LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Kama umeshindwa kuthamini wamaasai ulionao jirani tena ndani ya nchi moja, na kuamua kuwalinganisha na Israeli kwamba hawana ardhi ni wahamahamaji tu basi nyie ndio wale waislam wapumbavu wanaofikiri kwamba mna uwezo wa kuondoa Israeli pale walipo.

Waislam shida hipo sehemu, acheni kuwaumiza na kuwaua ndugu zetu wapendwa wapalestine kwa kuwadanganya na silaha, sasa leo nendeni katika umoja wenu mkawasaidie si ndio mliwadanganya nyie wajinga.

Wanaokufa na kuutahabika pale ni wapalestine sio wairan, saudia, nk. Saizi wote mko nyuma ya keyboard zenu, ila watu wa Gaza wamezingirwa mda huu, na hii ni baada ya kudanganywa na ndugu zao jamani.
Yaan hawa wenzetu bhana tokea wapo wadogo wanafundishwa wakristo ni maadui zako.

Huwez kuta kitoto cha kikristo kinafundshwa waislamu maadui zako, zaidi ya kufundishwa kwamba wapende waislamu kama unavowapenda wakristo wenzako.

Wamejijengea imani kwamba kuua wakristo na wayahudi ndo wanamfurahisha mungu wao na the best way ya kuingia peponi ni kufa na wakristo.

Sijawahi kuona dini inayopenda kueneza chuki na kumwaga damu kama hii.

Wanamsemo wao ule "Behead the kafir"
 
Wote wapuuzi tu unaanzaje kupiga raia na kuua wakati walikua kwenye makubaliano mazuri tuu mimi sipo upande wowote kwa hao Vima...
Inashangaza sana lakini kwa video za Jana Wacha palestina walipe gharama we unaua mtu Hana bunduki yupo kwenye gari, utalii unampigia shaba so ugaidi huo
 
Sio kweli Nyerere alikua upande wa Palestine na alikataa kuweka ubalozi hapa wa Israel zipo Nchi nyingi Afrika zinatofautiana kuhusu huo mgogoro bila kujali imani zao hao SA hawataki hata kuwasikia Waisrael ila Nchi ina wakristo wengi...
Komredi tofautisha msimamo wa kiongozi ambao mara nyingi unakuwa msimamo wa nchi na ule msimamo wa mtu mmoja mmoja, kikundi au jamii ambayo haina nguvu sana.
 
View attachment 2775056View attachment 2775057View attachment 2775055View attachment 2775054

Safi sana Ndugu zetu wapalestina, Ndugu zangu waislamu popote mlipo tuendelee kuwaombea hawa ndugu zetu Wapalestina, na waislamu wote kwa ujumla.
Mnajishauri tu Israel haijawai anguka tangu misingi ya Ulimwengu na Mungu aliapa hilo Taifa atalilinda Hadi siku ya Kyama, na Israel Imepigana Vita tangu kuanzishwa kwake ni mwendo haijawai kua na Amani hilo na vita karibia vyote Israel ilikua inashinda Kuna mda Israel ilikua Inavamiwa mpaka unaweza sema ndo mwisho wake lakin comeback Inayo kuja pigwa ni hatari.

Kwaiy nyie endeleeni kujishauri ila Jiandaeni Vizuri Na Mungu alikwambia Israel wakiwa vita wasibakize chochote Mtoto wanyama kila kitu teketeza, anyway Ngoja tusubirie Mda utaongea lakin hao Hamas watajuta maisha yao yote kwa hicho walicho kifanya
 
Iran, Saudia na Iraq wakiingia tu aise hesabuni masaa tu mayahudi bye bye
Hizo nchi ziko mbali kidogo na Palestina. Wa kufanya maamuzi ya uhakika ni Misri,Jordan na Syria. Hawa wakiamua kuacha mipaka yao huru wapalestina kurudi kwao na kufumbia macho vikwazo vyote vya mipaka walivyokubaliana na Israel,basi ni siku moja tu wapalestina watachukua ardhi zao zilizoporwa.
 
Hizo nchi ziko mbali kidogo na Palestina. Wa kufanya maamuzi ya uhakika ni Misri,Jordan na Syria. Hawa wakiamua kuacha mipaka yao huru wapalestina kurudi kwao na kufumbia macho vikwazo vyote vya mipaka walivyokubaliana na Israel,basi ni siku moja tu wapalestina watachukua ardhi zao zilizoporwa.
Sasa mashambulizi yanatokea Lebanon kusini.
 
Sasa nani kafanya invasion??

وَقَالَتِ الْيَهُودُ يَدُ اللَّهِ مَغْلُولَةٌ ۚ غُلَّتْ أَيْدِيهِمْ وَلُعِنُوا بِمَا قَالُوا ۘ بَلْ يَدَاهُ مَبْسُوطَتَانِ يُنْفِقُ كَيْفَ يَشَاءُ ۚ وَلَيَزِيدَنَّ كَثِيرًا مِنْهُمْ مَا أُنْزِلَ إِلَيْكَ مِنْ رَبِّكَ طُغْيَانًا وَكُفْرًا ۚ وَأَلْقَيْنَا بَيْنَهُمُ الْعَدَاوَةَ وَالْبَغْضَاءَ إِلَىٰ يَوْمِ الْقِيَامَةِ ۚ كُلَّمَا أَوْقَدُوا نَارًا لِلْحَرْبِ أَطْفَأَهَا اللَّهُ ۚ وَيَسْعَوْنَ فِي الْأَرْضِ فَسَادًا ۚ وَاللَّهُ لَا يُحِبُّ الْمُفْسِدِينَ
Al-Mai'dah 64
Na Mayahudi walisema: Mkono wa Mwenyezi Mungu umefumba. Mikono yao ndiyo iliyo fumba, na wamelaaniwa kwa sababu ya waliyo yasema. Bali mikono yake iwazi. Hutoa apendavyo. Kwa yakini yaliyo teremshwa kwako kutoka kwa Mola wako Mlezi yatawazidisha wengi katika wao uasi na kufuru. Na Sisi tumewatilia uadui na chuki baina yao mpaka Siku ya Kiyama. Kila mara wanapo washa moto wa vita, Mwenyezi Mungu anauzima. Na wanajitahidi kuleta uharibifu katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu hawapendi waharibifu.
 
Endelea kula nguruwe

وَقَالَتِ الْيَهُودُ يَدُ اللَّهِ مَغْلُولَةٌ ۚ غُلَّتْ أَيْدِيهِمْ وَلُعِنُوا بِمَا قَالُوا ۘ بَلْ يَدَاهُ مَبْسُوطَتَانِ يُنْفِقُ كَيْفَ يَشَاءُ ۚ وَلَيَزِيدَنَّ كَثِيرًا مِنْهُمْ مَا أُنْزِلَ إِلَيْكَ مِنْ رَبِّكَ طُغْيَانًا وَكُفْرًا ۚ وَأَلْقَيْنَا بَيْنَهُمُ الْعَدَاوَةَ وَالْبَغْضَاءَ إِلَىٰ يَوْمِ الْقِيَامَةِ ۚ كُلَّمَا أَوْقَدُوا نَارًا لِلْحَرْبِ أَطْفَأَهَا اللَّهُ ۚ وَيَسْعَوْنَ فِي الْأَرْضِ فَسَادًا ۚ وَاللَّهُ لَا يُحِبُّ الْمُفْسِدِينَ
Al'Mai'dah 64
Na Mayahudi walisema: Mkono wa Mwenyezi Mungu umefumba. Mikono yao ndiyo iliyo fumba, na wamelaaniwa kwa sababu ya waliyo yasema. Bali mikono yake iwazi. Hutoa apendavyo. Kwa yakini yaliyo teremshwa kwako kutoka kwa Mola wako Mlezi yatawazidisha wengi katika wao uasi na kufuru. Na Sisi tumewatilia uadui na chuki baina yao mpaka Siku ya Kiyama. Kila mara wanapo washa moto wa vita, Mwenyezi Mungu anauzima. Na wanajitahidi kuleta uharibifu katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu hawapendi waharibifu.
 
Taifa hili hili linaloshadadia ushoga ndo Taifa teule?
Siyo wote waliopo Israel basi ni WA Israel no siyo hivyo. Wapo watu wateule wa Mungu wanaishi Israel ambao Hadi kwenye Biblia imewataja siku ambayo Mungu akirudi Dunian wao watachukuliwa
Soma Ufunuo 7 : 1...... hapo ndo Biblia imewaoredhesha na wame barikiwa na Mwenyez Mungu
 
Huwa nawakubali hawa majamaa, wakiingia tu kwisha habari yao mayahudi
Hawata badili lolote hapo mmarekani atawafadhili tu Pakistani wakichafue kwao au ndo itakuwa gia ya USA kurudi Afghanistan
 
Sio kweli Nyerere alikua upande wa Palestine na alikataa kuweka ubalozi hapa wa Israel zipo Nchi nyingi Afrika zinatofautiana kuhusu huo mgogoro bila kujali imani zao hao SA hawataki hata kuwasikia Waisrael ila Nchi ina wakristo wengi...
SA lazima wasiwapende Jews sababu kulikua na white Jews wa kutosha SA, pia serikali ile ya weupe ilikua na uhusiano mzuri sana na Israel.
Pia Israel iliwasaidia sana Jews wa South Afrika kufanya establishment kubwakubwa kimaendelea, kiulinzi n.k
Hata serikali ya SA ilipowekewa vikwazo bado mambo mengi yalifanikiwa kupitia Israel, US pia aliendelea kufanya mambo na biashara nyingi na kubwa SA kwa kupitia Israel
 
Back
Top Bottom