antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Waziri wa ulinzi wa Marekani Lloyd Austin ametoa taarifa kuhusu mashambulizi dhidi ya Israel yanayofanywa na wanamgambo wa Kipalestina.Hawawezi kumsaidia Ukraine na Israel kwa wakati mmoja.
Tunatakiwa tupange uzazi Misitu ya Afrika kila siku tunaikata Mikaa kwa ajili ya kulisha Jamii inayokua kwa kasi.Ndo kujiangamiza kwenyewe huko !!
Ni wakati muafaka pia China kuivamia Taiwan.Hawawezi kumsaidia Ukraine na Israel kwa wakati mmoja.
Watu wanaowatemea mate na kuwafanya kama mbwa kwa imani yenu tu, bado mnawakumbatia?Mbona nyie mnaona waarabu "Miungu Watu" na hatusemi
Everything that happen to Israel, happens for the groly of GOD.Waristo wote wa Ulaya waliwakataa kwa kutomtabuwa Yesu na ubaguzi wao. Walifikia mpka akuuliwa million 6 na mkatoliki Hitler.
Wewe nani zaidi ya kuwa ni muabudu mzungu tu.
Wow, go Israel goooJust in:The Hostage Situation in the City of Ofakim has finally Ended with the Hostages being Saved by Special Tactics Teams and the Terrorists having been Eliminated; 2 Soldiers were Lightly-Injured during the Operation.
Lampedusa ni kituo tu, sio mustakabali wao. Wanataka kuingia kwenye majiji makubwa ya Ulaya.Yohana kaguswa sana na vita ila mimi nashangaa kwanini Lampedusa Italy inavamiwa na maelfu ya wakimbizi wa Kiafrika na hajatia neno.
Wachafuzi wakuu wa Mazingira ni wakubwa wa hii Dunia !!!Tunatakiwa tupange uzazi Misitu ya Afrika kila siku tunaikata Mikaa kwa ajili ya kulisha Jamii inayokua kwa kasi.
Tuvae Condom
Hili ndo neno la Mungu sasa wewe bishana na MunguAcha kulariri visivyokaririka jamaa
Hilo neno la Mungu la dini gani? Hao waisraeli kila siku wanawachukia wakristu kama nini, acheni kujipendekeza waisraeli hawawatakii!
Kwa kweli hata mimi nimekosa ripoti sahihi. Waafrika tutaendelea kuwa duni sana kwa ushabiki wa ovyo. Wayahudi na Wapalestina wote ni watu. Bado nasema UN ni genge la wahuni linalotegeneza migogoro dunianiNilitegemea kupata update kuhusu kinachoendelea huko battle field kwenye huu Uzi.., lakini badala yake nakutana na mipasho ya kidini na mipasho isiyo na muelekeo!
Kweli waafrika aliyeturoga kafa!
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Exodus 19 and 24.Watu wengi tulidanganywa zamani mkuu ndio maana wapo wanaona Israel ni Taifa Teule la Wakristo wakati si kweli wale ni wapinga Kristo na walipata laana ya kutawanyika na kuwa watumwa wa Waroma kwa sababu hiyo...
Kwaiyo unadhani wa Israel 1970 ndo Hawa wa leπ΅gopa nchi iliozungukwa na maadui kila upande?Muwe mnatunza akiba ya maneno. Unahisi wapalestina na Hao Hizbolah wao hawakuwi eeenh, unahisi wapalestina wa 1970 ndio Hawa wa leo?
Kwa hili naungana na wewe mkuu kp kipanya44 100%Nilitegemea kupata update kuhusu kinachoendelea huko battle field kwenye huu Uzi.., lakini badala yake nakutana na mipasho ya kidini na mipasho isiyo na muelekeo!
Kweli waafrika aliyeturoga kafa!
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Ufaransa imeweka ulinzi mkali sana mpakani havuki mtu.Lampedusa ni kituo tu, sio mustakabali wao. Wanataka kuingia kwenye majiji makubwa ya Ulaya.
Aliwapa nchi yao au hadi Gaza wanayoikalia kwa mabavuHili ndo neno la Mungu sasa wewe bishana na MunguView attachment 2775260