LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Pale si Israel wala Palestina anayetakiwa kuondoka. Wote pale ni kwao kabisa pasipo na shaka.
Wapelestina hawakuwahi kufukuzwa pale. Miaka yote Wapalestina na Wayahudi wamekuwa pamoja kwenye ardhi ile pamoja na kuwa na tofauti zao.
Kulikua na Wapalestina Wakristo, wapagani pia wengi tu walioabudu katika Uyahudi, hata ulipokuja Uislam na wapalestina wakaamua kuupokea uislam, bado maisha yalikua ya kawaida. Tofauti na mikwaruzano miongoni mwao haikuwahi kuisha ila maisha yaliendelea.
Pressure kubwa iliyoleta chuki haikuwa sababu ya wapalestina kuwa waislam, bali walioupeleka Uislam pale, hao ndiyo walipelekea pressure ya kujenga chuki kwa wasioamini mpaka hapo watakapoamini kama wao.

(Tatizo kubwa halipo kwenye hizi dini au mafundisho yake, maana mafundisho ukiona haya tafsiri au nia nzuri au hayajengi, kama Mwanadamu unakuwa na akili na utashi wa kutambua Jema na baya na hivyo kufanya maamuzi sahihi. Tatizo kubwa la hizi dini (zote) ni wahubiri wake, hao ndiyo hupelekea madhara makubwa yanayoonekana kusababishwa au kuletwa na dini).

Waliokua wakiineza dini ndiyo walisababisha shida ma kujenga chuki dhidi ya wengine. Muda ulivyozidi kusonga na uislam kuzidi kujitanua, hali ilizidi kuwa tete, ingawa kwa Wapalestina, nguvu ya ya tofauti na mikwaruzano yao na Wayahudi haikuwa sababu ya utofauti wa dini zao, bali za asili na tamaduni zao ambazo walikuwa nazo hata kabla ya uislam kuja (Ikumbukwe, hata maisha ya Wakristo hayakuwa mepesi mbele ya Wayahudi, Wakristo waliwa treat vizuri sana Wayahudi, wakawakaribisha Ulaya, wakawapa fursa, lakini that has never been the same kwa namna Wayah7di wamekua wakiuchukulia Ukristo).

Kubwa kuliko yote ni wakati imeamuliwa Two State Solution, Israel hakuwa na shida pia wazo hilo lilitoka kwao, Wapaletina nao hawakuonekana kuwa na shida ila nchi za kiarabu ndiyo zilikua na shida, zililipinga hili kwa nguvu zote.

Hali hii ilipelekea Umoja wa Mataifa kuchelewesha Uhuru wa nchi hizo ambao ulikua utolewe tangu mwaka 1947, ndipo Israel wakaona ni upuuzi kuendelea kucheleweshwa kwa pressure za mataifa mengine. Tarehe 14 May, 1948, wakaamua kusimama na kujitangazia Uhuru wakijiita Israel, dunia ikiwa haijaipatapata vizuri hiyo taarifa ili angalau iamue kama waipokee kwa kulia, kushangilia, au namna gani? Ila wakati Israel wakiwa wanasherehekea Uhuru wao, ghafla mataifa matano ya kiarabu (Misri, Iraq, Jordan, Lebanon, na Syria) yakaivamia Israel. Vita ikapiganwa kwa miezi 9, wiki 3 na siku 2.

Vita hiyo ilipelekea nchi ile igawanyike katika sehemu tatu. Taifa la Israel, Ukingo wa Magharibi wa mto Jordan (West Bank) na Ukanda wa Gaza.

Israel ikitawala eneo la Israel ambalo ndiyo maeneo waliyokua wakiishi, huku Wapelestina wakibaki na maemeo waliyokua wakiishi ya Gaza na Westbank, huku wapalestina wengine wapatao 750,000 wakiondolewa kutoka Israel kupelekwa Gaza na West bank.

Mwaka 1967, mataifa matatu ya kiarabu Misri, Jordan na Syria yakastukiza na kuivamia tena Israel na kupelekea ile vita maarufu ya vita vya siku 6. Katika vita hivi, Israel ikawashinda waarabu, ikaenda mbele zaidi kwa kuikamata Sinai Peninsula yote, Ukanda wa Gaza, West Bank, Jerusalem Mashariki, na Vilima vya Golan (Golan Heights).
Baada ya vita hivyo kelele ziliendelea kuwa nyingi kutoka nchi za kiarabu kuliko Palestina. Hata UN ilipoleta mkataba wa amani wao wakaendelea kuja na madai mapya.

Vita zilizofuata zilikua ni kujaribu kurudisha maeneo yaliyotekwa na Israel, ambapo haikufanikiwa ila kwa yaliyorudishwa yalirudishwa kwa njia ya mazungumzo ya amani.

Kwa kifupi, Israel haijawahi kuwa against two state solution, ila Iran ambao wanaya backup makundi ya kipalestina hawapo tayari kwa hilo.

Wapalestina wenyewe wameshagawanyika tangu ule Mkataba wa Oslo.
Tangu uchaguzi wa mwisho wa Wapalestina uliopelekea HAMAS kushinda kule Gaza, walifutilia mbali habari za uchaguzi na tangu hapo wapo kinyume na utawala wa wapalestina, Gaza ni kama imeamua kujitenga na West Bank na inajiendesha yenyewe kuvyake wakipigana kuvyao.

Ngoja niishie hapa, maana nimeandika hadi ambavyo hukutaka kuvijua wala sidhani kama upo interested.
Simulizi fupi na nzuri
 
hata kama ni kejeli ndo ufike hatua ya kuniambia mimba yangu ilitungwa kwenye madanguro kwel, ina maana mama yangu alikuwa sex worker kwenye madanguro siyo, kejeli nyingine siyo kabisa mkuu, nimeumia sana ila nimemwachia Mungu, ndo maana wala sijakukashfia uzao wako, naandika huku machozi yananitoka, nimeumia sana mkuu wangu, asante.
Basi naomba uni samehe ila jifunze kuheshimu wenzako ili na ww uheshimiwe.
Jinsi ulivyo sijikia vibaya ulipo kejeliwa basi jua na wenzako wanavyo jisikia vibaya pale unapo wakejeli au kukejeli kile wanacho kipenda.
Usicho penda kufanyawa utakiwi kumfanyia mwenzio.
 
Issue ya umeme imeshaanza kuhangaisha watu
View attachment 2778940

Dah Gaza sasa umeme unaenda kukata mazima, chakula, mafuta, madawa yanaenda kuisha mazima kweli Hamas wameyakanyaga

👇👇👇👇👇👇

Summary​

  1. Gaza's only power station has run out of fuel, after Israel announced it was cutting off energy supplies as well as food and water
  2. It means Gazans will be relying on generators for electricity - if they have fuel to power them
  3. The Israeli military says hundreds of thousands of troops are near Gaza "ready to execute the mission we have been given"
  4. Israel's PM Benjamin Netanyahu and opposition leader Benny Gantz have agreed to form an emergency government
 
Lazima wabishe
Sbb walijiaminisha kuwa hawatapigwa Israel atashindwa

Niliwaambia hapa tusikimbiane
Issue ni kuwa hata hamas wenyewe wamepigwa butwaa,wamewezaje kufanikisha shambulio kwa kiwango kile,,wale walijua watachukua watu wawili watatu na kurudi gaza na kunegotiate prisoners exchange,,sada wamejikuta wana mateka karibu 200,na hawana njia ya kunegotiate maana waneharibu kweli kweli,,wao wenyewe wako roho juu juu sana,huu msala utaishaje,,
Wakiwaachia huru,ndo kabisa yaani watapigwa kama ngoma,
Wakiendea kuwashikilia hatimae wote watakufa,,bado watapigwa kama ngoma,,
Lililopo ni kupigana hadi mwisho,, hakuna option nyingine🤗
 
Sawa!

Ila kwa kumbukumbu zangu, uwanja wa ndege wa Yasser Arafat kwa sasa ni historia. Tangu mwaka 2002, hakuna ndege ya abiria inayotua pale. Kwa kifupi yamebaki magofu tu kutokana na vita.

Ukitaka kwenda Gaza kwa ndege inakubidi ushukie Israel au Misri.
Ndio,

Kuingia ni ngumu sana ni lazima uwe na sababu maalum inokupeleka pale. Waweza kupata kibali kutoka Israeli au Misri kulingana na wapi ndi kituo chako cha mwisho.

Kupitia Misri ni lazima utumie daraja na Rafah ambalo sasa hivi ndo limebomolewa kwa makombora ya Israeli. Na kupitia Israeli wavuka mpaka wa Erez.

Ukipewa visa ni lzaima uwe na mwenyeji wa Gaza ambae atakuwa amekutayarishia malazi na pia huyo ndiye atakaekuja kukupokea.

Ukiwa Gaza unakuwa uko mikononi mwa macho ya makachero wa pande zote wa Israeli na wale wa Hamas.
 
⚡⚡⚡The United States announced the evacuation of its embassy in Lebanon and requested that all American citizens leave the country (confirmed)
 

Dah Gaza sasa umeme unaenda kukata mazima, chakula, mafuta, madawa yanaenda kuisha mazima kweli Hamas wameyakanyaga

👇👇👇👇👇👇

Summary​

  1. Gaza's only power station has run out of fuel, after Israel announced it was cutting off energy supplies as well as food and water
  2. It means Gazans will be relying on generators for electricity - if they have fuel to power them
  3. The Israeli military says hundreds of thousands of troops are near Gaza "ready to execute the mission we have been given"
  4. Israel's PM Benjamin Netanyahu and opposition leader Benny Gantz have agreed to form an emergency government
No 4
 
Huko Israel tayari Netanyahu ameshaivunja serikali baada ya kukubaliana na kiongozi wa upinzani ambaye ni waziri wa Ulinzi na sasa wameunda serikali ya umoja
Kwakweli hii nimeipendaaa🤝
Yaani wamekua wamoja iwe tu hakuna Nia ovu nyuma yake!

Swali ,hivi kwann Rais wa isarel hasikiki ila pm tu, why?
 
Hata Mndela aliitwa gaidi. Sikushangai

Gaidi kwako ni mpigania uhuru kwa mwengine.
unapigania uhuru kwa kuwachinja na kuwaua watu wapo kweny party ambao sio wanajeshi wala sio wawakilishi wa watendaj wa serikali yoyote , HV WEW BIBI UNAJITAMBUA ?KABLA HUJAANDIKA FIKIRIA KWANZA , MANDELA KUITWA GAID INAEZA IKAWA KWEL AU ISIWE KWELI ILA HAIHALALISHI USHETAN WA HAMAS KWA RAIA WEMA
 
Back
Top Bottom