Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Hizo propaganda za kizayuni tumezizowea.Safari hii Israel kaamua
Hizo propaganda za kizayuni tumezizowea.
Kamanda asiye na jina? Huyo nakuwa kamanda hewa.
Huyo ni mpiganaji wa kutetea haki kama mpiganaji mwengine.Huyu hapa atakuwa anasubiri bikra zake 72 afanye ngono
View: https://twitter.com/MOSSADil/status/1744326280730804387?t=NYDKi3TQ9uxvYjn25osfcQ&s=19
Lini hayo makundi yalikwisha? ....Ngojea kupewa wake 100,wazazi 100 na watoto 100 huko peponi.DUa la kuku ndugu zako watapukutika kama mnyonya ndimi mudi s.a.w
Israel wamesema wanataka kutengeneza buffer zone kwenye mpaka wake na Lebanon ili kulinda Israel Hamas wasiwe karibu nao hivyo walishaanza mashambulizi Lebanon tayari kupambana na Hizibollah ili waweke hiyo buffer zone ya kulinda mpaka wa Israel dhidi ya Hizibollah na Hamas waliotorokea LebanonHiyo Hezbollah ikicheza itafutwa kama Hamas
Story za jaba hizo 😅😅😅ule Uongo wa kuwakomboa mateka ndani ya lisaa ipo tena....Wapo hapo Gaz kms kadhaa hamjui walipo ....Ngoma nguvu hawana kiongozi ni mgambo hao wanapisha siti,kila mmoja ni kiongozi.Kaa subiria kama kuna cha maana hamas na hesbolla watafanya hapo middle east
View: https://twitter.com/Osint613/status/1744320254468108724?t=buLygcpC7Bdp3eGKrnJtTw&s=19
View: https://twitter.com/Osint613/status/1744081427510047067?t=TT1V-pqiXCP3r4KhS_dPCQ&s=19
Kuwachokoza waislael ni kumchokoza Muumba mwenyezi Mungu. Hivyo atakaye wagusa waislael atajuta. Kwa sasa hata dunianzima ijipange kupigana nao haiwezi kushindaa. Subirieni mpaka ujio wa YESU kristo mara ya pili hapo ndipo islael watapigwa kiasi cha kumuomba masia mwana wa Mungu mwokozi wa ulimwenguu, ndipo atawasaidia tenaa. Kwahyo kwa sasa kila atakaye wachokoza waislael atapoteaa. Ni ushauriii nawapeniii tuuuHizo propaganda za kizayuni tumezizowea.
Kamanda asiye na jina? Huyo nakuwa kamanda hewa.
Kwanza mapoyoyo muelewe, hakuna vyeo Hezbollah, kila mmoja ni kamanda.
Hapo ndipo mtakapoelewa kuwa hamuelewi.
😅😅😅Hakuna kukata tamaa milele hao ni mgambo tu wanapigana na MarekaniSpirit wapi watu wenu wamejificha kwenye mashimo kama panya wameachia raia wasio na hatia msala
Mnakuja kulia humu ooh wanaua watoto na wanawake wakati wao wamekuwa kama ramani ya kuchoresha wanajeshi wa IDF acha wafe
awe na jina au hana utake usitake uamini usiamini haijalishi senior Hezbllah commander kauliwa na wazayuniHizo propaganda za kizayuni tumezizowea.
Kamanda asiye na jina? Huyo nakuwa kamanda hewa.
Kwanza mapoyoyo muelewe, hakuna vyeo Hezbollah, kila mmoja ni kamanda.
Hapo ndipo mtakapoelewa kuwa hamuelewi.
Unajuwa maana ya shaheed?awe na jina au hana utake usitake uamini usiamini haijalishi senior Hezbllah commander kauliwa na wazayuni
wana wa ahadi wa mzee Ibrahimu hawanaga kazi mbovu maana Mungu yupo upande wao. Sasa wale mitoto ya beki tatu hajiri full laanaKuwachokoza waislael ni kumchokoza Muumba mwenyezi Mungu. Hivyo atakaye wagusa waislael atajuta. Kwa sasa hata dunianzima ijipange kupigana nao haiwezi kushindaa. Subirieni mpaka ujio wa YESU kristo mara ya pili hapo ndipo islael watapigwa kiasi cha kumuomba masia mwana wa Mungu mwokozi wa ulimwenguu, ndipo atawasaidia tenaa. Kwahyo kwa sasa kila atakaye wachokoza waislael atapoteaa. Ni ushauriii nawapeniii tuuu
cha msingi kamanda keshauliwa hilo ndo la maana 🤣🤣🤣Unajuwa maana ya shaheed?
MR UHARO NO 2🤣Hamas waliweka mtego muda mrefu kuwa Mazayuni waingie mpaka ndani kisha wawabane. Kama kicheche anavyotanua nyuma sehemu yake ya haja ili kuku adonoe kisha ambane kichwa.
Sasa Wazayuni wameyatimba Majemedari wa Hamas wanasema leo ndo wanaenda wamaliza hawa Mazayuni. Wamewavumilia sana. Sasa ndo mwisho wao.
Wakati huo huo wanajeshi wote wa Israel wamepatwa na mapunye, wanaumwa matumbo na wamekuwa vichaa. Wanakimbia tu mitaani hovyo huku wanakufa kama Kumbikumbi.
Iran imeshatuma makombola ya Nyuklia, Yemen imetuma drones zake,Lebanon imetuma Mivifaru ya kufa mtu. Somalia, Sudan na Egypt nazo hazipo nyuma. Hali ni tete hamtawaona tena Mazayuni hawa.
Ndivyo fikra zako zinavyokutuma.cha msingi kamanda keshauliwa hilo ndo la maana 🤣🤣🤣