gaintoo broisser
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 318
- 423
vita isikie tu jiranWatoto wawili wa Gaza wamewakilisha wenzao kuomba chakula kwa mtindo wa kupanda juu ya nguzo za umeme ili wasikiwe na askari wa Israel upande wa pili wa ukuta unaotenganisha Gaza na nchi hiyo.
Tunakaribia kufa,tunaomba chakula walisikika wakisema huku wakibembelezwa na wakubwa wao washuke hizo ni nguzo zina umeme ,
Baada ya hapo watoto hao waliendelea kupaza sauti na kuzitaja nchi kadhaa za kiarabu moja baada ya nyengine wakizitaka ziwaokoe na vifo kwa kuwaletea chakula.
Enyi watu wa Saudia na Oman tuleteeni chakulaa.....
Jawabu niliyoona ni hiyo.Kama umeona nyengine hukatazwe kuongeza.J
Jibu swali la kwanza uliloulizwa acha hisia
Unakosea mkuu,haya mambo ni mepesi kama hayajakukuta jamani😭Kwanini allah Hawapi chakula waja wake?
We kwa Imani ya dini yako unaweza kaa tu halafu ukaomba Mungu akuletee chakula na ikawa hivyo? au unajitoa ufahamu na kukashifu Imani ya wengine.Kwanini allah Hawapi chakula waja wake?
Allah ni fake na hatoi chakula kwa yeyote... alishindwa kuongea na Mudy wala kufanya muujiza wowote mnamzushia tu vitu asivyoweza... even kuwa na mtoto hawezi.. tasa hahahaNa kwanini anakupa wewe chakula bila kumuomba na wala huna shukran.
Chakula wamepelekewa na watu wenye huruma kwa binadam wenzao, ni swala la muda tu watakipata, wale magaidi wanaokiiba hawatapata hiyo nafasi .Watoto wawili wa Gaza wamewakilisha wenzao kuomba chakula kwa mtindo wa kupanda juu ya nguzo za umeme ili wasikiwe na askari wa Israel upande wa pili wa ukuta unaotenganisha Gaza na nchi hiyo.
Tunakaribia kufa,tunaomba chakula walisikika wakisema huku wakibembelezwa na wakubwa wao washuke hizo ni nguzo zina umeme ,
Baada ya hapo watoto hao waliendelea kupaza sauti na kuzitaja nchi kadhaa za kiarabu moja baada ya nyengine wakizitaka ziwaokoe na vifo kwa kuwaletea chakula.
Enyi watu wa Saudia na Oman tuleteeni chakulaa.....
Ila wakimuomba Vita anawasaidia siyo?. Hamas wanarusha maroketi. Au wengine wanachinja mtu uku wanasema allah akbar. Ila kwenye misosi awezi.au kaallah kanapenda kuua zaidi kanatoa msaada haraka kuwezesha kuua tu.We kwa Imani ya dini yako unaweza kaa tu halafu ukaomba Mungu akuletee chakula na ikawa hivyo? au unajitoa ufahamu na kukashifu Imani ya wengine.
Mtatafuta kila aina ya huruma lakini kichapo kipo palepale. Vipo ile kesi iliyofunguliwa na wahuni wa SA? Imesaidia?Watoto wawili wa Gaza wamewakilisha wenzao kuomba chakula kwa mtindo wa kupanda juu ya nguzo za umeme ili wasikiwe na askari wa Israel upande wa pili wa ukuta unaotenganisha Gaza na nchi hiyo.
Tunakaribia kufa,tunaomba chakula walisikika wakisema huku wakibembelezwa na wakubwa wao washuke hizo ni nguzo zina umeme ,
Baada ya hapo watoto hao waliendelea kupaza sauti na kuzitaja nchi kadhaa za kiarabu moja baada ya nyengine wakizitaka ziwaokoe na vifo kwa kuwaletea chakula.
Enyi watu wa Saudia na Oman tuleteeni chakulaa.....
Mkuu; Inategemea ni Mungu au ni Allah aliyetoa hicho chakula. Kati ya hao wawili, mmoja (Mungu) huwa hana masharti na mzigo wake ni mwepesi kwani ni mwenye UPENDO usiopimika; lakini huyo mwingine Mhhh! huwa ni Vigezo na masharti sharti uzingatie.Na kwanini anakupa wewe chakula bila kumuomba na wala huna shukran.
Mbona walisema Israel anayo sababu ya kujitetea?Mtatafuta kila aina ya huruma lakini kichapo kipo palepale. Vipo ile kesi iliyofunguliwa na wahuni wa SA? Imesaidia?
Ni kweli kabisa. Walioanzisha hilo timbwili wapo zao nje ya nchi au ndani ya mahandaki huku wakijinenepesha kwa chakula cha msaada walicho kwapua au kupora.Mikubwa imekausha alafu chakula kikija ya kwanza kula. Mdogo mdogo watawalaumu sana hamas kuanzisha hii vita
Ukiomba msaada unatakiwa uwe tayari kuupokea na sio tena unaanza kumwekea masharti Mtoa misaada. Je, huo msaada unaotolewa na UN sio chakula kwa ajili yao hao wahitaji? Mnataka awape kivipi? Nyie badala ya kupokea mnaanza tena kuhoji, kuibiana na kunyang'anyana chakula hicho.Kwanini allah Hawapi chakula waja wake?