LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Hawata badili lolote hapo mmarekani atawafadhili tu Pakistani wakichafue kwao au ndo itakuwa gia ya USA kurudi Afghanistan
Marekani ameishiwa nguvu ya kufadhili kila mtu apigane na mwenzake.Mwenyewe hatamani kabisa kurudi Afghanistan.Ndi kila mtu atajuwa Mungu si Asumani.
Waliondoka Afghanistan kwa sababu walishindwa.
 
SA lazima wasiwapende Jews sababu kulikua na white Jews wa kutosha SA, pia serikali ile ya weupe ilikua na uhusiano mzuri sana na Israel.
Pia Israel iliwasaidia sana Jews wa South Afrika kufanya establishment kubwakubwa kimaendelea, kiulinzi n.k
Hata serikali ya SA ilipowekewa vikwazo bado mambo mengi yalifanikiwa kupitia Israel, US pia aliendelea kufanya mambo na biashara nyingi na kubwa SA kwa kupitia Israel
Hawa watu kweli wamelaaniwa.Popote wanapoingia ujuwe haichukui muda maisha ya watu yatabadilika kuwa shida tupu.Mapinduzi ya Zanzibar wao walikuwa na sehemu kubwa ya kutokea kwa kupandikiza fitna na mwishowe kujifanya kuwa karibu na Karume.
 
Hawa watu kweli wamelaaniwa.Popote wanapoingia ujuwe haichukui muda maisha ya watu yatabadilika kuwa shida tupu.Mapinduzi ya Zanzibar wao walikuwa na sehemu kubwa ya kutokea kwa kupandikiza fitna na mwishowe kujifanya kuwa karibu na Karume.
Nani amewalaani?
 
Hawa watu kweli wamelaaniwa.Popote wanapoingia ujuwe haichukui muda maisha ya watu yatabadilika kuwa shida tupu.Mapinduzi ya Zanzibar wao walikuwa na sehemu kubwa ya kutokea kwa kupandikiza fitna na mwishowe kujifanya kuwa karibu na Karume.
Kuwa wamelaaniwa unaamini wewe lakini kwa maana ya laana naamini bado hawajalaniwa maana sioni laana ikiwatafuna
 
Kama ni wahimiaji hawana asili Yao? Kwa Tanzania Masai asili Yao ni ARUSHA nambie wewe ni kabila gani halafu nikwambie kama sio mhamiaji
Mimi mhamiaji, usipate tabu.
 
Marekani ameishiwa nguvu ya kufadhili kila mtu apigane na mwenzake.Mwenyewe hatamani kabisa kurudi Afghanistan.Ndi kila mtu atajuwa Mungu si Asumani.
Waliondoka Afghanistan kwa sababu walishindwa.
Kushindwa kupo ndio. Lakini huo ni uongo kuwa marekani kaishiwa nguvu hakuna nchi yenye maadui wengi kama marekani wangekuwa wamechoka tuongeona nchi hasimu au vikindi vya kigaidi vikijaa kwenye ardhi ya marekani
 
Ww sio mkristo na hujui chochote.
Ukristo sio unyanyasaji na kujibagua. Otherwise Ukristo wako ni fake. Labda uitete Israel kisiasa kuwa kabla ya Hitler hapo palikuwa pao, na wakauawa na kutawanywa ila wakarudi nje ya hilo hakuna nafasi ya kidini ya kuhalalisha uuaji kwa mgongo wa Maandiko Matakatifu.
Katika Bible Israel ni Cursed Nation, ila wako Masalia. PERIOD
Mnamezeshana historia za uongo.
Israel kuanzia 1948 alivamia mpaka central Syria ,Misri,gollan heights ,Lebanon pamoja na Jordan.
JE KOTE HUKO KULIKUA KUNA WAISRAELI WAKAONDOSHWA????!!!!!
SYRIA ISRAEL ALIFUATA NINI NA KUFANYA MAUAJI ILHALI SYRIA NI ARDHI YA KIARABU KIHISTORIA????
JORDAN JE???? LEBANON JE?????
MAENEO YOTE HAYO ALITAKA KUYANYAKUA AKASHINDWA AYA NIPE USHAHIDI PIA KUWA ISRAEL ANA HAKI JORDAN NA LEBANON
Umepanic kujibu hija. Swali 1947 taifa la Israel lilipoundwa waliutwa kutokea wapi? Na je walitawanyikaje? Walikuwa wapi kabla 1947.
Hoja ya kutanua eneo hilo ni uupuuzi wa Israeli ulisababishwa na wapuuzi wa kiarabu waliokuwa na mentallity kuwa Mayahudi hapo walipo sio pao hivyo kuoelekea vita ambayo waisraeli walichukua maeneo yasiyo yao pia. Tuacheni ushabiki wa kidini kwa taarifa Mungu ameumba watu wote sawa na wote anawapenda. Kuwepo kwa Nabii katika taifa au familia hakuifanyi kuwa bora kuliko nyingine isipokuwa kusema kile Mungu ametuma akiseme. Unaweza kuwa nabii mpumbavu kama Balaam na mtiwa mafuta mpumbavu kama Sauli japo Mungu alikuita na kukutuma. Mjumbe na anayeambiwa ujumbe wote ni wa Mungu. Mayahudi na Wapalestina wote ni wa Mungu bila kujali wanamuelewa huyo Mungu au wamechagua mungu mwingine. Hatima ya wote ni kiayama
 
Wakati Wayahudi wanauliwa na Adolf Hitler, Urusi alikuwa mstari wa mbele kabisa kusimama na Israel kuhakikisha wanapata haki yao, wakawatetea kwa nguvu zote na ndiyo maana tangu zamani mpaka sasa hivi Israel na Urusi huwa wanaheshimiana sana.

Sasa bhana! Unajua kwa nini vita na Ukraine ilikuwa ngumu sana mpaka kuamua kupumzika? Mlango wa nyuma, Israel alikuwa anamsaidia silaha Ukraine, na pia alikuwa anahakikisha jamaa wanaingia katika muungano na NATO.

Hili lilimkera sana Urusi, alimuona Israel kama msaliti! Kwa nini umsaidie Ukraine? Kwa nini unataka kumuingiza kwenye uanachama na NATO? Sasa ishu ya Palestina, wamewekwa kama chambo, nyuma yake yupo Urusi na Iran.

Kundi dogo kama Hamsa limefadhiliwa na kupewa silaha na kila kitu, ndio maana wameweza kutamba mbele ya israel.

Iran anaingia kama kutaka kulipa kisasi, bado kumbukumbu zake za kupigwa na Israel, kuuliwa kwa wanasayansi wake inawaumiza sana kichwa. Wamesema wapo nyuma ya Palestina, je, wataendelea kuwa nyuma yake ama watamuacha mambo yakichanganya?

Saudi Arabia naye ameingilia, anasema yupo nyuma ya Palestina, je, ataendelea kuwa nyuma yake Israel akiamua kupiga Waarabu wote kama alivyofanya kipindi cha nyuma? Hatujui. Ngoma bado mbichi. Tuombe Mungu tu majibu ya Israel yasiwe makubwa kama ya kipindi kilichopita na kumaliza watu wengi wasio na hatia.

1696743076100.jpg

Majira ya jioni tarehe 7/10/2023, Marekani imetangaza kuunga mkono tangazo la Israel la kujilinda kwa kuendesha vita ya Kigaidi katika ardhi ya nchi zingine HURU za Palestine, Syria nk, Wakati huo Marekani hiyohiyo inapingana Urusi kujilinda. Kumbaaaafu kabisa, Ukiunga mkono Israel kujilinda, unga mkono pia Urusi kujilinda.
1696743730251.jpg

Utawashangaa watu walivyo brainwashed na Media za kimagharibi na udini juu, hasa waswahili wa Bukoba na Mbarali huko waliokuwa wakilishwa propaganda kuwa Urusi imefanya kosa kubwa kuvamia nchi huru ya Ukraine kwa hoja kuwa Urusi inajilinda dhidi ya maadui, Leo watu walewale wako Israel wanaunga mkono Israel kujilinda dhidi ya maadui.

Ifahamike, kabla ya mashambulizi ya jana ya Hamas, Kwa miezi zaidi ya miezi 15 Israel ameendesha Oparesheni Palestine, Syria, Jordan nk kwa kile alichosema anasaka magaidi. Anafanya mashambulizi katika nchi huru bila idhini ya nchi husika. Hoja yake kuu ni kuwa analinda maslahi ya Israel, akaungwa mkono na mjombo wake USA, lakini Umoja wa mataifa ukawa kibogoyo...

Alichokuwa anafanya Israel ndicho alichokifanya Urusi kwa miezi zaidi ya 18 huko Donbass. Lakini Marekani na vibaraka wake wakasema Urusi anafanya uvamizi... Urusi akaweka hoja ileile iliyotolewa na Israel kuwa analinda maslahi ya Moscow.

Sasa kelele za nini juu ya majibu ya Hamas? Dunia itulie kila mtu alinde maslahi yake kwa kudhibiti wakorofi wote duniani ambao ni Manazi wa Ukraine wakiongozwa na kibaraka Zelensky na magaidi wa Hamas chini ya Mamlaka ya Palestine.

Hatutaki kelele za huruma za Israel baada ya kubondwa, watulie waendelee na Oparesheni yao. Binafsi siku zote mimi huunga mkono taifa lolote linalojilinda, na nimekuwa hivyo naunga mkono Israel kujilinda kwa 100% vivyo hivyo naunga mkono Urusi kujilinda kwa 100%. Marekani ni mchokozi kila kona ya dunia na ndie muundaji wa makundi yote ya Kigaidi duniani akiyaita ni wapigania Demokrasia ama utaifa, akichoka kuyatumia anayabatiza jina la Ugaidi.
 
وَقَالَتِ الْيَهُودُ يَدُ اللَّهِ مَغْلُولَةٌ ۚ غُلَّتْ أَيْدِيهِمْ وَلُعِنُوا بِمَا قَالُوا ۘ بَلْ يَدَاهُ مَبْسُوطَتَانِ يُنْفِقُ كَيْفَ يَشَاءُ ۚ وَلَيَزِيدَنَّ كَثِيرًا مِنْهُمْ مَا أُنْزِلَ إِلَيْكَ مِنْ رَبِّكَ طُغْيَانًا وَكُفْرًا ۚ وَأَلْقَيْنَا بَيْنَهُمُ الْعَدَاوَةَ وَالْبَغْضَاءَ إِلَىٰ يَوْمِ الْقِيَامَةِ ۚ كُلَّمَا أَوْقَدُوا نَارًا لِلْحَرْبِ أَطْفَأَهَا اللَّهُ ۚ وَيَسْعَوْنَ فِي الْأَرْضِ فَسَادًا ۚ وَاللَّهُ لَا يُحِبُّ الْمُفْسِدِينَ
Al-Mai'dah 64
Na Mayahudi walisema: Mkono wa Mwenyezi Mungu umefumba. Mikono yao ndiyo iliyo fumba, na wamelaaniwa kwa sababu ya waliyo yasema. Bali mikono yake iwazi. Hutoa apendavyo. Kwa yakini yaliyo teremshwa kwako kutoka kwa Mola wako Mlezi yatawazidisha wengi katika wao uasi na kufuru. Na Sisi tumewatilia uadui na chuki baina yao mpaka Siku ya Kiyama. Kila mara wanapo washa moto wa vita, Mwenyezi Mungu anauzima. Na wanajitahidi kuleta uharibifu katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu hawapendi waharibifu.
Haya bhana waarabu.
 
Sasa kwanini unasema wenzako wahamiaji wakati na wewe ni sawa acheni siasa watu wote ni sawa
Hawana ardhi hao kama wayahudi, wanavamia kokote tu.

Mimi mhamiaji halali, sijavamia kwa mtu, ardhi nyingi sana nilirithi kwa babu na bibi zangu ambao siyo wahamiaji.

Hapo sasa!
 
We're going to delete totally a Country called Palestine from today. We have a Superior Army in the World.
Just bunch of cowards who couldnt handle even mgambo wa hezbollah in 2006 ,unapigana vipi na mtu wakati unazuia wasipewe silaha ,huku wewe unachangiwa na mataifa yote ya ulaya, bottom line israel hata wapewe pesa kiasi gani they will never have peace.
 
Jana Tarehe 07 October 2023 ilikuwa ni exactly 50 years since Yom Kippur war, vita ambayo ilianza tarehe 07 October 1973 ambapo mataifa ya uarabuni Egypt Syria, Jordan nk, yaliungana kuishambulia Israeli kutokana na taifa hilo kuvamia ardhivya ndugu zao Wapalestina.


----- ---- ---------
Mwaka 2022 Vladimir Zhirinovsky, mzungu mwenye asili ya kiyahudi alitabiri ya kuwa by 2024 kutatokea mzozo mkubwa Mashariki ya Kati na dunia nzima itasahau habari ya Ukraine.

The late Zhirinovsky ambaye alifahamika kuwa na uwezo mkubwa wa kutabiri matukio mbalimbali ambayo mengi yametimia, (mfano mwaka1998 alitabiri kuhusu vita ya Ukraine na Urusi) alisema ya kuwa mzozo huo wa Mashariki ya Kati
utapelekea kuhusisha mpaka taifa la Iran. Na kwa kuwa Iran sio Vietnam wala Kosovo, jambo mbaya kabisa litatokea-akimaanisha kuanza kwa Vita ya tatu ya Dunia.


Wote tu mashahidi jana tulimsikia waziri mkuu wa Israel Netanyau alilishutumu taifa la Iran na kusema lipo nyuma ya vita hiyo likiisapoti Palestina.

I believe timing is not a coincidence in this war.
 
Mkuu,mi si mjuzi wa mambo lakini tu kwa akili ya kawaida,kuna vitu havikwepeki. Duniani,hasa upande wa siasa,kila mtu hujifunza kutokana na makosa yake. Vita,huwa ni kipimo cha uwezo wa kijeshi na kiintelijensia popote duniani. Hivyo,Israel ilijipanga ikapiga kisawasawa. Kupigwa kwa wale watu,kuliwapa fundisho tosha. Waliona wapi hawana nguvu? Badhi walijiimalisha kiulinzi na usalama, na wakaamua kujiunga. Kama unavyosema,Hamas haina uwezo hata kidogo mbele ya Israel. Lakini kwa kilichofanyika,imewezeshwa tena kwa hali ya juu. Hivyo,usitegemee Israel inaweza tena kutembeza kichapo kirahisi hivo. Haipo. Mbaya zaidi,nchi zote sasa hivi kasoro North Korea inayojijua yenyewe,wengine wote wanafiki. Na japo kuna watu akili zimesizi,unadhani kuna nchi inayopenda raia wake wafe kama sisimizi? Sasa,sisi tunaomba tu angalau tupate ugali wa dona angalau mlo mmoja kwa siku. Wenzetu,wanaomba angalau wapate pa kutestia siraha zao na ujasusi wao. Ni binadamu wenzetu,lakini utafanyaje? Uliwahi ona masikini kaitwa kwenye kikao cha matajiri? Acha wajuane wenyewe. Kwani Wapalestina walipokuwa wanauliwa,si Israel ilijua kifo kwa wengine ni sawa,lakini kwake ni jambo lisilowezekana?
 
BREAKING: Israel says it has struck structures belonging to Hezbollah in southern Lebanon
 
Netanyahu awaomba raia wa Gaza waondoke, maana anashughuli ya kusafisha maeneo yote ya mazalia ya Hamas.

Huu unaweza kuwa kulikuwa mchongo kuruhusu hii gharama kidogo ya kuuwawa raia wake, ili majibu yake Gaza ifutwe au inyang'anywe maeneo zaidi.
 
BREAKING: Israel says it has struck structures belonging to Hezbollah in southern Lebanon
Na wao Hesbollah ndio walianza, wamewavurumishia makombora Boarder guards wa IDF. Ile tower moja imepigwa bomu hatari.
 
Back
Top Bottom