Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Malaria imepona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi vita ni vya kidini kati ya wakiristo na mayahudi dhidi ya waislam na uislam duniani. Usije kushangaa vinatapakaa dunia nzima. Allah atuepusheSafi sana,waliyataka wenyewe,ni lazima magaidi yote yasafishwe.
Hakuna kitu kama hicho, dunia yenyewe bila wakristo ingeshapigwa vita ya kuimaliza dunia,lakini ustaarabu wa wakristo ndio amani unayoiona.Hivi vita ni vya kidini kati ya wakiristo na mayahudi dhidi ya waislam na uislam duniani. Usije kushangaa vinatapakaa dunia nzima. Allah atuepushe
Mara utasikia vinaangukia vatikan
Wishful thinking.😂😂Hivi vita ni vya kidini kati ya wakiristo na mayahudi dhidi ya waislam na uislam duniani. Usije kushangaa vinatapakaa dunia nzima. Allah atuepushe
Mara utasikia vinaangukia vatikan
Kabisaaa wakijibiwa lazima kilio na malalamishi yaanzeNgoja Israel nao wawajibu hao tusikie milio
Nakununulia popocorn kabisa, usitoke hapo ulipo. Endelea kusubiri kifuatachoYemen kwa nafasi ilipo ni adui wa Israel atakayeweza kumaliza nguvu za Israel na haitokuwa rahisi kuipiga na kuikalia kama alivyofanya kwa Jordan,Lebanon,Syria na Misri,Na hapo hapo zama zimebadilika hakuna nguvu hiyo ya kupigana na kila adui yake.
View attachment 2843273
Unajidanganya sana.Israel na Marekani wanadongoka hatua kwa hatua kuelekea dunia kuwa shawari.Hata octoba 7 mlisifia hivihivi.
mchelea mwana kulia hulia mwenyewe.
wengine wanakusanywa kama dagaa chumvi huko. Hao wamewekwa kiporo muda bado unaruhusu mtakuja kulialia tena hapa sio mda.🤐🤐🤐🤐
Wewe umekalia mlisema hivi hivi mlisema hivi hivi badala ya kuwasaidia wenzio jahazi linazama wewe kamanda muoga vipi? Baba paroko unakwama wapi?Hata octoba 7 mlisifia hivihivi.
mchelea mwana kulia hulia mwenyewe.
wengine wanakusanywa kama dagaa chumvi huko. Hao wamewekwa kiporo muda bado unaruhusu mtakuja kulialia tena hapa sio mda.[emoji850][emoji850][emoji850][emoji850]