Tangu kuanza kwa mwaka huu 2023 Israel imekuwa ikiendesha utwaaji(occupation) wa maeneo yanayokaliwa na Wapalestina.Hakukua na sababu ya Hamas kuvuka mpaka na kwenda kushambulia Miji na Vijiji vya majirani zao.
Acha nongwa mwisho wa taifa la kimchongo la Israel umefika Palestine wamekuwa wakionewa sana na waislam kuuliwa na kuteswa kwenye ardhi yao, kuchukuliwa ardhi yao na maeneo ya Ibada ya kihistoria. Mungu awape nguvu Hamas watafanikiwa tu hakuna lisilowezekana
Hivi unajua Taifa la Israel liliundwa mwaka Gani!? Na kabla ya hapo wa Israel walikua wapi!? Nakupa home workAliwapa nchi yao au hadi Gaza wanayoikalia kwa mabavu
Unafikiri Taiwan yupo anacheka tuNi wakati muafaka pia China kuivamia Taiwan.
Hamas hawajasema kuwa hiyo ndio sababu kuu wamesema ni Msikiti wa JerusaleymTangu kuanza kwa mwaka huu 2023 Israel imekuwa ikiendesha utwaaji(occupation) wa maeneo yanayokaliwa na Wapalestina.
Ni hatua ya mwisho ya Vita kati ya Ukraine na Urusi.
Chanzo cha taarifa usijekuwa unaleta taarifa za kimemkoWanamgambo Lebanon Hezbollah wamelipua Radar station ya Israel
— [emoji1134]/[emoji1193]/[emoji1146] Morning of October 8th, status update:
– One radar station and two IDF outposts targeted with mortars and ATGMs by Hezbollah
– 27 IDF killed in operational activities to clear settlements from Palestinian infiltrators
– At least dozens, possibly hundreds of Palestinian fighters still inside Israeli settlements near Gaza
– Approximately 100 Israeli hostages, most of them active IDF soldiers, still in captivity of Hamas in Gaza
– Israeli Defense Forces unsucessful in entering the main combat phase and entering Gaza so far, Hamas sending reinforcements to captured settlements, especially Be'eri
@Middle_East_Spectator
Chanzo aljZeera na bbc londonChanzo cha taarifa usijekuwa unaleta taarifa za kimemko
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Hii ajabu sana.Huyu ndege alitumwa kutoa ujumbe kwa mayahudi kwamba siku zao za mwisho zimekaribia
View: https://www.youtube.com/watch?v=8GoqE11M45A
Ila wao Israel wanavyowapiga wapalestina mpaka misikitini ni sawa si ndio!?? Angalizo...Mimi ni mkristo usinijie na Majibu ya kidini....Watu wa haki za binadamu wasiaze kulialia ,majibu yatakua mazito sana
Lete na Matayo ile sehemu waliyolaaniwa na kwenda kuwa Watumwa Roman Empire...Exodus 19 and 24.
This is the covenant God establishes with the people of Israel at Mt. Sinai after he led them out of Egyptian slavery. With it, God supplies the Law that is meant to govern and shape the people of Israel in the Promised Land.
Sijaona hiyo taarifaChanzo aljZeera na bbc london
Acheni upendeleo.. Israel si yupo hapo miaka yote anawapiga wenzake...mbona hamkuwa mnakemea!!? Ukraine kaguswa kidogo Dunia nzima keleleee.... Acha wachapaneMuda wa Israel kulaumiwa umefika. UN, Human Rights Watch, Save The Children na mashirika kibao ya haki za binadamu muda wao huu wa kuandika nyaraka nyingi.
Collateral damage itakuwa kubwa soon kuna watu watalalamika Israel ikijibu mashambulizi
Vita ni vita chochote kilichipo kitatumika kwa pande zoteKipigo cha mbwa mwizi kikolea msije sema ni vita dhidi ya imani fulani.