LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Hahaha kama uliangalia vizuri, kwenye ile video wengine hawana mikono, mi nilihisi ni watu wanshida sana wameamua kujitoa muhanga-maytyr wakawahi mabikira. Au ni wafungwa walitoka jela wanatafuta namna ya kuishi.
Kuna vizee mle vimekondeana mpaka mishipa ya usoni inaonekana,tunacheka kama mazuri lakini nilicheka sana Mungu anisamehe.Sijui walifanikiwa kufika Gaza hao wayemen njaa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unakwea juu ya bati kujitangaza kwamba wewe ni mwenye nyumba?Tulia tutakufahamu tu.Mambo mengine hayahitaji kuomba huruma.
NB:Hiyo ni vita.Siyo safari ya kuvua samaki,kunywa juisi na kusoma hadithi za kitoto.
 

View: https://x.com/jacksonhinklle/status/1733486908817183208?s=20

Maisha yote muislam ni muislam hata umchukie vipi au umuite majina gani lkn muislam atabaki muislam tofauti kabisa na wasiokuwa waislam.

Yaani bora ungesema binadamu ni binadamu tu ningekuelewa, lakini ulivyoanza kuhuisha na dini ndio nikaona jinsi ulivyo biased kifikra na kutekwa na itikadi za mbuni kuzamisha kichwa chini akidhani hakuna anyemwona

Hivi mauaji yanayoendelea kule Sudan si waislamu hao??, vipi kuhusu Kaskazini mwa Nigeria? Na kwingine kwingi ambako sihitaji hata kuelezea??

Binadamu hata awe na dini au kabila gani huwezi kumchukulia kwa ujumla wake kuwa ni mwema/mpole/mstaarabu etc

Bali mtu mmoja mmoja na jinsi alivyo yeye binafsi yake
 
Mchuma janga hula na wakwao.

Vita havina macho:

IMG_20231209_151944.jpg
 
wameogopa, wameona Israel ameanza kupump maji ya bahari kuelekea kwenye mahandaki. si unajua ukimwagia maji kwenye shimo la panya lazima tu atatoka hata afanyeje.
 
[emoji837][emoji1193] Sources in Gaza:More than
80 Israel soldiers have been killed in Gaza in the last 24 hours.

Wazayuni wanazidi kuangamizwa kwa mamia huko Gaza

Waisrael waliokufa Gaza ni wengi mno, wanajeshi wanakuputishwa kama kuku huko Gaza.

Ama kweli Hamas walivyosema kuwa Gaza itageuka kuwa kaburi la wanajeshi wa Israel walimaanisha.View attachment 2839303

Screenshot_20231211-103829.jpg
Screenshot_20231211-103957.jpg
20231211_103745.jpg
20231211_104004.jpg
20231211_104007.jpg
 
Mayahudi 80 sawa.......na watu wa mnyaazi ni wangapi katika vifo vya kira siku??
 
[emoji298]️The Hebrew newspaper "Yedioth Ahronoth" on the sister of former #Israeli President "Yitzhak Rabin":

We left the house in "Al-Manara" on the border with #Lebanon because of the war. We have gone through many events, but leaving the house is a bad feeling, and I am worried that it will be damaged and that I will not find a place to return to. .
 
McDonald’s in Jordan 🇯🇴 decided to close all its branches due to #Strike_for_Gaza

THIS IS A RESULT OF BOYCOTTING.
 
[emoji837][emoji1193] Sources in Gaza:More than
80 Israel soldiers have been killed in Gaza in the last 24 hours.

Wazayuni wanazidi kuangamizwa kwa mamia huko Gaza

Waisrael waliokufa Gaza ni wengi mno, wanajeshi wanakuputishwa kama kuku huko Gaza.

Ama kweli Hamas walivyosema kuwa Gaza itageuka kuwa kaburi la wanajeshi wa Israel walimaanisha.View attachment 2839303

View attachment 2839304View attachment 2839305View attachment 2839307View attachment 2839308View attachment 2839309
Kumbe na wenyewe akifa mtu wa kwao wanasikiaga uchungu!! Hili nalo liingie kwenye maajabu ya dunia
 
Back
Top Bottom