LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Urusi ingewaambia watu wa Kiev hivi, dunia nzima ingelia na kulalamika.

Nimegundua warusi ni wastaalabu sana.
 
Watu weusi wote wanaoishabikia Israeli mambumbumbu and equally kwa weusi waislamu wanaowashabikia WaPalestina; Mwisho wa siku si wayahudi au wazungu au waarabu wanatupenda cc watu weusi. Lets mind our business tu. Utakuta mtu mweusi desperate kuishabikia Israel au mtu mweusi muislamu desperate kujifanya kuitetea Palestina wakat hao watu wote hata hawaijui Tz ipo wap 99% and hata hawaijali😂😂😂😂
 
We’re in Sderot. Horrible scenes throughout the town. Blood stained sidewalks, cars in the middle of the road with blinkers still flashing. Bullet holes in the windshields. This is the police station where 10 officers were killed. It was destroyed overnight by the Israelis.
 

Attachments

  • 20231008_145147.jpg
    217 KB · Views: 3
Israeli units are picking up rockets that continue to rain down on Sderot.
 
Factions in Gaza continue to launch short range rocket attacks against areas in the Gaza envelope in an effort to assist any members currently still operating there as the IDF evacuate the remaining civilians.
 

Unakuta mpumbafu mmoja mweusi tii,anaitetea palestina kisa ni wavaakobazi wenzake huo ni upumbafu.
 
Kwa wale wasiomfahu huyu mungu Baal(Bael, au Baell)

Ni mmoja kati ya malaika waasi walitupwa kutoka mbinguni; miungu ya zamani ambayo watu wa Kaanani ( baadae wanaokuja kufahamika kama wana wa Israeli) walikuwa wakiiabudu (SOMA 1 WAFALME 20:-40).

Wana wa Kaanani wilikuwa wakitoa kafara ya kuteketeza kwa moto watoto wadogo kwa mungu Baal.

Inasemakana Baal ana vichwa vitatu, kimoja cha mwanadam, cha chura na cha paka.

Pia sanamu ya ng'ombe, au mwanadamu mfano wa ng'ombe hutumika ku present Baal.


In hell, Baal rules inventions and discoveries.


 
Namba sahihi ni waisraeli 350 na wapalestina 300 na zaidi.
Hao ni ndani ya Gaza, je umehesabu wale militants waliofyekwa ndani ya Israel na bale maeneo ya border? Maana walidanganywa kuwa wakishaingia na kukimbilia kwa wingi ndani ya Israel hawatafanywa kitu sababu itaonekana ni mauaji ya halaiki yakifanywa mbele ya vyombo vya habari dunia ikishuhudia.
Sasa hivi Israel haitaki kujua raia na askari wake waliotekwa wamepelekwa wapi wala haijatoa wito wa kutaka waachiwe, so wakiuawa watahesabika wamefia vitani, and Hamas walitaraji labda kwa kuteka raia wengi vile wa Israel itawapelekea Israel kutowashambulia wakiogopa raia wao kuuawa, au wawatumie kama human shield lakini sasa ni kama wamepandwa na kichaa, wanafagia tu.
 

Sijitoe akili uarabuni bila kuungama na western countries ni afadhari hata na afrika,dubai ni uwekezaji wa mzungu ule kuifanya civilization arabia baada yakuonekana ujinga wa dini umewakaa na hawataki kuaacha licha ya kuwa wamepotoka,soon las vegas itahamia the emirate.

Ule upuuzi wa kua nakutenaga wengine kisa dini unaenda kuisha hapo middle east,wazungu sio wajinga.
 

Hapo ndipo hizi imani za dini zimefanikiwa,yani kuwafanya wafuasi wake kuwa ma ndezi na mazombi.
 
Well said mkuu[emoji1376]
I second you.
 
Hebrew Channel 12: "More bodies of Israelis have been found ... the death toll will rise significantly."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…