LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Mtoto mdogo kawajuaje mazayuni kama sio ameshaanza kumezeshwa chuki toka kwenye kile kitabu cha aya za shetani.
 
Mateka 240 wa Israel ni sawa na wafungwa 5300 wa palestina waliopo magerezani.
 
Hii Vita pamoja na mambo mengine pia tunaandika na kuhifadhi kumbukumbu kwa ajili ya Rejea za baadae

Anayajua aliyeomba Vita isimame temporarily ni nani?

Ahsanteni sana 😄🔥
Walioomba ni wale jamaa wa #Free Palestine, haya mengine yanatokana na thamani. Thamani ya Myahudi mmoja ni sawa na Wapalestina 10000.
 
🚨 JUST IN: Hezbollah Claims Responsibility for Most Intensive Rocket Attack Since the War Began - 48 Katyusha Rockets Fired on Northern Israel

Source: Yediotnews
 
⚡️#BREAKING Qatar yatangaza makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza kuanzia Ijumaa saa 7 asubuhi - Reuters
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…