LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Hamas kwa miaka mingi wamekuwa wakijenga njia za chini ya Ardhi yaani Underground Tunnels kubwa mamia kutoka Gaza kwenda Israel. Mwanzoni njia hizo ndizo zimekuwa zikitumiwa ns Hamas kusafirisha silaha za kivita na Askari na pia kujenga vituo vyao vya kijeshi na maghala ya silaha chini ya ardhi

Israel wamekuja teknolojia ambayo kwa mara ya kwanza kutumiwa kijeshi ina uwezo wa kuona Underground tunnels zote chini ya Ardhi

Ajabu ya milango ya kuingilia kwenye hizo Tunnels ili ili kuficha Hamas wameziweka kwenye maeneo ya watu wengi zingine ziko kwenye misikiti,makanisa, mashule ,Hospitali, Maduka makubwa kama ma Supermarket, Majengo makubwa na makazi ya watu,Masokoni.nk Tunnels zinaanzia humo na kutambaa kuelekea Israel
Mashambulizi ya sasa hivi yamejikita zaidi kwenye Underground war ambako.zinatumika zaidi ndege.kubomoa hizo Tunnels na Askari wanaotumika sasa wa Israel ni waliobobea kwenye Underground war kupambana na Hamas kwenye Hizo Tunnels

Ndio maana kwa sasa vikosi vya jeshi la Juu ya ardhi kama Vifaru na Askari wa Nchi kavu ni hawana kazi kwa sasa vifaru vimepaki tu mpakani mwa Gaza wakisubiria wabobezi wa Underground war wamalize kazi ya kufurumisha Hamas na kuharibu kila kitu kwenye Tunnels zao ili wao waanze hiyo vita ya juu ya ardhi ya ground operation

Source: Vyombo mbalimbali vya habari
Umefafanua vzr, nimependa ufafanuzi wako
 
Siku zinavyoyoma ndio Hali inazidi kuwa mbaya zaidi. Mgogoro unazidi kukuwa na kubadilika sura.

Chuki za wazi wazi (anti - semmetism) dhidi ya taifa la Israel zimerudi tena kutokana na udhalimu wa Mazayuni.

Huu ni mmoja ya mhagawa mkubwa nchini Uturuki umeweka bango linaliwazuia Wayahudi wasiingie katika mgahawa huo View attachment 2794213
Mgahawa wanauza vitabu au macho yangu hayaoni vzr
 
Mhe. Rais kwa Kuzidi kupanua demokrasia na kulifungua Taifa kwa Jitihada Mbalimbali Ametusababishia Watanzania Kuheshimika na kuaminika Hongera Mhe.Rais. Leo hii tunaongea Tunaye Spika wetu Wa Bunge Mhe Dkt. Tulia Ackson Ambaye Ametutoa kimasomaso kwenye Medani za kisiasa kwa Kuwa Rais wa Umoja Wa Mabunge Duniani IPU na sasa Tuko na Ofisi Yetu Geneva Uswiswi huko kwa Miaka 3.
Ahsante Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

#2025 Ni Yeye Tena Samia Suluhu Hassan
#2025 Tumepata Suluhuhisho na Samia
#2025 Tutakulipa Mimi na Kijiji Changu
 
Wakiacha kukata umeme hovyo huenda nikabadilisha mtazamo na kumchagua huyo mama, ila 2025 huyo mama ni BIG NO!!!!!!!
 
Makabidhiano ya mateka imeleta gumzo kubwa duniani
Video inaonyesha wazee na watoto wa isreal wakiwakumbatia Hamas kwa kuwaaga na kuwatakia maisha mema.
letanyahu amekasirika kutolewa video hizi

Images of the moments when Al Qassam Brigades released today's captives have been published. It takes a thousand witnesses to say that they are prisoners. The Israeli prisoners look very healthy and there is no sign on their faces that they are suffering.
Mod iache thread ili jamii ione. USIUDELETE wala kuihamisha
 
Makabidhiano ya mateka imeleta gumzo kubwa duniani
Video inaonyesha wazee na watoto wa isreal wakiwakumbatia Hamas kwa kuwaaga na kuwatakia maisha mema.
letanyahu amekasirika kutolewa video hizi

View: https://x.com/WarMonitors/status/1728567462503846094?s=20

Images of the moments when Al Qassam Brigades released today's captives have been published. It takes a thousand witnesses to say that they are prisoners. The Israeli prisoners look very healthy and there is no sign on their faces that they are suffering.
Mod iache thread ili jamii ione. USIUDELETE wala kuihamisha

Inapendeza sana.Wote wana nyuso za furaha na afya nzuri.Walikuwa wamewekwa sehemu nzuri na kulishwa vyakula vya kwao ambavyo ni halali.
Kama Israel wamechukia watulie tu hawawezi kuzui tufani la Aqsa.Lina nguvu kuliko yale makombora yake yanayoangusha maghorofa.
Tusubiri leo jioni kama Mollel wa Tanzania atakuwemo.
 
Malezi mazuri sana ya kiyahudi hawajafundishwa kuwa na kinyongo wamefundishwa kusamehe. SAMEHE SABA MARA SABINI
 
Malezi mazuri sana ya kiyahudi hawajafundishwa kuwa na kinyongo wamefundishwa kusamehe. SAMEHE SABA MARA SABINI
 
Back
Top Bottom