kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
ukiyavulia nguo yaogwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bado Kudadadeki zao mbona Watamkoma Netanyahu na Waisraeli hadi wenyewe Waombe Poo Kwao na Kutulia.
Walikua wanawasifia ,majamaa ukiyaacha yanajiona mamiamba sana Iran ana intelligence kali sana level za US na Russia ndio maana hatoi maboko yakindezi ila anawajaza tu mapimbi yakiarabu nayo yanajaa kwenye mfumohahahahahha!so unamkubali sana mwamba anavyowanyoosha hao wapuuzi!yaani wamemchokoza mwenyewe wanapigwa wanalialia!wakati anachokozwa wafuasi wao walikaa kimya, kaanza kuwachapa wafuasi wao (wengine wako huku tz) wanapiga mayowe kama WAJINGA
Israel iko Vitani na Urusi na Korea Kaskazini? Nikiwaasa tu Kutwa hapa JF kuwa Bangi ni mbaya muiache hamnisikii tu.
Raha kuwa Muisrael.NO ANY CEASEFIRE WITH HEZBOLLAH AND LEBANON UNTIL VICTORY IS ACHIEVED
Shikamoo Benjamin Netanyahu na Waisraeli wote. Yaani nawakubali mnavyonichapia hawa Wapuuzi hadi raha sana.
Kudadadeki.
hahahhaa si majinga!ndo maana yanajazwa upepo yanajaa!matokeo yake yanasababisha mauaji kwa watu wasio na hatia!HAMAS WAPUUZI SANAWalikua wanawasifia ,majamaa ukiyaacha yanajiona mamiamba sana Iran ana intelligence kali sana level za US na Russia ndio maana hatoi maboko yakindezi ila anawajaza tu mapimbi yakiarabu nayo yanajaa kwenye mfumo
HAAHAHHAAHAHAAnachowafanyia Netanyahu kwa Kuwanyoosha hao FOOLS ni kama tu GENTAMYCINE ninavyowanyoosha FOOLS JF.
Kwani ndio leo Israel imeanza kupigana Hezbollah! Israel ina uwezo mkubwa kijeshi kuliko hata baadhi ya nchi za ulaya, sasa mbona imeshindwa kuwamaliza. Akili za kuambiwa changanya na za kwako. By the way, is Hamas done yet?Uje na Kiingereza chako hiki Uchwara cha kwa Ras Simba hapo Mwenge Mapambano au wapi, ila Netanyahu atawanyoosha tu.
Siyo Israel [emoji1134], ni Marekani yupo kazini mkuu.NO ANY CEASEFIRE WITH HEZBOLLAH AND LEBANON UNTIL VICTORY IS ACHIEVED
Shikamoo Benjamin Netanyahu na Waisraeli wote. Yaani nawakubali mnavyonichapia hawa Wapuuzi hadi raha sana.
Kudadadeki.
Rubbish.Siyo Israel [emoji1134], ni Marekani yupo kazini mkuu.
Bila U.S.A kumsaidia Israel kwa vifaa vya kisasa vya kijeshi...hatuboi hapo.
Nb.Pitia baheti ya USA [emoji631] ni namna gani inaisaidia Israel [emoji1134].
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Moderator msaidieni huyu ndugu. Matatizo ya akili huanza taratibu halafu baadae tutasikia mtu amejidhuru humu.Anachowafanyia Netanyahu kwa Kuwanyoosha hao FOOLS ni kama tu GENTAMYCINE ninavyowanyoosha FOOLS JF.
Hujawahi kumiliki Akili tokea ubahatishwe Kuzaliwa.Kashindwa kuwamaliza hamas ndo awamalize Hezbollah? Ni mjinga pekee ndo atakaye amini huo utahira
Watoto wamechezea wembe, sasa unawakata wanalia machozi 🤣Kazi kazi tu ,si wanawachokozaga wenyewe...
Acha awanyooshe
Ova
Wao ndy wanalianzishaWatoto wamechezea wembe, sasa unawakata wanalia machozi 🤣