Kwa hiyo yesu sio mungu tena?Kwani ulikuwa unajua mwili wa Yesu ulikuwa unataka kufanywaje apa duniani ?
Alafu jifunze kidogo Imani ya wakristo kuhusu Mungu itakusaidia kuuliza maswali kama ayo ya Mungu kuuliwa
Hakuna mkristo anaamini Mungu wao anakufa , Mungu wa wakristo ni spirit ambayo Allah alikiri hajui spirit Nini na waislamu hawajui
Hilo jino kwa jino mbona hawakulionesha kwa Hitra aliye wauwa kama inzi?Ukae ukijua wayahudi ni jino kwa jino watawamaliza waislamu, Yani ukiangalia pichq za Gaza ni mji umekuwa kifusi
Lini Wayahudi waka amini Bible na Ukristo hali ya kuwa wanaamini yesu ni mtoto haramu wa mzinufu na sio nabii wa mungu?wewe Jamaa hujui kuwa Ukristo ulikuwa Dhehebu la dini ya kiyahudi na Biblia ya agano la kale inatumiwa na Wayahudi
kwani lazima watu wote waamini unachoaamini kwenye dini yako?Lini Wayahudi waka amini Bible na Ukristo hali ya kuwa wanaamini yesu ni mtoto haramu wa mzinufu na sio nabii wa mungu?
Ndio anawaonesha waislamu sasa , au hupendi magaidi maislamu yanavyo fanywa kule Gaza , yanauliwa mpaka matoto njitiHilo jino kwa jino mbona hawakulionesha kwa Hitra aliye wauwa kama inzi?
Sasa ww si ndo umesema kuwa Wayahudi wana amini Bible ndo maana nikakuelimisha kuwa hakuna uhusiano wa kiimani kati ya wayahudi na wakiristo.kwani lazima watu wote waamini unachoaamini kwenye dini yako?
Mbona Wakristo hawamuamini Muhamad
Kwanini ndugu ya muislamu anampiga muislamu mpaka Dunia inasema ni mauaji ya alahiki?lakini kuna Wayahudi kibao ambao ni waisilam.
Nyio Elimu dunia imewaachaSasa ww si ndo umesema kuwa Wayahudi wana amini Bible ndo maana nikakuelimisha kuwa hakuna uhusiano wa kiimani kati ya wayahudi na wakiristo.
Hapa duniani hakuna wayahudi wakiristo lakini kuna Wayahudi kibao ambao ni waisilam.
they're now reaping what they sow.Footage of a hamas infiltrator using a motorized hang glider to get into Israel.
This is insane.
View attachment 2786234
Acha hadithi za abunuasi Wayahudi hawajawahi kuwa na uhusiano na Ukristo kwa sababu walikataa yesu baada ya yesu kuzaliwa tu na mwisho wa siku wakafanya kila figisu akauawa.Nyio Elimu dunia imewaacha
Ukirsto na Uyahudi umetangana rasmi mwaka 300AD
Wakati wa Second temple kulikuwa na Madhehebu 5 ya uyahudi
1. Pharisees (Wafarisayo),
2. Sadducees (Wasedukayo)
3. Essenes
4. Zealots,
5. Wafuasi wa Yesu Kristo (Yesu wa Nazareth) - Early Christians
Baada ya Hekalu kubomolewa makundi mawaili tu yalibaki, Wakristo na Mafarisayo - Rabbinic Judaisim
Jamaa hata kwenye Biblia inasema Yesu alikuwa Myahudi na baadhi ya Wafarisayo walimkubali Yesu, mfano Mtume Paulo, alikuwa MfarisayoAcha hadithi za abunuasi Wayahudi hawajawahi kuwa na uhusiano na Ukristo kwa sababu walikataa yesu baada ya yesu kuzaliwa tu na mwisho wa siku wakafanya kila figisu akauawa.
Yesu alikuwa myahudi lakini wayahudi wenzie walimkataa baada ya kuzaliwa kwake na kumuita mtoto haramu.Jamaa hata kwenye Biblia inasema Yesu alikuwa Myahudi na baadhi ya Wafarisayo walimkubali Yesu, mfano Mtume Paulo, alikuwa Mfarisay
Wewe jamaa una kichwa kigumu sana, kwani Katika hadithi za mtume hasemi kuwa Wakuraishi walimkataa?Yesu alikuwa myahudi lakini wayahudi wenzie walimkataa baada ya kuzaliwa kwake na kumuita mtoto haramu.
Sasa hapo usicho kielewa ni kipi au kisa yesu alikuwa myahudi basi tiyari nyinyi na dini ya kiyahudi mmesha kuwa na uhusiano?
Hv viclip uchwara vya kuungaunga Masjid tutoleee apaUkanda wa Gaza: Makumi ya roketi yarushwa kuelekea Israeli.
Makumi ya roketi yamerushwa kutoka Ukanda wa Gaza kuelekea Israel Jumamosi asubuhi, Oktoba 7, na kusitisha makubaliano ya usitishwaji mapigano yaliyoheshimishwa kwa ujumla tangu kumalizika kwa vita vya siku tano mwezi Mei. Tawi la kijeshi la Hamas limetangaza kuwa limeanzisha operesheni iitwayo "Mafuriko ya Al-Aqsa" dhidi ya Israel.
Ufyatulianaji wa risasi, kuanzia maeneo kadhaa katika Ukanda wa Gaza, ulianza kabla ya 6:30 asubuhi saa za Mashariki ya Kati na kuendelea karibu dakika arobaini na tano baadaye.
Nchini Israeli, ving'ora vya onyo vimesikika katika miji kadhaa karibu na Palestina, pia huko Jerusalemu lakini pia ndani zaidi katika eneo hilo, kaskazini na mashariki, kulingana na jeshi.
Roketi imeanguka kwenye mji wa Yavne, kusini mwa Tel Aviv, ambapo mtu mmoja amejeruhiwa kidogo, kulingana na Magen David Adom, sawa na shirika la Msalaba Mwekundu nchini Israel. Mwanamke mwenye umri wa miaka sitini ameuawa "kwa pigo la moja kwa moja", na watu wengine 15 wamejeruhiwa kusini mwa Israeli, linasema shirika la Magen David Adom.
Jeshi la Israel limeripoti kupenya kwa "idadi isiyojulikana ya magaidi" kwenye ardhi ya Israel kutoka Ukanda wa Gaza. "Wakazi katika maeneo jirani ya Ukanda wa Gaza wametakiwa kusalia nyumbani," jeshi limeongeza.
Mwezi Mei, Israel ilianzisha mashambulizi dhidi ya Islamic Jihad ya Palestina katika Ukanda wa Gaza, na kusababisha vita vya siku tano kati ya jeshi la Israel, Islamic Jihad na makundi mengine yenye silaha katika eneo hilo, na kugharimu maisha ya Wapalestina 34 na mwanamke mmoja wa Israel.
Zaidi ya roketi elfu moja zimerushwa kutoka Ukanda wa Gaza kuelekea Israel, nyingi zikiwa zimenaswa na mfumo wa ulinzi wa anga wa Israel. Israel kwa upande wake ilikuwa imeongeza mashambulizi ya anga katika eneo hilo dogo.
Hamas, ambayo ilichukua mamlaka huko Gaza mwaka 2007, ilikuwa imejitenga na mzozo huu.
Imechapishwa: 07/10/2023 - 08:13 Na:RFI
Video na TRT AFRIKA
View attachment 2786228
Wakuraish walimkataa lakini kadili siku zilivyo kuwa zinaenda walikuwa wanaelewa mafundisho yake na kuingia kwenye Uislam na ndio maana % 97ya waarabu ni waisilam , lakini wayahudi walimkataa yesu mazima na ndio maana mpaka sasa hakuna myahudi anaye amini katika ukrisito hata mmoja duniani .Wewe jamaa una kichwa kigumu sana, kwani Katika hadithi za mtume hasemi kuwa Wakuraishi walimkataa?
Hadi wakasema ana mapepo?
Ila mazayuni balaa wamewawahisha viongozi wengi wa wapalestina mavumbini doh!Sawa safari mmejitahidi lakini kipigo kinakuja
View: https://youtu.be/210puXqyDsE?si=QvouaFOPFyiytisM
kwa sababu nawakwepaKama ni razima kuwa muislam ww mbona sio muislam?
Nchi zote za Kiisalam Mashariki ya Kati na North Africa zilikuwa za Kiisalam kwa Ncha ya upangaKama ni razima kuwa muislam ww mbona sio muislam?