Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Maana humu Kuna watu wanataka kutuamisha vitu vya uongoKabisa naunga mkono hoja ๐๐
Aisee kwahiyo unaamini Israel ni ardhi ya wapelestina?Acha upumbavu aliye kwambia wapalestina wanahitaji hizo takataka ni nani, kinacho takiwa ni Israel kuondoka kwenye ardhi za yao tuone kama wapalestina watakuwa na muda na hao wayahudi.
Kwani uneambiwa wapalestina hawawezi kujenga hospital zao na vituo vya umeme mpaka uje kupora ardhi yao?
Au kipindi nchi yako inatawaliwa na wakoloni watu walikuwa hawapewi huduma za afya na umeme?
Kwa hiyo unakataa taifa teule halija omba msaada silaha?Unapomwambia atumie akili unamkosea sana mkuu what if kama hizo akili zenyewe hana?
We kiazi , comment unaipita kama huioni umeamua kukimbia majadiliano kutokana na umbumbumbu wako.Unapomwambia atumie akili unamkosea sana mkuu what if kama hizo akili zenyewe hana?
What they haven't published is the number of those rockets intercepted by IDF.Hamas publishes footage showing barrages of rockets launched from the Gaza Strip toward the Israeli cities of Tel Aviv and Ashkelon last night.
Hata Quran haikuwasema wakristo wote ni wafuasi wa Paulo hivyo naongelea wafuasi wa Paulo si wafuasi wa Yesu.Sidhani km ambao wako upande wa Israel wote ni wakristo!
Pili hata hiyo hamas Ina watu nyuma yake, so ngoma droo
Nasubiri mwisho wa haya...
Mkuu hiyo tangu enzi na enzi Israel ndo hiyo Kauli yao ni kuteketeza Kila kiumbe haijalishi n Mnyama au Binadamu mtoto kwa Mkubwa!! Ukisoma history yao ndo hivyo, hata Sauli aliagizwa na Mungu ateketeze Kila kitu katika Nchi Ai lakin akaacha wananya Mungu alichukia sana.Clearly Iran wameisahau 6 Days War. Israel alipigana vita ya siku sita dhidi ya nchi 3 na akazishinda. Usicheze na lile taifa, hata Waziri Mkuu ameongea kwa kujiakini kabisa kwamba tuko vitani na tutaishinda hii vita.
Halafu watu wanasahau kuwa Isreal sifa yao ni kufanikisha mission, siyo kurudi ukiwa hai, wanajeshi wamefundishwa kufa kwa ajili ya taifa lao, wala hata hawajali kifo, yet casualties kwao inakuwaga ndogo sana ukilinganisha na atakavyomchakaza adui. Tell you watawaua Palestina many times ya namba ya watu wao waliokufa, unaambiwa usiku wa leo hawajalala Gaza, likely Gaza will never be the same again
Safari hii Gaza inarudi kwa watoto wa Yakobo. Mungu ibariki Israel, walinde watoto wa Yakobo.Haya niwaulizeni mliokua mnashabikia kuwa eti kuwa Gaza itageuzwa majivu na wapalestina wanaenda kufutwa mko wapi?Yashapita masaa 48 sasa
Ni kipi Israel wameweza kufanya cha maana?
Taifa teule la Mchongo haya uko wapi usuperpower?
Tuliwaambia Israel sio chochote wala lolote mkabisha
Waisrael karibia 1000 washauawa sasahivi wanatapatapa kupiga majengo na open space tu??
Hawa ndo wale mnasema wangekua na ubavu wa kuishambulia Iran au kupigana na Hezbollah?
Taifa linalopewa misaada ya hali na mali linachakazwa na vitoto ya Hamas ambao hata 3000 hawafiki
Ndo maana Snowden alisema Israel sio lolote bali linakuzwa kwa propaganda tu
Mambo mengine ni fedheha tu na vichekesho imagine kamanda wa jeshi komandoo nzima anadakwa kizembe hivi na Hamas[emoji1313][emoji1313]
Mko wapi mliokua mnasema Hamas na Palestine inaenda kufutwa??View attachment 2776673
Hiyo history niliyoeleza ndio certified zaidi na yote haya yameandikwa na kuhakikiwa katika ุชุงุฑูุฎUjue shida hapa Kila mmoja ataongea na kutetea hoja kutoka Kona tofauti.
Km ni kutokea kwenye Kona Imani , Muslim atatetea kivyake,na mkristo atatetea kivyake ..
Halafu Kuna Kona ya siasa...
Ndo maana mi mgumu sn
Kila mmoja abaki na anavyoamini!
Hakuna mwanadamu anaweza kulimaliza hili,watatulia Kwa muda wataanza Tena ..
Mpk like neno litimie!
Acha kutuletea hadithi za kitabu chenu maana si kila mtu anakiamini.Aisee kwahiyo unaamini Israel ni ardhi ya wapelestina?
Israel ni kaanani,hawataondoshaa ht hao hamars wapigane vipi!
Tupo hapa, tusubiri matokeo
Mi nakwambia ukweli unakuja na ghadhabu, kutokujua kitu haimaanishi unachodhani ndicho. Jifunze uishi kwa amani. Hizi hasira si uende ukasaidie hamas vita tu.Acha upumbavu aliye kwambia wapalestina wanahitaji hizo takataka ni nani, kinacho takiwa ni Israel kuondoka kwenye ardhi za yao tuone kama wapalestina watakuwa na muda na hao wayahudi.
Kwani uneambiwa wapalestina hawawezi kujenga hospital zao na vituo vya umeme mpaka uje kupora ardhi yao?
Au kipindi nchi yako inatawaliwa na wakoloni watu walikuwa hawapewi huduma za afya na umeme?
Nimefuta kauli sawaWarabu ni wajinga kumbuka UN 1947s walitaka kugawa nchi hiyo iwe nchi mbili Israel na Palestina, Israel walikaribisha mpango huo ila sasa muarabu akisapotiwa na muarabu wa mbali alikataa.
For now hata huo mpango haupo tena, kifupi no nchi ya Palestina, ebu tuone hatua zinazoenda kuchukuliwa na makomandoo wa pande zote mbili ok