LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Your browser is not able to display this video.


Your browser is not able to display this video.


Your browser is not able to display this video.
 
Mkuu achana nao hao mapimbi wasioelewa.
Kifupi Ukraine hajaanzisha yeye mapigano bali anajitetea. Hawa washenzi wameanza wenyewe nasi tunasema acha wapigwe
 
Hawa Israel wanasifiwa sana kwa kuwa na ujasusi wa hali ya juu

Imekuwaje mpaka adui anaingia ndani ya mipaka yao hawakuwa na taarifa zozote za kiitelejinsia

Hamas wanaua watu mitaani, wako mitaani na wanaua watu nyumba hadi nyumba. Mpaka mamlaka za Israel zinawaambia raia wajifungie ndani

Shirika la ujasusi la Israel MOSSAD wamefeli sana
 
Sasa hv huna habr nyingine, ww ni Israel tu ht Mzee Mgaya umemsahau
 
Nawaombea sana, sababu unaweza kuta maamuzi ya kiongozi mmoja mpuuzi yanaathiri hata wasiohusika,

Na ndio uhalisia, si ajabu kukuta asilimia 99% ya wakazi wa Gaza hawakujua hata mipango ya hao viongozi wao kushambulia Israel, ila malipo wanalipa wao huku hao viongozi wapo mbali na eneo la tukio
 
Siyo Kweli Hiyo Aridhi ni ya Israel tangu enzi!! History inaanza hapa baada ya Ibrahim kuambiwa na Mungu Toka kwenye Nchi ya Baba ako soma hapa
Mzee, hii hoja haina mantiki. Kama ingelikuwa na mantiki dunia isingekalika!

Kuna jamaa alitoa mfano humu kuwa wamasai kwa imani yao ng'ombe wote ni kwa ajili yao wapo chini yao.

Kwa imani hiyo Mmasai aitumie kila akikuta ng'ombe ajibebee tu kisa kwa kile wanachoamini wao?

Au waje mabudha kutoka mataifa tofauti wadai kuwa Budha amewaambia nchi yao ya ahadi ni Tanzania hivyo tuliyomo Tz inatubidi tuondoke wewe utaondoka? Kisa imani yao ya kibudha? Au kila ng'ombe mmasai ana haki ya kumchukua tu kisa imani yao?

Ukanda wa Kilwa ilikuwa ni dola ile inayojitegemea na mpaka imeandikwa kwenye kitabu cha Ibn Batuta. Ilikuwa inatawaliwa na waajemi (Iran).

Iran akija leo akisema ni sehemu ya kwao kisa waliambiwa ni urithi wao kwa imani zao za kale wewe kama mtanzania utakubali kulitoa eneo lote la Tanzania lilikuwa Dola ya Kilwa ya zamani?
 
Wapalestina wamepata akili. Kipindi cha nyuma walikua wanapigana na mawe na makombeo. Kwenye hii vita taifa teule lime ona moto
 
Tuwaombee ili iweje, Nasubilia pasafishwe ili nikalime bustani ya Karoti... 😐😐
Tipical Tanzanians,what a silly comment..!!what a silly person you are..

Thinking that the massacre of Palestine by israelies its like killing of cockroaches muslims,failing to understand that the conflict has got nothing in connection with christianity or the so called UKAFIR by myself..

My friend there are a lot of christians who are palestinians too,to think that palestianians are muslims and praising Jews as the Nation of God its the sign of your pure ignorance,wake up the Jews doesnt even recognize JESUS AS THEIR GOD,THE SON OF GOD OR OTHERWISE..
 
"No electricity, no food, no fuel. We are fighting human animals and we will act accordingly."

Israel's defense minister
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…