Haya niwaulizeni mliokua mnashabikia kuwa eti kuwa Gaza itageuzwa majivu na wapalestina wanaenda kufutwa mko wapi?Yashapita masaa 48 sasa
Ni kipi Israel wameweza kufanya cha maana?
Taifa teule la Mchongo haya uko wapi usuperpower?
Tuliwaambia Israel sio chochote wala lolote mkabisha
Waisrael karibia 1000 washauawa sasahivi wanatapatapa kupiga majengo na open space tu??
Hawa ndo wale mnasema wangekua na ubavu wa kuishambulia Iran au kupigana na Hezbollah?
Taifa linalopewa misaada ya hali na mali linachakazwa na vitoto ya Hamas ambao hata 3000 hawafiki
Ndo maana Snowden alisema Israel sio lolote bali linakuzwa kwa propaganda tu
Mambo mengine ni fedheha tu na vichekesho imagine kamanda wa jeshi komandoo nzima anadakwa kizembe hivi na Hamas[emoji1313][emoji1313]
Mko wapi mliokua mnasema Hamas na Palestine inaenda kufutwa??
View attachment 2776673