony Blinken, Defense Secretary Lloyd Austin and many others have engaged in around-the-clock shuttle diplomacy to temper Israel’s plan for a massive ground war in Gaza, while still assisting it militarily.
Biden has emerged from this crisis as the world’s sage statesman who can moderate Netanyahu’s need for disproportional response; help to open the Rafah Border Crossing with Egypt to allow some food, water, and medical supplies flow to Gazans; and who sent carrier ships to the east Mediterranean to signal to other countries not to intervene. Such actions left Russia’s Vladimir Putin and China’s Xi Jinping to lick their diplomatic wounds of defeat as they watched their roles on the world stage diminish.
Hamas’s unimaginable atrocities have brought the Palestinian struggle for statehood to the world stage. Perhaps this time, Israelis and Palestinians — having both already suffered devastating losses — with the help of global leaders, can finally realize and accept that a peaceful solution is better than killing each other and setting the world on fire. While this is a very complicated route, the alternative may have become unacceptable.
Hopefully this realization would lead them to negotiate and reach an agreement resembling peace — or at least cease-fire.
Avraham Shama is a retired university professor and administrator. His book, “Cyberwars: David Knight Goes to Moscow,” was recently published by 3rd Coast Books.
Umri wako mdogo bado ufahamu chochote kuhusu Mashariki ya Kati.Ha ha haaaa. Naona mikono inaandika lakini nafsi inajuta
West Bamk napo kuna Hamas huko nako wanauwa watu na wanavunja miundombinu?Jana kuna mchambuzi wa Kijeshi msomi wa Mambo ya vita mtanzania tena muislamu kulikuwa na kipindi maalumu TBC cha kuongelea hiyo vita walikuwa wawili mmoja Mkristo anayejua vizuri sheria za kimataifa kuhusu vita zinavyosema
Aliyenikosha ni mchambuzi wa kijeshi aliongea vizuri kuwa Israel muda mrefu haijawahi kuwa provoked kwa kiasi kikubwa kama hicho mara nyingi wanakuwa provoked na Hamas lakini kwa kiwango kidogo ila sasa wamekuwa provoked kiwango kikubwa ni nafasi walikuwa wanasubiri ili wawape somo Hamas ambalo hawaji sahau hata miaka 50 ijayo .Hamas wakaingia kichwa kichwa
Akasema Israel inachofanya sasa ni kutuma meseji kwa Hamas kwa kuvunja miundombinu bila kujali hospitali, shule au raia au watoto kuwa Hamas mkija thubutu tena mjue gaza yote itakuwa double ya hiki
Sasa hivi wanapeleka somo kwa Hanas na alionyesha kuumia sana akasema kijeshi inaruhusiwa kumpa somo unayepigana naye asije kusahau milele kipigo kiwe kisheria au la kuwa ndicho Israel wanafanya
Milipuko imeonekana, ila nimekupa elimu, wengine tuna jicho la kutafuta habari kamili, nimekupa habari kamili nayo. Kama hujaridhika haya.Kwahiyo umeshindwa kuona hiyo milipuko hapo au unajifanya kipofu?
Story za kwenye vijiwe vya ghahawa na kashata. Kale tende mkuuKitendo cha Hamas kuwapa Green light IDF sio bahati mbaya
Nimeona Wazayuni wakisherehekea kuchukua baadhi ya barabara kaskazini mwa Gaza huku wakichukua baadhi ya majengo na Viunga muhimu kaskazini mwa Gaza
Hii siyo ya bahati mbaya hata kidogo!! Hii inaitwa unamuacha adui aingie hadi ndani sana ikisha unaanza kumshughulikia ipasavyo
Wameachwa wasonge mbele bila tatizo hapo watawekwa mtu kati na hawatoamini kitakachowakuta watashambuliwa pande zote
Tayari wameshapoteza Vifaru na magari zaidi ya 190 hadi hivi sasa!!
Huko kaskazini mwa Israel Hezbollah anazidi kuchoma kambi zao hao waisrael tu
Hii Vita kwa tulipofika hakuna haja ya ceasefire najua wazayuni washaanza kuomba Ceasefire kwasasa wakati awali walikataa kwasababu washauona moto wa Hezbollah.
Kitakachowakuta Gaza hawatoamini, na tayari mtoto wa Rais wa Israel hajulikani kama yupo Hai au ni maiti huko Gaza
Hamas walivyosema Gaza itageuka kuwa kaburi la Wazayuni hawakukosea hata kidogo!!
we jamaa acha kuji overdose kwahyo Tanzania ni koloni la israel na ccm ndio kibalaka wake, duh hahahaha! Ujinga ni mzgo mkubwa sana TZyanatuhusu sana , ingia google umsome KIMCHE , MYAHUDI ALIYEKUJA KIPINDUA SERIKALI HALALI ILIYOCHAGULIWA KIDEMOKRASIA ZANZIBAR , mpaka leo leo zanzibar imekuwa uharo eti kuna muungano , na Tanganyika ndio hii unayoiona , nchi imedhibitiwa na wayahudi chini ya CCM
Hivi una ubongo kweli..?yanatuhusu sana , ingia google umsome KIMCHE , MYAHUDI ALIYEKUJA KIPINDUA SERIKALI HALALI ILIYOCHAGULIWA KIDEMOKRASIA ZANZIBAR , mpaka leo leo zanzibar imekuwa uharo eti kuna muungano , na Tanganyika ndio hii unayoiona , nchi imedhibitiwa na wayahudi chini ya CCM
Wapi hujaona mtansao wa Tunnels zao wameuonyesha walichimba hadi kurlekea western Gaza madhani walikuwa wakijipanga kupindua serikali ya mahamoud abbasWest Bamk napo kuna Hamas huko nako wanauwa watu na wanavunja miundombinu?
Hiizo handaki zinapita Jerusalem, Ashdod pamoja na Ashkeion? Kutoka West Bank lazima upite hiyo miji ya Israel, nakushauri acha ushabiki mandazi soma historia ya Mashariki ya Kati umezeshwa propangada na wewe unameza mazima ukiiongea huo upuuzi ya watu wanaojielewa utachekwa. Kingine Hamas kama wakitaka kumuwa Rais wa PLO ni dakika tu.Wapi hujaona mtansao wa Tunnels zao wameuonyesha walichimba hadi kurlekea western Gaza madhani walikuwa wakijipanga kupindua serikali ya mahamoud abbas
West Bank kimeonekana Tunnels chini ya ArdhiJerusalem, Ashdod pamoja na Ashkeion? Kutoka West Bank lazima upite hiyo miji ya Israel, nakushauri acha ushabiki mandazi soma historia ya Mashariki ya Kati umezeshwa propangada na wewe unameza mazima ukiiongea huo upuuzi ya watu wanaojielewa utachekwa.
Acha kumezeshwa propaganda tumia akili yako kuchuja mambo angalia na vyombo vya habari vingine mmeaminishwa makao makuu ya Hamas ni Shifa hospital😂West Bank kimeonekana Tunnels chini ya Ardhi