LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Mwisho wa Israel na Amerika ni mwaka huu au ujao.Allah daima yuko pamoja na anayedhulumiwa na hampi njia ya kudumu anayedhulumu.
Weeee sema kweli?
Labda Mungu, Yahweh,Jehova
Mungu wa Ibrahim,Isaka na Israel awe hayupo....
Nje ya hapo sahau ,hii vita haiwezi kuisha itakuwa inatulia tu Kwa muda
Mpaka neno litimie,yaani shauri la Bwana ndo litasimama,bahati mbaya inawezekana kabisa wakati huo wote hatutakuwepo
 
Oneni hapa yanavyojazana maujinga, huu ujumbe umetumwa kwenye group moja la kazini na mm nikawajibu humo humo kwamba "Israel haijakusanya wanajeshi 100000 Bali 360000 kwahiyo mjiandae kisaikolojia"

Yanabaki ku comment tu astakafirulai!! 😂😂😂
Mkuu unafanya kazi kwa Bakhresa nini?
 
Mwisho wa Israel na Amerika ni mwaka huu au ujao.Allah daima yuko pamoja na anayedhulumiwa na hampi njia ya kudumu anayedhulumu.
Mwisho wao haukufika 1967, watoto wa Yakobo walipovamiwa na nchi 6 kabisa 😂😂😁😬😬😬 na mkawa eliminated ndani ya siku sita tu. Mungu wa Israeli yupo macho, yeye asiyelala wala asiyesinzia. Yeye yehova hatetewi na binadamu, yeye ndio Mungu anayewatetea.
 
❗️Israel bombs Syrian airports in Damascus & Aleppo; both airfields reportedly paralyzed; Iranian Foreign Minister's plane turns back, returning to Tehran following strikes (via @ynetalerts)
 
Ngoma bado mbichi Gaza.

Hakuna Maji, Umeme, Mafuta ama msaada wa kibadamu wowote hadi muwaachie mateka wetu wote - Waziri.


  • Israeli minister says no electricity, fuel or humanitarian aid into Gaza until Hamas releases all captives.
  • Israel continued to pummel Gaza with air raids, killing dozens of people, including nine children in the city of Khan Younis.
Hawa ikienda week moja mbele magonjwa ya milipuko na njaa vitawatesa sana.
 
View attachment 2779707Israel kapatikana lol; siku 5 na watu 1300 kufa na wapalestina 1200 around the same figure. Walishazoea kuua wenzao maelfu wao 5 au 10 wamekufa na kujeruhiwa, vita imeisha lakini sasa cha mtee makuni wanakiona mwe.
Kumbe source ni wikipedia nikadhani umetoa kwa credible source.Halafu hiyo vita iliyokwisha ni ya wapi au wewe mwenzetu unaangalia vita tofauti na hii tunayoangalia wengine ambayo mvua ya mabomu inaendelea kunyeshewa Gaza.
 
Hawa ikienda week moja mbele magonjwa ya milipuko na njaa vitawatesa sana.
Na ndio lengo la Wazayuni 🇮🇱kuwakomesha Hao wavaa vipedo na makobazi.Na jinsi hao watu wanavyopenda kulakula,sijui huko Gaza bila chakula itakuwaje🤔
 
Mkuu nadhani unaongea hivyo kwa sababu ya mihemko au chuki tu.

Kutumia chakula kama silaha ni kinyume cha sheria za kimataifa haijalishi unapambana na nani.

Vita hii vime fanya watu wengi watilie shaka weledi ya jeshi la Israel kwa sababu Israel ni moja wapo ya jeshi lenye kila aina ya vifaa vya kuiwezesha kufanya mambo kwa weledi ,lakini cha kushangaza inafanya mambo kiholela kabisa hasa kushambulia majengo na kuuwa raia hovyo hovyo.

Katika vita hii Israel imefanya shambulizi ya kiholela mno kiasi kwamba hata Baden kaona aibu na kumpigia Netanyau na kumuonya ya kuwa anatakiwa kufuata sheria za vita na ndio maana tangu jana mashambulizi ya Israel yamepungua kiasi.

Alafu ukizuia chakula unakuwa unawaathiri watu wengine na sio hamas kwasababu mpaka wanafanya hilo shambulizi walikuwa wamejipanga kwa akiba ya chakula kwa ajili ya wapiganaji wake.

Israel inatakiwa kujitofautisha na hamas.
hizo ni dalili au ishara yakuishiwa mbinu kwa jeshi la israel,hizo sifa za intelijensia wanazolipa jeshi la israel ni bure tu hamna kitu, kama wangekuwa na inteligensia ya kujua hamas na mateka wapo wapi wasingekua wanalipua hovyo majengo...ukiona jeshi limefikia hatua yakusema hatuachii njia za misaada kufunguliwa mpaka hamas wawaachie mateka ni dhahiri kabisa kwanza hawajui hata hao wanamigambo wa hamas wapo wapi mpaka sasa
 
sasa subiri hiyo haki ambayo wewe ulipokuwa unachoma watoto wa ki-Israel live huku ukirecord video na kushangia ni utu.
Sasa ndugu kama huelewi huo ni mwanzo tu, njia pekee ni kina mama na watoto kuondoka gaza, na gate ni MOJA tu ambalo litafunguliwa baadaye leo ama kesho.

Wanaume kuanzia 15 kuendelea bado wana shughuli pevu hapo Gaza.
Sasa kama Hamas wameuwa raia na ww ukaenda kulipiza kwa kuuwa raia utakuwa na tofauti gani na Hamas unao waita magaidi?

Ww si ndo ulikuwa unashinda humu unapiga kelele na kulia kulia kipindi Urusi inashusha majengo nchi Ukraine sasa iweje leo ukishabikie kwa Israel wakati ulikuwa una kipinga kwa Urusi?

Israeli inacho kifanya akioneshi nguvu bali kinaonesha jinsi ilivyo dhaifu tofauti na tunavyo aminishwa kwa sababu kama ni kubomoa majengo kwa kutumia ndege hata jeshi la nchi yetu linaweza kwasababu anga la Gaza halina ulinzi.
Alafu kuwa na akiba ya maneno hiyo ni vita na vita haijawahi kuwa rahisi kwa mtu yeyote haijalishi unaye pambana naye ana uwezo gani.
 
Hamas ni magaidi wapate wanachostahili either waishe au wa-surrender.kuuwa,kubaka,na kuchinja watoto si ubinadamu ni unyama.(hata hivyo hamas haiwakilishi waparestina wote) ni genge la kigaidi!
 
hizo ni dalili au ishara yakuishiwa mbinu kwa jeshi la israel,hizo sifa za intelijensia wanazolipa jeshi la israel ni bure tu hamna kitu, kama wangekuwa na inteligensia ya kujua hamas na mateka wapo wapi wasingekua wanalipua hovyo majengo...ukiona jeshi limefikia hatua yakusema hatuachii njia za misaada kufunguliwa mpaka hamas wawaachie mateka ni dhahiri kabisa kwanza hawajui hata hao wanamigambo wa hamas wapo wapi mpaka sasa
Kwakweli kinacho endelea gaza ni aibu kwa jeshi la Israel.
 
Jeshi lolote linalo tegemea msaada wa njaa, kiu na magonjwa ili lishinde vita basi jua ni jeshi dhaifu na la hovyo.
Unataka kuwachagulia namna ya kupambana na adui yao.Najua unakiona kinachoenda kutokea Gaza endapo hali itaendelea kuwa hivi.Inasikitisha sana lakini vita haina macho
 
Back
Top Bottom