Tarehe 07/10 uliandika ukiwa na bashasha hivi hivi?Mayahudi hawanaga huruma na magaidi.Subiri uone mziki wao.Unaweza ukatupa idadi ya casualties?Hezbollah wameanza mashambuluzi makali ya makombora Kaskazini mwa mazayuni, mpaka imewabidi mazayuni waombe msaada wa dharura kwa mabwana zao wamarekani.
Chanzo na jionee zaidi:
View: https://youtu.be/6CdbwszVYXI?si=qxT0dNuEUZ1I84B1
halina akili hilo ati watu wengine wanamatatizo yakisaikolojia...Si busara kuweka ushabik kwenye vita.
Vita haina mshindi.
Hezbollah wameanza mashambuluzi makali ya makombora Kaskazini mwa mazayuni, mpaka imewabidi mazayuni waombe msaada wa dharura kwa mabwana zao wamarekani.
Chanzo na jionee zaidi:
View: https://youtu.be/6CdbwszVYXI?si=qxT0dNuEUZ1I84B1
Waingie Lebanon kama walivyoingia Gaza ndio tutajua hawana huruma.Mayahudi hawanaga huruma na magaidi.Subiri uone mziki wao.Unaweza ukatupa idadi ya casualties?
Mazayuni hawana huruma na binadamy youote, wale ni mbwa waliolaaniwa na Mungu.Tarehe 07/10 uliandika ukiwa na bashasha hivi hivi?Mayahudi hawanaga huruma na magaidi.Subiri uone mziki wao.Unaweza ukatupa idadi ya casualties?
Vita ni biashara matron, October 7,ilipangwa itokee, ili Gaza ichakazwe, watu wahamishwe kwa nguvu! Ili ardhi ichukuliwe, watu wachimbe msfuta, sasa hii ya Lebanon, ni strategy tu, ili Lebanon ichapwe, wapelestina wakimbiziwe huko, wamuache muyahudi na Gaza yote, mosaad operatives ndani ya hizborah ndio wanafanya Yao,Hezbollah wameanza mashambuluzi makali ya makombora Kaskazini mwa mazayuni, mpaka imewabidi mazayuni waombe msaada wa dharura kwa mabwana zao wamarekani.
Chanzo na jionee zaidi:
View: https://youtu.be/6CdbwszVYXI?si=qxT0dNuEUZ1I84B1
Casualties zaidi ya miloion tatu ya Waoalestina.Tarehe 07/10 uliandika ukiwa na bashasha hivi hivi?Mayahudi hawanaga huruma na magaidi.Subiri uone mziki wao.Unaweza ukatupa idadi ya casualties?
Grandma usije Anza kulia maiti za watoto na kina Mama zikianza kuokotwa barabarani za waislam wenzakoHezbollah wameanza mashambuluzi makali ya makombora Kaskazini mwa mazayuni, mpaka imewabidi mazayuni waombe msaada wa dharura kwa mabwana zao wamarekani.
Chanzo na jionee zaidi:
View: https://youtu.be/6CdbwszVYXI?si=qxT0dNuEUZ1I84B1
Hilo halitokei kwa mashaheed, utangoja sana.Grandma usije Anza kulia maiti za watoto na kina Mama zikianza kuokotwa barabarani za waislam wenzako
maana kwa video footage iron done ina intercept drones kalibu zote swali ni je Israel nayo ikituma hao miamba Yako Hezbollah wana air defence ya kuzuia mashamburizi?
Vip kuhusu target Hakuna Raia wasio na hatia watakao ripia gharama ya vita kwa damu zao?kuna vitu hushabikiwa na MTU mpumbavu TU hasa VITA
Good thing ulishangilia sana October 7 siku Moja tu ilikupa Furaha isiyo na kikomo but bad thing imebaki ni kilio tu apo Gaza strip kuzika watoto na kina MamaHilo hjalitokei kwa mashaheed, utangoja sana.
Hapo tunajidanganya warabu wanaojua ukweli wanalaumu hamas kwa kuleta madhira kwa wapalestina, huyo kijana wa Kiyahudi siku akichomwa kisu na hamas ndo ataelewa nini maana ya hamas, Israel imetoa condition ya kusitishwa vita endapo tu mateka wataachiwa, waliachia mateka tu siku hiyo hiyo vita inaisha ni kwa mjibu wa balozi wa Israel UN mr Girad. Badala ya kuandamana ili hamas waachie mateka waliobaki ili Israel isitishi vita na kuachia wapalestina waliokamatwa tangua 7 October, sasa hamas wamekuja na sharti lingine ili waachie mateka wanataka taifa la Palestina liiundwe kwanza, ngoma bado mbichi Israel hayuko tayari kusikia kitu hicho, swali la kujiuliza kwa nini wasiunde taifa moja ? Na hayo makabila 2 arabs na Jews wakaishi kwa amani ndani ya nchi moja?