Lihakanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 4,823
- 6,416
Subir uoneKaz Nzuri kuna wajinga fulan uwa wanaamin waizilaeri ndio kila kitu kumbe misaada ndio inawabeba
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subir uoneKaz Nzuri kuna wajinga fulan uwa wanaamin waizilaeri ndio kila kitu kumbe misaada ndio inawabeba
Huyu ndege alitumwa kutoa ujumbe kwa mayahudi kwamba siku zao za mwisho zimekaribia
View: https://www.youtube.com/watch?v=8GoqE11M45A
Vita ni akili na mipango makini.Muda mzuri simba akitaka kujipatia mlo bila kutumia nguvu kubwa ni pale wanyama wanapokushanyika kula au kunywa maji.Kaz Nzuri kuna wajinga fulan uwa wanaamin waizilaeri ndio kila kitu kumbe misaada ndio inawabeba
Una hoja mkuu....Is it too crazy to wonder if Israel allowed this to happen for a few hours so they would have an excuse for a massive retaliation?
Siyo wachapwe Mimi nataka pasibakie kiumbe chochote hapo Gaza.Naomba Wana Israel Kwa pamoja ,tuwaombee wenzetu wa Israel.
Hawa wapuuzi wachapwe kisawasawa
Una hoja nzuri, naunga mkono hoja hiiBaada ya kulifikiria hili suala, naamini hii ni mipango ya ashkenazi na Mossad ili kuhalalisha mauwaji ya Wapalestina na kuendelea kuikalia Palestina.
Lakini limewageukia, hesabu zao hazitakuwa sawa.Una hoja nzuri, naunga mkono hoja hii
Israel Ndio MarekaniWewe Yohana mbatizaji.... U.N ni Toothless dog kwa mataifa makubwa.... U.N inaonea nchi ndogo tu kama Congo... Mbona walishindwa kuzuia vita ya Urusi na Ukrein, U.N siku zote iko upande wa Marekani.... Na hapo kwenye kikao Palestina ndio anaenda kukaangwa
Balanced story ndo inayotuweka JFKundi la wapiganaji wa HezboLlah wameitikia rasmi wito uliotolewa na viongozi wa kipalestina juu ya kuungana nao kuishambulia Israel.
Mapema leo makombora ya masafa marefu ya Hezbollah kutokea kaskazini yalirushwa kuelekea vituo vya kijeshi vya Israel karibu na mashamba ya Bersheba.
Kwa upande mwengine Israel imekiri kuwa miongoni mwa askari wake waliouliwa ni mwenye cheo cha major na huku meya wa jimbo mmoja akiwa miongoni mwa waisrael hao waliokwishakufa.
Sambamba na hilo mapigano yanaendelea maeneo ya kusini ya Israel yanayopakana na Gaza huku wapalestina zaidi wakimiminika maeneo hayo.
Kwa mara ya mwanzo wapiganaji wa Hamas na wenzo wa Islamic jihad wameonekana wakimiliki na kuendesha magari ya kivita ya Humvee waliyoyateka kutoka jeshi la Israel.
View attachment 2775202
Nataka nijue kama Ndio dalili za Ule mwishoYohana kaguswa sana na vita ila mimi nashangaa kwanini Lampedusa Italy inavamiwa na maelfu ya wakimbizi wa Kiafrika na hajatia neno.
Wanakua kwenye mahandaki wale ndio maana vikiisha wanarudi tena kulianzisha...Aisee hii vita ni ngumu kutokuhusisha hata kama hawana hatia lazima wafe Hamas wanatumia sana makazi ya watu kijifucha na kufanyia mashambulizi Israel inatuma tu kombola litembee na jengo nzima
Israel Ndio Marekani
Mwisho utaletwa na uzembe wa Mwanadamu kwenye Climate change.Nataka nijue kama Ndio dalili za Ule mwisho
Sasa wewe Yohana si ndio ulitabiri haya kwamba mwana wa Adamu atarejea... Inakuwaje unasahau maneno yakoNataka nijue kama Ndio dalili za Ule mwisho
Najua ni ngumu kuamini lakini mpaka sasa Israel haijayarudisha maeneo yaliyo tekwa na Hamas tangu jana, mapigano makali yanaendelea huko kusini mwa Israel kati ya majeshi ya Israel na wapiganaji wa Hamas kuwania maeneo hayo.Una hoja mkuu....
Hii serikali ya sasa ya Israel ni ya kihafidhina na inaundwa na vyama vyenye msimamo mkali dhidi ya Wapalestina huenda wanataka kutumia hili tukio kujinyakulia ardhi na kuhalalisha ukaliaji wa maeneo ya Wapalestina kimabavu