Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Sema hao ndio mabwana zangu unazunguka zunguka nini?Hao ndo mayahudi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema hao ndio mabwana zangu unazunguka zunguka nini?Hao ndo mayahudi.
Haya mambo inategemea unayaangalia katika angle gani mkuu.Magaidi hayajui consequences ya matendo yao! Huwa hawajiulizi! Okay! Tukishafanya shambulizi la kigaidi nini madhara upande wetu? Wanajifariji kuwa wakifa wanaenda ahera na kupewa mabinti mabikra!
Niliona video moja muyahudi wa IDF analia machozi yamechanganyika na makamasi anataka kurudi nyumbani eti hamuoni anaepigana nae ila anaona wenzake wanakufa tu. Nikasema hawa wamevamia mtumbwi wa vibwengo.Israel has released images claiming that they have apprehended many Hamas fighters.
Due to Israel’s bankrupt track record when it comes to telling the truth, we have to do our own due diligence:
First question: why were they all wearing slippers?😂
Utalipwa na Nan?Hao ni raia wewe.
Udhalilishaji huo utalipwa tu.
Hayajaanza leo hayo, ni marudio tu.
Wayahudi hawaamini Moto wala kuzimu, so watampiga Hamas Kama mbwa koko.Hamas kamatieni hapo hapo magaidi ya kizayuni yashaanza kuchanganyikiwa
Wayahudi hawaamini Moto wala kuzimu, so watampiga Hamas Kama mbwa koko.
Kwani ulianza leo?Utalipwa na Nan?
Moto waba9elekeqa hapahapa na Wapalestuna.Wayahudi hawaamini Moto wala kuzimu, so watampiga Hamas Kama mbwa koko.
Inasikitisha sana tulitarajia mtu aliyelelewa kwa mateso na manyanyaso ndo angekuwa na huruma lakini inakuwa kinyume chake.Hao ni raia wewe.
Udhalilishaji huo utalipwa tu.
Hayajaanza leo hayo, ni marudio tu.
Unafikiri Hitler alifanya makosa?Inasikitisha sana tulitarajia mtu aliyelelewa kwa mateso na manyanyaso ndo angekuwa na huruma lakini inakuwa kinyume chake. View attachment 2836377
yeah ni habari mbaya kwangu maana nilitaka mpigwe risasi sio kukamatwa, magaidi yauawe na kuchinjwa yaani hapo Israel wananiangusha, nyie na maukatili yenu hampaswi huruma.
View: https://twitter.com/i/status/1732862048474632490
Ndio kinachoenda kutokea Marekani miaka ijayo, Israel anataka atawale media, wanasiasa, jeshi, biashara na kila kitu. Wananchi wameanza kushtukia nguvu ya AIPAC katika serikali yao jamaa wananunua wanasiasa ili wawe upande wa Zionism ndomana si ajabu kuona media na wanasiasa USA wanapindisha ukweli hata ule wa wazi kabisa ila wananchi wameanza kushtuka ndomana 95% ya maandamano ni pro Palestine🇵🇸 japokuwa serikali zao zipo upande wa Israel.Unafikiri Hitler alifanya makosa?
Israel inapigana kwa ajili ya Amani ya Dunia, Hamas wakitoka kwa Waisrael watakuja kwa kuua Waislam wa Tanzania kwa sababu ya kutowasaidia
Lakini, Kuna uwezekano wao kuchukuliwa. Dunia ni ya wote.wanajua hilo