Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
baina ya israel na palestina yupi gaidiUGAIDI hauna nafasi kwenye Jamii zilizostaarabika
Msikiti wa al-aqsa?Hamas hawajasema kuwa hiyo ndio sababu kuu wamesema ni Msikiti wa Jerusaleym
Hahaha kweliHilo baraza siku hizi limekuwa kama mikutano ya AU
Hilo eneo lililojengwa Msikiti ni eneo la Hekalu la Mfalme Selemani kabla ya uvamizi wa Majeshi ya Waarabu kutoka Saudi Arabia ya leo.Msikiti wa al-aqsa?
Mbona Wachina wapo wengi na ni Nchi moja na Uchumi wa Nchi inakua Tanzania yenyewe watu wapo mijini huko kwingine ni mapori tu sema Waafrika hatuna Uzalendo kama wa wenzetu ili tukatengeneza maisha bora kwa wote sio kwa hao wachache tu waliopo kwenye list ya Teuzi.Kwa hii miongo tumezaana kwa wingi sana kuliko jamii zozote na umasikini unazidi kuongezeka.
Tukipunguza Watoto na Quality ya Maisha itaongezeka na tutatumia resources kwa ufanisi.
Umenikumbusha tukio la kusikitisha sana, kuna mkristo alifariki hapa Zanzibar (Kumba Urembo, mimi shahidi), kiongozi wa kidini wa kiislamu akaingilia kati akasema hawezi kuzikwa katika eneo hili (Kumba urembo) eti ardhi itapata najisi!Kuna uonevu zaidi ya huo, unamnyima mtu haki ya kuzika??
Ndugu yangu mimi ni Dereva na ninatembea Nchi hii sana ninaona mazingira yanavyoharibiwa na shughuli za Binadamu.Mbona Wachina wapo wengi na ni Nchi moja na Uchumi wa Nchi inakua Tanzania yenyewe watu wapo mijini huko kwingine ni mapori tu sema Waafrika hatuna Uzalendo kama wa wenzetu ili tukatengeneza maisha bora kwa wote sio kwa hao wachache tu waliopo kwenye list ya Teuzi.
Waisrael wamechanganyikiwa wewe kwa sasa!Qmamae...yaani hao mbumbumni wampigr Israel ...Ile ya kuvizia Jana imepita Sasa kinachoendelea ni kichapo !
Nilitegemea kupata update kuhusu kinachoendelea huko battle field kwenye huu Uzi.., lakini badala yake nakutana na mipasho ya kidini na mipasho isiyo na muelekeo!
Kweli waafrika aliyeturoga kafa!
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Hata historia za google na Wikipedia huzijui. Tangu 48 Israel kawaangamiza sana waarabu. Even now mpaka keshokutwa utaleta majibu watavyosawakwa na kula chuma