source is one lazy jobless adolescent at Malampaka Shinyanga using a borrowed causin phone.BREAKING: Rockets fired from Lebanon towards Israel
Waarabu hata wakifa hawana hasaraHio Strategy itasababisha vifo vingi sana,na wengi watakufa kwa Njaa.
Yoav Gallant Waziri wa Ulinzi wa Israel amesema wameizunguka Gaza na hawataruhusu Chakula, Umeme wala Mafuta kuingia
Tunapigana na Binadamu Wanyama sana na Sisi lazima tuwatendee hivyo hivyo, amesisitiza
Watanzania tuzidi kuwaombea ndugu Zetu wa Palestine!
Lakini unajua kama hata Hamas imeua raia wasiokuwa na hatia.Kuna watoto na wanawake wasio na hatia wanasababishiwa vifo bila sababu
Huo ubaguziWaarabu hata wakifa hawana hasara
WAliofanya hicho kitendo ni Hamas walipiziwe wao siyo watoto na wanawake ambao hata bunduki hawaijuiLakini unajua kama hata Hamas imeua raia wasiokuwa na hatia.
Kama ilivyo wewe mtu mweusi Kwa watu weupe ukifa sawa kama kafa paka pori!.Waarabu hata wakifa hawana hasara
Lakini unajua kama hata Hamas imeua raia wasiokuwa na hatia.
Sasa hv huna habr nyingine, ww ni Israel tu ht Mzee Mgaya umemsahauYoav Gallant Waziri wa Ulinzi wa Israel amesema wameizunguka Gaza na hawataruhusu Chakula, Umeme wala Mafuta kuingia
Tunapigana na Binadamu Wanyama sana na Sisi lazima tuwatendee hivyo hivyo, amesisitiza
Watanzania tuzidi kuwaombea ndugu Zetu wa Palestine!
Mzee, hii hoja haina mantiki. Kama ingelikuwa na mantiki dunia isingekalika!Siyo Kweli Hiyo Aridhi ni ya Israel tangu enzi!! History inaanza hapa baada ya Ibrahim kuambiwa na Mungu Toka kwenye Nchi ya Baba ako soma hapa
Vita ni kazi ya shetaniKuna watoto na wanawake wasio na hatia wanasababishiwa vifo bila sababu
Tipical Tanzanians,what a silly comment..!!what a silly person you are..Tuwaombee ili iweje, Nasubilia pasafishwe ili nikalime bustani ya Karoti... 😐😐