LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Injini za USA...were made to adapt powerful USA engines,mbona umeacha hiyo part!?..haya lete magari yanayotengenezwa Israel
 
Kuna documentary moja nilikuwa naona Alqasam wanazama baharini kuokota vipande vya mabomu na makombora yaliyozama baharini yaliyowahi tumika vita ya kwanza na ya pili ya dunia , wanaokota na kukata vipande vya chuma kutoka kwenye meli zilizozama na kutumia kutengeneza silaha ,wanatumia pia masalia ya makombora na mabomu yanayorushwa na Israel kutengeneza roketi
Imagine wasingekuwa wamezingirwa na mipaka yao kushikiliwa na wazayuni ,unafikiri wangekuwa wapi ?
Kwanza tu ule ubunifu wa kujenga miundo mbinu chini ya ardhi kwa level ile na resources kidogo sana walizonazo ,inabidi kuwapigia salute

Trully ingenius people
 
If Hamas wanted to use someone as a shield, it would use the hostages it has. Why would he use his own people?
Kwa sababu akili hawana na wameishiwa mbinu. Wamafanya ivyo kutafuta huruma, kuwasakizia IDF ionekane wao ndio wakorofi
 
Lugha ndiyo mchawi😂
Nimeanza kuielewa lugha ya kiingereza na kuiongea kwa ufasaha mwaka 2007(sijui wewe ulikua wapi) mpaka sasa hakuna nisichoelewa. Labda nikutafsrie ambacho hujaelewa.

Hamas hawezi kutumia hostage kwa sababu wanajua ndio utakua mwisho wao. Na ndio maana nikakwambia akili hawana ndio maana wanawafanya raia na watoto wafe ili lawama ,ibaki kwa IDF. Kama hujanielewa tena sema nirudie maana inaonekana kichwa ngumu kweli we jamaa
 
Hujui English,watu tumejuana na English 1990,we unajidaia 2007!!....mbavu
 
Makombora ya Hezbollah yameharibu hadi vituo vya umeme huko kaskazini mwa Israel hakuna umeme kabisa na wazayuni wengi wamekimbia na kuhamishwa kaskazini mwa Israel

This is insane. For the first time since the creation of Israel, the Israeli settlements have gone dark while the Lebanese villages facing them are illuminated. Almost all Israeli settlements along the Lebanese borders were evacuated out of fear of Hezbollah. ([emoji328] )
 
Sababu kubwa Wakristo wa Afrika hasa upande wetu version yao ya Ukristo inatoka kwa Wazungu ambao lengo lake ni kuwa chawa wa west.

Wakristo wa Middle East, South America, Urusi na maeneo mengine ambayo hayapo influenced na west wapo upande wa Palestina.

Vita hii Nchi za South America zimekuwa na Guts kuliko hata hizo za kiarabu.
 
Ile video imeeleza vizuri sana sijui kwa nini mmeamua kukaza mafuvu
Video feki kila mtu anaikosoa, Huyu Bidada mzungu ambaye anajifundisha kiarabu pia kakosoa.

Eti calender imeandikwa jumatatu, jumanne, jumatano jamaa anasema ni majina ya Magaidi ya Hamas.

Huu ndo uongo mnadanganywa.

Your browser is not able to display this video.
 
Sasa wewe kama Gaza haina umeme kwa muda wa mwezi mzi.a hizo MRI machines zinafanyaje kazi? Akili za viongozi wenu ni ndogo ndio maana wakawa wanahifadhi huko.
Hiyo video yako unayoipromote humu si inaonesha Sollar? Hio ni Equivalent ya Hospitali ya Taifa/Rufaa kuwa na Emergency power system si jambo la ajabu.

Pia video unayoiweka wenzako washaidelete, kuna video mpya wame edit hii yako ni ya zamani. Hii inaonesha uongo nje nje, Hio mpya wametoa vipande baadhi ili uonekane kama ukweli.
 
We kilaza kweli, hapo nilipo bold, ina maana hujui kwa miaka kibao Gaza imezingirwa na Israel? Ina maana hujui Hamas wanatumia Home made Bombs sababu Wamezingirwa na Hawapewi Misaada ya Silaha?
 
Hujui English,watu tumejuana na English 1990,we unajidaia 2007!!....mbavu
1990 wengine tunapiga hiyo lugha vizuri tu,
yaani tumezaliwa nayo
Mi naitwa nikaongee na muwekezaji miaka hiyo maana wengine hawaeleweki.
Napiga yai jamaa analainika miaka ya 90 hiyo.
 
Wavaa kobazi wameyatimba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…