"Nimesema na nasisitiza: ikiwa tutaogopa kifo, tunaogopa kufa kitandani, kama ngamia. Tunaogopa kufa katika ajali za barabarani au kutokana na kiharusi au mshtuko wa moyo. Hata hivyo, hatuogopi kuuawa njiani. ya dini yetu, nchi, na maadili matakatifu.Shairi la kujiliwaza na kujifuta maji yatokayo machoni.🤔
SINWAR IS DEAD, REDUCED TO ATOMS, HE DIED LIKE A RAT HE IS."Nimesema na nasisitiza: ikiwa tutaogopa kifo, tunaogopa kufa kitandani, kama ngamia. Tunaogopa kufa katika ajali za barabarani au kutokana na kiharusi au mshtuko wa moyo. Hata hivyo, hatuogopi kuuawa njiani. ya dini yetu, nchi, na maadili matakatifu.
Damu na uhai wetu si wa thamani zaidi kuliko damu na uhai wa shahidi mdogo zaidi ambaye alidhabihu maisha yake yenye thamani kwa ajili ya nchi hii ya asili, dini, na maadili matakatifu.”
Amiri Mkuu wa Uislamu, Yahya Sinwar
Amekufa huku analia kwa maumivu/uchungu mwingi sana."Nimesema na nasisitiza: ikiwa tutaogopa kifo, tunaogopa kufa kitandani, kama ngamia. Tunaogopa kufa katika ajali za barabarani au kutokana na kiharusi au mshtuko wa moyo. Hata hivyo, hatuogopi kuuawa njiani. ya dini yetu, nchi, na maadili matakatifu.
Damu na uhai wetu si wa thamani zaidi kuliko damu na uhai wa shahidi mdogo zaidi ambaye alidhabihu maisha yake yenye thamani kwa ajili ya nchi hii ya asili, dini, na maadili matakatifu.”
Amiri Mkuu wa Uislamu, Yahya Sinwar
Wakifa si wanaenda kuwa mashaidi...some where peponi huko huko middle East kwa AllahHii vita iishe jamani
Watoto wana suffer jamani
Naona tumeamua kumuachia MUNGU sasaHatajua lini na kipi kitampiga,kwa uovu huo anaouendeleza,atashangaa kitakachompiga
Mungu ni mmoja tu,kila mtu humpa jina lake,hata kwa kabila lako humwita kwa jina lenuMungu wa Mbinguni au Allah?🐼
Nyie muwe na subira tu,mtashuhudia nayosemaYamekuwa hayo tena!!
Ingekuwa heri kwako ikiwa ungeibariki Israel na Netanyahu!!
Israel hailaaniki sababu imebarikiwa, kuilaani ni kuibariki wakati kwako ukilaanika, na kuibariki ni kuibariki.
Chagua uamuzi sahihi.
Nani anamchokoza mwenzie?Wao ndiyo wameanza uchokozi
Ova
Sio hivyo tu,bali nyie subirini tuNaona tumeamua kumuachia MUNGU sasa
Nasikia kashabondwa....ila wangeachana na hizi mambo