LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Katiks ulimwengu wa sasa taifa linalofahamika kuwa ni la Israeli ni hilo linaliingozwa na Netanyau. Na ndio taifa ambalo dunia nzima wanaoamini katika kitabu chs biblia wanaogopa kuwakemea eti kisa nao watalaniwa.
Imeandikwa "... atakae ilani Israel nae atalaaniwa" ndio maana walokole na wakatoliki wengi wanaogopa. Swali ni kua, Israel hiyo ni ipi? Yenye watu wapi? Wa mfumo upi?

Au ni hii ya LGBTQ?
 
Just in: Dozens of Israeli tanks headed toward the Gaza border
Hamas na wao wamepata vifaru vichache jana.
1696764485272.png
 
Ngoja ile team "God bless israel" wafike.

Umeyatimbaaa!
Wale kama wafuasi wa mwamposa huwaambii kitu ,aliyoweka ule mstari wa kuibariki israel aliwapata kweli kweli maana wameingia kichwa kichwa, wwarabu wanailaani kila siku na mungu huyu huyu anazidi kuwabariki ,ukweli usiopingika hela sasahivi ipo uarabuni ukibisha muulize ronaldo huku ulaya wameyatimba kwa urusi wanahaha kila kona kwa njaa
 
Majibu ya Israel huwa ni ya kikatili mark my words huu ndo mwisho wa hamas na mwanzo wa maisha mabaya sana kwa wapalestina
Mwisho wa Hamas "hapana". Kulipiza ndio Israel watatumia nguvu sana.
 
Kwa jinsi shirika la kijasusi la Israeli la mossad lilivyo na uwezo mkubwa Basi hii inanifanya niamini huenda hili jambo walikua wanalijua litatokea hivyo wameacha kwa makusudi kabisa litokee ili kuonyesha dunia uchokozi wa hamas na kupata sapoti kubwa pale watakapoanza kujibu mapigo, na hili linaenda sambamba kabisa na suala la Saudi Arabia na Israeli kutaka kuestablish diplomatic relationship. Hivyo Kuna mchezo Hamas na palestina wanachezewa bila kujua.
Kujua ni jambo moja, kuzuia ni jingine..
 
Huwa sielewi kabisa hàsa pale ninapokuta jitu jeusiii tii Swahili kutoka moja ya nchini maskini kabisa duniani linaposhabikia ya kuwa eti taifa la Israeli ni taifa teule (taifa la Mungu) mpaka kufikia kuunga mkono hata mauaji ya watu wasio na hatia (waPalestina).

Tena wengine wanaenda mbali zaidi ya kuwa eti oohh! Ukimbariki Israeli nawe umebarikiwa, mara oohh'' sijui ukimlaani nawe umelaaniwa!!

Anyway, basi kama ndivyo hivyo basi mbona hambariki na mambo ya LGBTQ+, mambo ya gay parades, pride match, etc, yaliyohalishwa katik taifa hilo!??

Mimi mkiniambia labda huyo mungu wao ambaye wanamuambu, which obviously ni Baal ni mungu wenu pia mnayemuabudu hapo nitawaelewa lakini sio MUNGU huyu nayemjua mimi ambaye ni Alfa na Omega.

Muwe na jumapili njema enyi wayahudi weusi.

Moderators : Naomba msiuguse huu uzi.View attachment 2775436View attachment 2775437View attachment 2775438View attachment 2775440
God Bless and save Israel.
Kutenda dhambi kwa kikundi cha watu haimaanishi Taifa Zima wanakubaliana na hilo.

Je rushwa iliyopo hapa bongo inamaanisha wote ni wala rushwa? Nipe jibu .
 
Back
Top Bottom