LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Siku zote naongea kuhusu haki bila kujali iliko.

Ungejitendea haki kuwasema waovu bila kujali hata kama ni nduguzo au hata kama ni wakenya.

Ahh wapi nilikuambia wewe nilishakushtukia kitambo, hulka zako za kigaidi gaidi nazijua fika.... Hususan kile kipindi nilikua naona unatoa LIKES kwa kauli za kigaidi humu, naona umepunguza tangu nikuumbue.
 
Hao wakuu wa UN mbona hawatoi shinikizo kwa Hamas ili aachie mateka na vita iishe ili kunusuru maisha ya wapalestina wasio na hatia? Wanataka Israel ifanyeje? Ikubali kushindwa na Hamasa?
 
Hawa hawastahili huruma yeyote hamasi kwa ukatili walioufanya walitegemea israel itachewachekea.https://twitter.com/MOSSADil/status/1757532330862809304?t=0mXE42MkdaYnT8JoxydDeA&s=19
 
Ahh wapi nilikuambia wewe nilishakushtukia kitambo, hulka zako za kigaidi gaidi nazijua fika.... Hususan kile kipindi nilikua naona unatoa LIKES kwa kauli za kigaidi humu, naona umepunguza tangu nikuumbue.

Bila kutoa mfano angalau 1, ulichoandika hapa ni takataka tu, kama zozote zingine za dandora huko.
 
Siku za kuishi za huyo mzee snawar sasa zinahesabika! Dah! Nimejikuta navihurumia hivyo vitoto vyake. Emegine pengine ni usiku wa manane watoto wanakimbizwa kimbizwa kwenye mahandaki. Bila shaka jamaa anaishi maisha ya hofu kuliko walioko nje ya mahandaki.
 
Bila kutoa mfano angalau 1, ulichoandika hapa ni takataka tu, kama zozote zingine za dandora huko.

Ndio nimekuambia wewe nilishakuweka kwenye kundi la takataka wa kidini, wenye hulka za kigaidi, kimsingi hiyo dini kila mmoja ni potential terrorist, maana kama unaishi na mnaopenda kuwatukana kafiri na hauwachinji, basi umekiuka maagizo ya dini.....“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
Mataifa ya Magharibi huwakaribisha wakidhani mtabadilika mkielimika, ila mnazidi kuwa hatari.
Kwangi mimi, yeyote wa hiyo dini hata ujifanye ustaarabu upi, huwa najua ipo siku utaingiwa na hayo mashetwani yenu ufanye vya hovyo kulipua watu, juzi hapa nimeleta uzi wa mhadhiri wa chuo ambaye ni gaidi la alshabaab.
 
BREAKING:

[emoji298] [emoji1146][emoji1134]Hezbollah is carrying out massive bombing in the north of Israel

Hezbollah is carrying out a massive bombing in the north of Israel, after yesterday Israel bombed civilian zones in the south of Lebanon and killed 7 civilians including 2 children.

Israel reported a rocket landed in Margaliot and damaged a power line, causing outages in Margaliot, Mishgav, and Menara in Northern Israel.

The moment electricity was lost was captured on live TV during a broadcast.

t.me/megatron_ron

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sio rahisi kuacha asili hata wakielimika vipi kwenye ilmu ya dunia, ndio maana kuamini chochote kinachoandikwa na Aljazeera inabidi ujiongeze kwingine....


Ismail Abu Omar, an Al Jazeera reporter is seen (left) in Kibbutz Nir Oz on October 7, and after being hit in a strike in south Gaza's Rafah on February 13, 2024. (Screenshot: X)

Ismail Abu Omar, an Al Jazeera reporter who was wounded in an Israeli airstrike near southern Gaza’s Rafah on Tuesday, is a Hamas terror operative, Israel has said.

Lt. Col. Avichay Adraee, the IDF’s Arabic-language spokesman, said Wednesday that Abu Omar, in addition to working for the Qatari-owned station, serves as a deputy company commander in Hamas’s East Khan Younis Battalion.

On the morning of October 7, Abu Omar infiltrated into Israel and filmed from inside Kibbutz Nir Oz during Hamas’s onslaught, Adraee added.

 
Reactions: ywf
Wanatumia dini kama kivuli uislamu kuna sehemu unashda kuhusu awa magidi

Dini yenyewe imewaamrisha wakate kichwa yeyote asiyeamini katika hicho kitabu cha muarabu
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
 
Dini yao imelaaniwa italuusu vp wauwane kwa ajili ya kuipgania dini
 
Dini yenyewe imewaamrisha wakate kichwa yeyote asiyeamini katika hicho kitabu cha muarabu
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
Nia nikuwa wote tuwe waislamu au? Bikira 72 ni janga la dunia
 
hivi Hawa jamaa bombing targets zao Hua nini maana ni kama waga wanarusha tu rockets kibwena ambazo hazina impact yoyote?

kwenye report yako hakuna vitu vifuatavyo

no death reported?
no wounded
no military vehicles destroyed

Sasa waga wanarusha rocket kwa hewa kujifurahisha au ndio wanafanya majaribio?
 

Magaidi huwa wanavurumisha makombora tu kama wendawazimu.

Hawana specific Target.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…