Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Hakuna namna mkuuhIyo ni lugha ya vita mjomba. Laiti ungemwona Natenyahu alivyotepeta. Hapo ngoja familia za wengine zipate wa kwao.
Ametepeta kwa lipi Sasa, kweli wapalestina wa Nyamanoro mko na tabu Sana.
Hiyo Ni break kichapo kiendelee
Ujinga Ujinga tu ukikujia kichwani unapost tu!
Hamas walisema hakuna HandakiKASHFA: Israel Yazungumza kuhusu "Handaki za Hamas" Chini ya Hospitali; Lakini ISRAEL ndiyo iliyojenga vichuguu hivyo Miaka 40+ iliyopita!.
Kashfa ya kweli inaibuka katika mzozo unaoendelea wa Israel-Hamas, na kashfa hiyo sio tu Wapalestina 14,000 waliokufa. Katika kipindi chote cha mzozo huu, Israel imetetea mashambulizi yake ya mabomu kwa Hospitali na majengo mengine ya umma kwa kusema "Hamas ina vichuguu chini yake ambavyo wanavitumia kushambulia Israel." Dai hilo linatumika kuhalalisha kila kitu ambacho Israeli imefanya.
Maana yake ni kwamba Hamas ilijenga mahandaki hayo kwa madhumuni ya kuhama kwa siri ili kuishambulia Israel. Inageuka: ISRAEL ndiyo iliyojenga vichuguu hivyo miaka 40+ iliyopita, ili kutoa nafasi ya ziada kwa hospitali kufanya kazi!
Ifuatayo ni "Tweet" kwenye mtandao wa kijamii "X" (zamani ikijulikana kama Twitter), kutoka kwa Jeshi la Ulinzi la Israeli (IDF), inayoonyesha vichuguu chini ya Hospitali ya Al-Shifa na kutoa kila aina ya shutuma kuhusu Hamas:
Hata hivyo, katika video kutoka CNN hapa chini, Waziri Mkuu wa zamani wa Israel Ehud Barack anakiri kwa Christiana Amanpour wa CNN, "Israeli ilijenga vichuguu hivyo" ili kuzipa hospitali nafasi zaidi ya kufanya kazi.
Kwa hivyo kwa upande mmoja, Israeli inapiga kelele juu ya "Handaki za Hamas" huku wakijua wakati wote, ni ISRAEL ndio waliojenga vichuguu hivyo. Kiwango cha ulaghai unaofanywa kwa umma, na Israel, kinashangaza.
Sasa, unajua ukweli.
Wakati huo huo, Israel sasa imeanza KUFURISHA vichuguu hivyo na maji ya bahari. Watamzamisha mtu yeyote ndani!
Watu wale wale waliowashangilia Hamas walipoivamia Israel 7 October ndio leo wanashangiilia malori ya Chakula, Dawa na Maji ya Msaada yayoingia Gaza kutokea Misri
Kuna siku hapa Duniani patakuwepo Taifa la CHAWA watupu
Siasa ni mbaya aisee
Jumaa Mubarak 😄
View: https://twitter.com/IDF/status/1727913944843448464
FaizaFoxy useme hamujaambiwa, tena kwa lugha yenu
Kobaaz wa bongo leo wanafuraha sana wanakunywa alkasus mpaka matumbo ndi ndi ndi! na ukizingatia leo ijumaa. Kusitishwa vita kwa muda wapalestina wametafsiri vita imeisha na wameanza kurudi makwao then wanawakuta wayahudi wanawaambia nyie mnaenda wapi nani kawaambia vita imeisha kwa usalama wenu ondokeni 😱😱😱.
View: https://twitter.com/IDF/status/1727913944843448464
FaizaFoxy useme hamujaambiwa, tena kwa lugha yenu
HAMAS imewaachia mateka 25 raia wa Israel na raia 12 wa Thailand kama sehemu ya kubadilishana mateka.
HAMAS imewakabizi mateka hao kwa watu wa Red Cross ambao nao wamewapeleka Egypt na kupokelewa.View attachment 2823561View attachment 2823562
Israel na USA wamekua wakiumiza kichwa kutaka kujua wapi mateka hawa walifichwa kwani kwa siku 50 mfululizo walishindwa kumpata hata mmoja.
Je wamefanikiwa kujua?!! Zipo taarifa kua HAMAS Wana mahandaki yenye teknolojia ya kisasa na ni kama mji chini ya ardhi- kuna ukweli baada ya hili kutokea?!
View attachment 2823563