LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Kumekucha:Mwanajeshi wa special force wa Israel adakwa mpakani na Hamas

Tukisema Hamas ni habari nyingine kwa vita ya ardhini muwe mnaelewa!! Special force kwi!kwi!kwi![emoji1787] wanadakwa kama kuku na vitoto vya Hamas....Eti ndo jeshi la Mungu special force gani hii? Walikua wanatest mitambo kuingia Gaza kadakwa tayari mapema[emoji1313][emoji1313]ii
[emoji599]BREAKING: REPORTS OF ISRAELI SPECIAL FORCES MEMBER KIDNAPPED BY HAMAS

We reported less than an hour ago reports we received of an incursion by the IDF into Gaza, and an Apache helicopter being called in to help evacuate the Israeli troops.

Hamas now announced via radio:

"Tomorrow, Abu Ubaida will tell you what happened and who is in our hands."

We're receiving reports that Hamas was able to take an Israeli Special Force troop as hostage.

Location: Al-Borij Camp along the Border Fence with the Central Gaza Strip

MORE UPDATES AS THEY COME

Tujikumbushe kuwa ni juzi makomandoo wa kikosi hatari cha Delta waliotoka Marekani baadhi walienda Gaza eti kuwaokoa mateka wakidhani ni zile propaganda zao za kwenye movie za Hollywood confirmed report ni kuwa waliuawa wote huko huko Gaza hakikurudi hata kiwiliwili..

Wazayuni walivyoambiwa wakitia mguu Gaza ndo patageuka makaburi yao walidhani Hamas wanatania....Wanasubiriwa kwa hamu sana!

Mungu hakai upande wa Mashoga hata siku moja!View attachment 2794145
Ukitoa air supreme defence ,hawajamaa ni weupe hasa ,mimi nauliza amedakwa mwenyewe au ni group wise
 
Ushabiki wa kipumbavu kabisa onea huruma raia wanaokufa huko kutokana na huo mgogoro,watu Dunia nzima wanaandama for seize fire mtu unafurahia matukio ambayo yanafanya vita viendelee kakamatwa then what ndugu walokufa watarudi kwenye familia zao nonesense kabisa hayo ni matumizi mabaya ya akili
Ww ungeuliza tu huko wamefuata nini kama ya kuwalum hao hamas
 
Wanatumia akili hawa, wanapiga kikomando kwa sasa kabla kufanya uvamizi full
IDF stages overnight 'targeted raid' into Gaza Strip

Military says it struck Hamas sites, operatives in hours-long ‘targeted raid’ before returning infantry to Israeli side of border, as larger ground assault awaits​

The Israel Defense Forces deployed a limited ground incursion into Gaza overnight, sending infantry forces and tanks up to a kilometer into the northern part of the Strip, the military said Thursday morning.

The “targeted raid” appeared to be the most significant ground offensive into the Palestinian enclave since war broke out earlier this month, as the IDF prepares a full-scale invasion to eliminate the Hamas terror group that rules the Strip.

According to the IDF, the raid — led by the Givati infantry brigade and the 162nd Armored Division — was part of preparing the border area for the “next stages of the war,” referring to the full ground offensive promised by Israeli officials.
Wanapigana na jeshi lipi?Hilo jeshi lina silaha zipi za maana?Hilo jeshi ni namba ngapi duniani kinguvu?Umetumia nini kuwaza hata uwalinganishe wanamgambo wa Hamasi wasiokuwa na hata kifaru kimoja na jeshi kamili la nchi ya Ukraine?.
 
Hawa jamaa wanashangaza sana. Hebu ona hapa anavyofurahia Hamas wanaporusha maroketi kwenda kupiga Israeli. Allahu Akbar za kutosha....

View attachment 2793794

Muone hapa anavyolia baada ya kukoswa koswa na makombora ya Israel walipojibu mapigo...Vita siyo lelemama. Natumaini watapata suluhisho la kudumu siku moja. Watauana na kuwindana hivi mpaka lini?

View attachment 2793795
Kashasahau kusema alwaa akbar............kabaki........mdududuud maududududd bija bija
 
Ebu tupe pia taarifa yake kuhusu shambulio walilofanya magaidi ya hamas kwa Israel, Korea ya kaskazini walisema je?

Na kama hawakusema kitu basi watulie hivyo hivyo wakati Israel ikiwashughulikia panya road wa kiarabu huko Gaza.

Misri wamekaa kwa kutulia Iran wamekaa kwa kutulia, Jordani wamekaa kwa kutulia, saudi Arabia wamekaa kwa kutulia, na mashariki ya kati imekaa kwa kutulia.
wakati huu ambao Israel anawashughuliki ipasavyo magaidi.
 
Ebu tupe pia taarifa yake kuhusu shambulio walilofanya magaidi ya hamas kwa Israel, Korea ya kaskazini walisema je
Na kama hawakusema kitu basi watulie hivyo hivyo wakati Israel ikiwashughulikia panya road wa kiarabu huko Gaza.
Misri wamekaa kwa kutulia Iran wamekaa kwa kutulia Jordani wamekaa kwa kutulia saudi Arabia wamekaa kwa kutulia na mashariki ya kati imekaa kwa kku
Kiduku hajafahamu hilo
 
kama wao wana weza wachukue hatua basi hizi mambo za kubwata bwata wataishia kama Iran wazee wa Mipasho
 
Kwa nin wasimwage petrol humo kwenye mashimo wakachoma moto....

Hao hamas kama panyaaa dawa yao motoo wa petrol.....
Sina uhakika kama moto unaruhusiwa kutumiwa na jeshi juunguza Askari wanaopigana nao
 
Hamna lolote hizo ni kelele tu, toka lini hao wanaojita Israel wakawa wakusema ukweli.

Kwanza nashangaa vipi waliruhusiwa kutumia jina la Mtume liwe inchi, wana lana kweli hawa, kutumia jina la Mtume ambaye hakuwahi kuasi wakaenda itwa hao walio laniwa jina lake.
Maumivu haya🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Israel kaweka records kawauwa watoto 3300 na wanawake 1756 na wengine wanaume ambao hawana hata silaha, hatujawahi kuona kwenye hayo majumba silaha.

Kumbe ukitaka kuwa Super power uvunje majumba nakuwauwa watoto wengi na wanawake na vizee 😂
Umeona hao watoto na wanawake?
Unataka kusema nini kwamba Gaza wanaoishi pale ni wanawake na watoto tu.
Acheni kuomba huruma ya Dunia🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom