Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
I stand with Hamas and the PalestiniansHamna namna.
Israel Wana machungu lakini pia palestina wamepoteza ndugu wengi na Dunia haitaki kuingilia kati. So tuache wanaume wachapane kule hakuna ushirikina ni mwendo wa chuma
Huku kuna utulivu wala hakuna amaniMimi nawashauri Watanzania wenzangu waondoke maeneo yote hatarishi kama hayo ya Israel. Warudi nyumbani. Huku kuna amani ya kutosha.
Hilo lisikutishe kila kijana, watu wanafyatuana saa hizi chini ya ardhi kama pamya.Wanawake wanahitajika wakapanue miguu kule wazalishwe upya maana kizazi kinafutika, wewe ungekua mmoja wao sema tatizo ni Mwafrika na kama kawaida Waarabu hawapendi Waafrika, hata yule 'mungu' wako muddy alichukia sana weusi
Kawaulize Mossad kimewashinda nini kuzuiwia mauwaji ya Oktoba 7?Ingekuwa kwenye nchi za wenzetu ambako kuna tawala na Mamlaka ambazo ziko serious sana na Masuala ya Ulinzi na Usalama wa Wananchi wao, basi watu wanaohusika na masuala ya Counter-intelligence and Counter-terrorism wange-deal na wewe kindakindaki kabisa mpaka kieleweke.
Sahihi kabisa. Ngoja nirekebishe.Huku kuna utulivu wala hakuna amani
Vita havina macho walisemaga wahenga !!Mimi nawashauri Watanzania wenzangu waondoke maeneo yote hatarishi kama hayo ya Israel. Warudi nyumbani. Huku kuna amani ya kutosha.
Wenye amani ni watawala pekeeSahihi kabisa. Ngoja nirekebishe.
kipigwe tu mpk 120,bila refa no offside,sub bila limit...mashabiki pia kaeni pembeni,ukiona mtz mwnzio kafa kule fanya kabla hujaonaHamna namna.
Israel Wana machungu lakini pia palestina wamepoteza ndugu wengi na Dunia haitaki kuingilia kati. So tuache wanaume wachapane kule hakuna ushirikina ni mwendo wa chuma
Bingwa tutampa heshima yakeHamna namna.
Israel Wana machungu lakini pia palestina wamepoteza ndugu wengi na Dunia haitaki kuingilia kati. So tuache wanaume wachapane kule hakuna ushirikina ni mwendo wa chuma
Ila hakuna cease fire,,,,,,,wakipigana ndio watajifunza kuheshimiana!!I stand with Hamas and the Palestinians
"Even Africa is not safe for Africans."Mimi nawashauri Watanzania wenzangu waondoke maeneo yote hatarishi kama hayo ya Israel. Warudi nyumbani. Huku kuna utulivu wa kutosha.
Hamas ndio wanaomba cease fire kupitia Doha governmentIla kuna sauti ya mtu anayelia kuomba poo!🤫
Wayahudi mbona wanajamba huko Gaza hadi leo wameshindwa kuwateketeza Hamas kama walivyokuwa wanajigambaIla hakuna cease fire,,,,,,,wakipigana ndio watajifunza kuheshimiana!!
Heri yangu mimi sijasema.🤫Hamas ndio wanaomba cease fire kupitia Doha government
Walikupa muda maalumu wa kuwamaliza magaidi?Wayahudi mbona wanajamba huko Gaza hadi leo wameshindwa kuwateketeza Hamas kama walivyokuwa wanajigamba
Mazayuni bila kusaidiwa na mabwana zao wa US na NATO saa hizi wangekuwa historia.Hamna namna.
Israel Wana machungu lakini pia palestina wamepoteza ndugu wengi na Dunia haitaki kuingilia kati. So tuache wanaume wachapane kule hakuna ushirikina ni mwendo wa chuma
Heeeheee yaani mnajua mahandaki yalipo ila mkashindwa kujua mateka walipo?? Hamna intelijensia yoyote mbona Hamas wamekua wakisema wana operate kwa mahandaki na ndio wanapitishia silaha zote huko.Ndio naanza kukubaliana na waliosema kwamba Israel ilikua na taarifa zote za kijasusi kuhusu maandalizi ya lile shambulizi la HAMAS, itakua walisubiri na kuruhusu litendeke ili wapate sababu tosha za kufumua Gaza. Maana hainiingii akilini kwamba haya mahandaki yalijengwa bila Israel kujua, yaani kwa kifupi Israel walikua wanatafuta kila sababu ya kusafisha pale mahali.
Kachokozaje wakati vile vijiji ni eneo la Palestina? Hivi kumfukuza Idd Amini kule kagera ilikua uchokozi wa Nyerere?Any way wamechokoza wenyewe
Ewe kafiri kaa kwa kutulia ndio kwanza operation "tokomeza mayahudi" imeanza na Bwana wenu Marekani ameisha ufyataHujui na wala hawakuongea nawe ni lini watawamaliza hao mahuni.Ni Bora utulie.Wenzako wanajiliza kila wamuonae.Shauri yako!