Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saudi Arabia: Israel Wana haki ya kuilinda nchi yaoHilo la kukatiwa umeme wapalestina halijaanza leo wala jana. Kichapo alichochezea myahudi hilo la umeme mbona kachelewa sana? Kachanganyikiwa?
Vijana wa Kipalestina japo wachache lakini bado wapo ndani ya miji ya Israel na wanaendeleza kutuma makombora ya kutengeneza sido.
Israel nchi nzima wameambiwa wajifungie kwenye mashimo ya kujikinga na mabomu kwa masaa 48, kula kunya kulala humohumo mashimoni kama panya.
Huko kuna tanesco.
Hamas itabaki historiaNdiyo wanye lakini watakumbuka tu, no free lunch. Wapalestina ni tofauti na wale mbwa wanaotemewa mate njiani na wao wameufyata tu.
Si umeona, au hujaona?
Am not sure if this is rhetorical question or a genuine one, but for yesterday the number was more than 100
259 so farAm not sure if this is rhetorical question or a genuine one, but for yesterday the number was more than 100
Hakuna jipya, watu washapokea vichapo miaka na miaka, shida ni wazungu wanaojiita Waisraeli ambao hawajazoea kashkash.Sawa ila majibu ya Israel yatakayotoka kwa wapalestina msianze kulia lia
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Sasa Wapalestina wamekatiwa Huduma za Mafuta na ChakulaHakuna jipya, watu washapokea vichapo miaka na miaka, shida ni wazungu wanaojiita Waisraeli ambao hawajazoea kashkash.
Sio kila shabiki wa Palestina ni muislam,Waislamu mnaona mnafurahi sana.
Sasa kichapo kimeanza huko, msianze kulia. Ukiona vipi, panda mwewe kawasaidie nduguzo katika imani.
Anayecheka mwisho hucheka zaidi.
Hata hao wapalestina wanajifichia dini Ili kupata huruma hamna mtu wa mungu yeyote anaesema anafanya hivi na Allah au mungu atambarikiWaafrika mngekua mnawajua hao Waisrael tabia zao msingejipendekeza kwao maana wao hawawatambui kama ninyi ni binadamu...
Ungekuajiuliza kama gaza strip iko under Israel surveillance je silaha wamepataje? Kama silaha zimeingia na chakula kitaingia. Hakuna kitu hapoSasa Wapalestina wamekatiwa Huduma za Mafuta na Chakula
Hii ni zaidi ya Vita sasa duh!
Humu hatufahamiani imani zetu, mtu anaweza shabikia kitu ukadhani ni wa imani ile kumbe pagani kabisa.Wameanza kulionja joto la jiwe. Wamejikunja kama panya kwenye mashimo, wanajambajamba hovyo hapo.
Sio kweli Nyerere alikua upande wa Palestine na alikataa kuweka ubalozi hapa wa Israel zipo Nchi nyingi Afrika zinatofautiana kuhusu huo mgogoro bila kujali imani zao hao SA hawataki hata kuwasikia Waisrael ila Nchi ina wakristo wengi...Asilimia kubwa ni waislam, wanawatetea ndugu zao katika imani. Huoni bibie FaizaFoxy ameshaweka kambi humu, amekuwa kama yule mwamba wa zama za Saadam Hussain kuke Iraq 🇮🇶