LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Aisee nimesoma hapo juu mpaka nimepigwa na butwaa, yani HARMAS wamerusha makombora zaidi ya ELFU MOJA kwenda israel...guys msichukulie poa makombora 1000 ni mengi mno mimi nikianza kuhesabu 1 mpaka 100 tu nachoka imagine buku sasa hata hiyo mifumo ya anga yakuzuia mashambulizi haiwezi kuzia makombora yote hayo
Imezuia makombora mengi
 
Iran imesema ikishambuliwa itaelekeza mashambulizi Israel kutokea Iraq Yemen Lebanon na Syria

BREAKING:

ah Iranian officials say that if their country is attacked, there will be strikes on Israel from Lebanon, Yemen and Iraq, as well as the sending of fighters from Syria.
Baada ya magaidi aliyoyafadhili kufurushwa na kuuliwa anapiga mkwara kama kibisa ndani ya shimo Hazbullah wameshatulizwa sasa hivi Hamas inapokea kichapo cha mbwa koko. israel ipo busy kuifuta Hamas kwanza round inayofuata ni yeye
 
If the US and Israel stumble into a conflict with Iran, it will be unlike anything either has faced since the 1970s. Iran has sophisticated missiles that could cripple US CENTCOM assets in the wider region and strategically bombard Israel.View attachment 2776742
Mbona mnaandika kwa lugha ya kigalatia badala ya ile lugha yenu pendwa iliyokuwa inatumiwa na mudi?
 
Iran imesema ikishambuliwa itaelekeza mashambulizi Israel kutokea Iraq Yemen Lebanon na Syria

BREAKING:

Iranian officials say that if their country is attacked, there will be strikes on Israel from Lebanon, Yemen and Iraq, as well as the sending of fighters from Syria.
Hii vita ni kati ya Iran na dunia ya magharibi na USA. Palestina na Hamas ni kama chambo tu ya Iran kutest mitambo yao ni kama ilivyo kwa Ukraine na Rusia ukiangalia ni vita kati ya Rusia na dunia ya magharibi
 
Mkuu hii vita haiwezi kukoma kwa sasa. Hamas walifanya timing kubwa, tena kwa asilimia kubwa wakishambulia watu waliokuwa kwenye sherehe zao huko. Wale magaidi ukiwaangalia vizuri, kuna watu flan siyo weupe, ni kama Wasomali au Wahabeshi au Wairan. Wakati wa mashambulizi haya wananchi wakishangilia kwa furaha.
Israeli kashawazibiti na anakaribia kufagia wale waliobakia ndani ya Israeli. Mpaka sasa Israeli hajaanza vita au kulipiza kisasi, katafuta silaha za kutosha tena zitakazopunguza vifo kwa askari wake. Baada ya hapo Gaza itawaka moto, watakaangwa ipasavyo. Huu siyo muda wa kujali wanawake na watoto, adabu inapaswa kufuata mkondo wake.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Mkuu waeleze hawa wapumbavu wanafikiri vita imeshaanza hawajajua kuwa Hamas inaenda kufutika kama ilivyokuwa kwa kaka yao Al-queda
 
Vita ya Iran na Israel wala haitotumia muda mwingi. Israel haiwezi afford kupambana fronts nyingi mipaka yote ndio maana ilitengeneza bomu la nyuklia. Kwanza haina population hiyo kuwezesha mobilization hata sasa Waisrael waliokuwa nje ya nchi ndio wanarejea kuongeza nguvu jeshini.

Hapo ni few nukes kuzuia capability ya cruise na ballistic missiles za Iran wanabaki wapiganaji jihad ambao ni maroketi madogo na risasi.
 
Jana tu wamewauawa raia wake watano ambao waliwaokoa mateka kwa Hamas kwa hasira baada ya hao raia kusema hawaiungi mkono Israel tena

Jana wanajeshi wake wamejibizana kwa risasi na kufa wanne papo hapo kwa kile kinachoonyesha ni mabishano na migawanyiko katika jeshi la Israel

Leo wamefanya mashambulizi ya Anga Gaza wakauwa raia wake wanne waliokua mateka Gaza

Huu utawala umeanza kuchanyikiwa wanahaha hawana pa kushika, Mliokua mnasema hawa jamaa ni taifa teule mko wapi[emoji23][emoji23]

Ni mwendo wa kichapo tu hadi Netanyahu akimbie nchi

BREAKING | Al-Qassam Brigades spokesman Abu Obaida: "Israeli occupation's airstrikes on Gaza last night and today have killed 4 Israeli enemy prisoners in our hands and some of the resistance fighters guarding them."
Screenshot_20231008-213506.jpg
Screenshot_20231009-131012.jpg
 
Vita ya Iran na Israel wala haitotumia muda mwingi. Israel haiwezi afford kupambana fronts nyingi mipaka yote ndio maana ilitengeneza bomu la nyuklia. Kwanza haina population hiyo kuwezesha mobilization hata sasa Waisrael waliokuwa nje ya nchi ndio wanarejea kuongeza nguvu jeshini.

Hapo ni few nukes kuzuia capability ya cruise na ballistic missiles za Iran wanabaki wapiganaji jihad ambao ni maroketi madogo na risasi.
Unafikiri Iran hana hizo silaha za maangamizi?Unafikiri wangekua na jeuri ya kuwavimbia Wamarekani na Waisrael feki?
 
Haya niwaulizeni mliokua mnashabikia kuwa eti kuwa Gaza itageuzwa majivu na wapalestina wanaenda kufutwa mko wapi?Yashapita masaa 48 sasa

Ni kipi Israel wameweza kufanya cha maana?

Taifa teule la Mchongo haya uko wapi usuperpower?

Tuliwaambia Israel sio chochote wala lolote mkabisha

Waisrael karibia 1000 washauawa sasahivi wanatapatapa kupiga majengo na open space tu??

Hawa ndo wale mnasema wangekua na ubavu wa kuishambulia Iran au kupigana na Hezbollah?

Taifa linalopewa misaada ya hali na mali linachakazwa na vitoto ya Hamas ambao hata 3000 hawafiki

Ndo maana Snowden alisema Israel sio lolote bali linakuzwa kwa propaganda tu

Mambo mengine ni fedheha tu na vichekesho imagine kamanda wa jeshi komandoo nzima anadakwa kizembe hivi na Hamas[emoji1313][emoji1313]

Mko wapi mliokua mnasema Hamas na Palestine inaenda kufutwa??View attachment 2776673
Sasa hilo zahama linalowaangukia wanajuta ukanda wa gaza utakuwa kifusi
 
Iran imesema ikishambuliwa itaelekeza mashambulizi Israel kutokea Iraq Yemen Lebanon na Syria

BREAKING:

Iranian officials say that if their country is attacked, there will be strikes on Israel from Lebanon, Yemen and Iraq, as well as the sending of fighters from Syria.
Mikwala kama ya Putin mwanzoni mwa vita
 
Jana tu wamewauawa raia wake watano ambao waliwaokoa mateka kwa Hamas kwa hasira baada ya hao raia kusema hawaiungi mkono Israel tena

BREAKING | Al-Qassam Brigades spokesman Abu Obaida: "Israeli occupation's airstrikes on Gaza last night and today have killed 4 Israeli enemy prisoners in our hands and some of the resistance fighters guarding them."
Ahaa, kumbe chanzo cha habari yako ni hao hao Wapalestina wanaopigwa!
Kama hujagundua, hiyo ni janja ya wapalestina hao Al-Qassam ili kuitaka Israel isitishe kuwapiga kwa kuhofia kuwaua mateka. Kwa ufupi hiyo ni propaganda ya kutaka kupunguziwa kipigo, ambayo hata hivyo imegonga mwamba
 
Hao Magaidi wa hamasi wamejichanganya na raia haswa waliowateka. Hivyo hilo sio jambo la ajabu kutokea. Huijui vita wewe.
Kipindi Cha vita ya Iddi Amin Watanzania walitingua ndege Yao wenyewe kwa bahati mbaya kama hizi, Lakini bao Amini alitandikwa mpaka arabuni.

So endelea kishangilia upumbavu.
 
Jana tu wamewauawa raia wake watano ambao waliwaokoa mateka kwa Hamas kwa hasira baada ya hao raia kusema hawaiungi mkono Israel tena

Jana wanajeshi wake wamejibizana kwa risasi na kufa wanne papo hapo kwa kile kinachoonyesha ni mabishano na migawanyiko katika jeshi la Israel

Leo wamefanya mashambulizi ya Anga Gaza wakauwa raia wake wanne waliokua mateka Gaza

Huu utawala umeanza kuchanyikiwa wanahaha hawana pa kushika, Mliokua mnasema hawa jamaa ni taifa teule mko wapi[emoji23][emoji23]

Ni mwendo wa kichapo tu hadi Netanyahu akimbie nchi

BREAKING | Al-Qassam Brigades spokesman Abu Obaida: "Israeli occupation's airstrikes on Gaza last night and today have killed 4 Israeli enemy prisoners in our hands and some of the resistance fighters guarding them."View attachment 2776755
Unajua nini bibie, unaboa sana yaani, una propaganda ambazo hazisaidii Palestina bali Iran, acha kupotosha mnatumika kwa mgongo wa uislam kuwachonganisha watu wa Gaza na Israel, je ni kwa faida ya nani wewe au Iran?

Watu wa Gaza wanataabika, Gaza wanapitia makali toka enzi na enzi ila nyie kwa kujidahi ni waislam wa Iran hamtaki watu wa Gaza kwao kuwe na amani hata kidogo najiuliza ni kwa faida ya nani?

Gaza imezingirwa, raia wanatembezewa kichapo in so called ulipizaji kisasi lakini waliofanya ugaidi sio watu wa Gaza ni Iran na kikundi chake kwa maslahi yake na sio. maslahi ya watu wa Gaza.

Ebu tutolee ujinga wako huu hapa, washia ni watu wajinga sana, sasa nendeni mkawaokoe watu wa Gaza, tunafuatilia media zote Gaza hali ni mbaya zaidi ila sasa unachokileta humu........!!!
 
Nikusahihishe tu, Israel sio taifa la Kikirsto. Usiwe mjinga kama umati wa Mudi
 
Dunia nzima imeshuhudia Israel ikichokozwa na Wapalee. Hakuna hata mmoja alielaani hiki kitendo. Sasa tusijelaumiana baadae kwa kile kitakachowakuta wapalee
 
Back
Top Bottom