LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Huu ni wakati wa Serikali ya Tanzania kuvunja mahusiano na Israel haraka sana kwa yanayoendelea huko Gaza!!

Huko nyuma tuliwahi kusema kuwa "kila mtu anastahili haki ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake". Pia tulisema kwamba kila watu wana haki ya kuwa na mahali ambapo watakuwa salama kutoka vitisho vyovyote vya utu wao na nafasi yao kama jamaa.

Tokea enzi za Nyerere tuliamini ya kwamba hakuna mwanadamu mwingine ambaye ana haki ya kumtawala kwa nguvu mwanadamu mwingine kwa kisingizio chochote kile. Hii ilikuwa ni falsafa yetu dhidi ya ukoloni.

Leo hii tunashuhudia yanayoendelea Palestina ambapo karibu maelfu ya watu wameshauawa. Je, Bunge linapokutana siku chache zijazo zilaani mauaji hayo? Je, serikali ilaani pande zote mbili kwa kusababisha mazingira ambayo yanamnyima mwanadamu nafasi ya kuwa huru kufanya lolote? Tunapaswa tuungane na nchi nyingine mfano Bolivia ambazo zimevunja uhusiano na Israel kutokana na suala la Gaza

Hatuwezi kuendelea kulisapoti taifa la kigaidi ambalo lina mchango mkubwa wa ubaguzi wa Rangi na.ambalo limeshiriki kuwaangamiza Waafrika wengi mfano wakati wa makaburi walitoa misaada ya kila aina kwa makaburu ili waendelee kuwauwa watu weusi kule Africa ya kusini bado zile cases za waafrika waethiopia kufungwa vizazi wasizae kwa nguvu!

Kwa yanayoendelea naiomba serikali ivunje uhusiano mara moja na huu utawala katili wa Israel View attachment 2799632View attachment 2799631View attachment 2799633View attachment 2799634
MTu ukiambiwa usifanye hivi, ukakaidi utapigwa. Nami nasema wanaokaidi wapigwe tu maana hamna namna.
 
Huu ni wakati wa Serikali ya Tanzania kuvunja mahusiano na Israel haraka sana kwa yanayoendelea huko Gaza!!

Huko nyuma tuliwahi kusema kuwa "kila mtu anastahili haki ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake". Pia tulisema kwamba kila watu wana haki ya kuwa na mahali ambapo watakuwa salama kutoka vitisho vyovyote vya utu wao na nafasi yao kama jamaa.

Tokea enzi za Nyerere tuliamini ya kwamba hakuna mwanadamu mwingine ambaye ana haki ya kumtawala kwa nguvu mwanadamu mwingine kwa kisingizio chochote kile. Hii ilikuwa ni falsafa yetu dhidi ya ukoloni.

Leo hii tunashuhudia yanayoendelea Palestina ambapo karibu maelfu ya watu wameshauawa. Je, Bunge linapokutana siku chache zijazo zilaani mauaji hayo? Je, serikali ilaani pande zote mbili kwa kusababisha mazingira ambayo yanamnyima mwanadamu nafasi ya kuwa huru kufanya lolote? Tunapaswa tuungane na nchi nyingine mfano Bolivia ambazo zimevunja uhusiano na Israel kutokana na suala la Gaza

Hatuwezi kuendelea kulisapoti taifa la kigaidi ambalo lina mchango mkubwa wa ubaguzi wa Rangi na.ambalo limeshiriki kuwaangamiza Waafrika wengi mfano wakati wa makaburi walitoa misaada ya kila aina kwa makaburu ili waendelee kuwauwa watu weusi kule Africa ya kusini bado zile cases za waafrika waethiopia kufungwa vizazi wasizae kwa nguvu!

Kwa yanayoendelea naiomba serikali ivunje uhusiano mara moja na huu utawala katili wa Israel View attachment 2799632View attachment 2799631View attachment 2799633View attachment 2799634
israel kuna waut wabaya na watu wazuri pia, hivyo hivyo hata Tanzania kuna watu wabaya na watu wazuri pia, kila nchi na wartu wabaya na watu wazuri pia. ubaya wa wachache hauwezi kuwafanya waisrael wote kuwa wabaya. pia, wewe unayesema Tanzania ivunje uhusiano na israel, unajua kuwa zaidi ya asilimia 40 ya watanzania ni wakristo? na hakuna mkristo hata mmoja asiyependa uhusiano na israel uvunjike. ninyi wa dini nyingine kwasababu hamuwapendi mayahudi, hamuwezi kutufanya hata sisi tunaowapenda tukose ushirikiano nao, kwa hilo hatupo pamoja.

tunapata shida sana Tanzania tukitaka kusafiri kwenye Israel, watu wanafuata visa Nairobi wakati wangeipata hapahapa. sisi wenzenu kule kuna Bethelem sehemu alipozaliwa Yesu, kuna Nazareth sehemu alipokulia Yesu, kuna Mji mtakatifu Yerusalem, mto Yordan, Bahari ya Galilaya na maeneo mengi huwa tunaenda kutalii au wengine wanasema kuhiji walau kujikumbusha kwa kuona yale yaliyoandikwa kwenye Biblia. wakivunja uhusiano itatuathiri sisi.

vilevile, sisi hatusapoti wapalestina, tunasapoti Israel, hata katika mapigano yanayoendelea tunasapoti Israel, hatusapoti magaidi ya hamas, wala wapalestina. ni muhimu kujua hilo.
 
Magaidi wapelekewe moto 🔥 🔥 mpaka akili ziwakae sawa
Sisi kama Kawa tunaendelea kupeperusha bendera ya Israel ,🇮🇱 🇮🇱 🇮🇱🇮🇱
 
Hamas walivyosema kwamba Gaza itakua ni kaburi la Wanajeshi wa Israel walikua hawatanii..Shambulizi moja tu wameuwa wanajeshi 67 wa Israel


#BREAKING Al-Qassam Brigades ambushed Israeli soldiers, captured 43 soldiers and killed 67 soldiers.

Source:Israel channel 14

Israeli media and Military sources confirming the Ambush but denied any captured soldier

As a result of the attacks of the Al-Qassam brigade, a unit of the Givati Brigade had to withdraw from the north of Gaza —
Palestinian Source

Source:Israel channel 14,Palestinian Source.

Verfied by: War intel page on XView attachment 2799534


UPDATE: Unconfirmed report.......Hii habari bado sijajiridhisha,nilikua na haraka sana kuipost, huwa najitahidi sana kuleta habari za kweli humu na huwa nahakikisha naleta habari za uhakika kabisa!!Na hii habari niliitoa kwenye source ya uhakika kabisa lakini mleta habari amesema binafsi kuwa anaifanyia uchunguzi kwanza na akaifuta!!....Hii ni hadi nijiridhishe kwanza nilikua fasta sana kupost hii habari humu, so hadi nijiridhishe....Mimi sio kama kina Mk254 ambaye habari zake 95% anazoleta humu ni za uongo!!..........
Wayahudi wanauwawa kama kuku broiler yaani Mwanamgambo wa Kiyahudi ukimpiga hata konzi anakufa
 
We pumbavu kuna uzi umeleta kwamba Hamas kauwa wanajeshi 63 na wengine kachukua mateka then huku unakuja kulia lia.

Unajitekenya na kucheka mwenyewe tulia mupewe dawa na iiingie vizuri siku nyingine mkifikiria kuchokoza watu mpate adabu.
 
Nilijua tu atakua Muhindu tu,,,we Mtu anakunywa mkojo wa ng’ombe na m*vi unategemea awe na akili au roho nzuri,jamaa wanachuki sana huko kwao wanaua waislam,wakristo,,,unauliwa kisa umekula nyama ya ng’ombe smh
Wahindu wapo kama hawapo timamu vile
 
Kwa vipindi na nyakati tofauti, chunguza sana kwa umakini hali za kiuchumi na kijamii kwa nchi zote zenye mahusiano mabaya ya kidiplomasia na nchi ya Israeli. Aidha kwa upande mwingine chunguza zile ambazo zina mahusiano mazuri na nchi hii.

Ni vyema tukatafakari vyema nukuu ifuatayo kutoka katika maandiko matakatifu,

WARAKA KWA WARUMI 11

1 Kwa hiyo nauliza, je, Mungu amewakataa watu wake? La, sivyo. Mimi mwenyewe ni Mwisraeli, wa uzao wa Ibrahimu na wa kabila la Benjamini.

2 Mungu hajawakataa watu wake ambao aliwajua tokea mwanzo. Hamfahamu Maandiko yanavyosema kuhusu Eliya, jinsi alivyomlalamikia Mungu kuhusu Waisraeli akisema,

3 “Bwana, wamewaua manabii wako na kuziharibu madhabahu zako, nimebaki mimi peke yangu, nao wanataka kuniua?

4 Na Mungu alimjibuje? “Nime bakiza kwa ajili yangu watu elfu saba ambao hawajapiga magoti kumwabudu Baali.”

5 Ndivyo ilivyo hata sasa; wapo wachache wal iosalia ambao Mungu amewachagua kwa neema yake.

6 Lakini ikiwa wamechaguliwa kwa neema, haiwezekani tena wakachaguliwa kwa msingi wa matendo. Kama ingekuwa hivyo, neema isingekuwa neema tena.
Una akili mbovu na umefia dini mpaka sasa ubongo utalipuka kwa kujaza takataka mwilini

Brunei, Qatar, Iran,Kuwait,Oman,Saudia, hao wote wana hali gani za kiuchumi?
 
Kilichowatuma kuchokonoa Myahudi mtakoma nyie na maugaidi ya dini yenu.
Huu uzi haukuhusu wewe Mkenya mambo ya Tz yanakuhusu nini?Pambana na kenya yako inayosumbuliwa na njaa
 
Tuanze kuvunja kwanza uhusiano na sudan sabu waislamu wa sudan wanauwana na kuchinjana wao kwa wao lakin pia sudan ni jiran zetu ugomvi wau una madhara ya moja kwa moja kwa nchi yetu na uchumi wetu

Sion haja ya kuvunja uhusiano na israel nchi ambayo iko mbali sana na ugomvi wao unamadhara ila sio ya moja kwa moja km yale tunayopata kutoka sudan
Kuna wakimbizi kibao wa kisudan tanzania kulko wakimbizi wa kiisrael walioko tz
Tz itapeleka misaada sudan sku za usoni ila ni ngumu tz kupeleka misaada israel
Lakin pia kuna uwezekano wa wasudan kukimbilia tz na sku za usoni kuja kutuletea vita zao za kidini nchini kwetu tofaut na israel

Tuache ushabiki wa kizaman waafrika tunamattzo yetu weng sana na ni vema waafrika tukaungana kutatua mattzo yetu kwanza na sio kuwaza mattzo ya waisrael na wapalestina wakat niger watu wanakufa mali watu wanakufa kongo sudan somalia afrika ya kati kote uko waafrika wanakufa
 
Huu ni wakati wa Serikali ya Tanzania kuvunja mahusiano na Israel haraka sana kwa yanayoendelea huko Gaza!!

Huko nyuma tuliwahi kusema kuwa "kila mtu anastahili haki ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake". Pia tulisema kwamba kila watu wana haki ya kuwa na mahali ambapo watakuwa salama kutoka vitisho vyovyote vya utu wao na nafasi yao kama jamaa.

Tokea enzi za Nyerere tuliamini ya kwamba hakuna mwanadamu mwingine ambaye ana haki ya kumtawala kwa nguvu mwanadamu mwingine kwa kisingizio chochote kile. Hii ilikuwa ni falsafa yetu dhidi ya ukoloni.

Leo hii tunashuhudia yanayoendelea Palestina ambapo karibu maelfu ya watu wameshauawa. Je, Bunge linapokutana siku chache zijazo zilaani mauaji hayo? Je, serikali ilaani pande zote mbili kwa kusababisha mazingira ambayo yanamnyima mwanadamu nafasi ya kuwa huru kufanya lolote? Tunapaswa tuungane na nchi nyingine mfano Bolivia ambazo zimevunja uhusiano na Israel kutokana na suala la Gaza

Hatuwezi kuendelea kulisapoti taifa la kigaidi ambalo lina mchango mkubwa wa ubaguzi wa Rangi na.ambalo limeshiriki kuwaangamiza Waafrika wengi mfano wakati wa makaburi walitoa misaada ya kila aina kwa makaburu ili waendelee kuwauwa watu weusi kule Africa ya kusini bado zile cases za waafrika waethiopia kufungwa vizazi wasizae kwa nguvu!

Kwa yanayoendelea naiomba serikali ivunje uhusiano mara moja na huu utawala katili wa Israel View attachment 2799632View attachment 2799631View attachment 2799633View attachment 2799634
Israel haina Cha kupoteza hata tukivunja nayo uhusiano. Na Wala haina chochote inachohitaji toka kwetu. Tunahangaika na mauaji huko Gaza, wakati hapa kwetu wakati ww uchaguzi tunaona watu wakiuwawa na kuachwa na vilema vya maisha ili ccm itawale kwa shuruti.
 
Ukitafakar kwa kina binadamu wa africa masharik hasa wakitanzania ni wapumbavu, vichwa empty bora mbuzi ana akili kuliko sasa unashabikia wenzako wanavyouana na mmejitenga na makundi kufuraishana kwamba muislam vs mkristo hv wakuu mkosawasawa vichwani mwenu au dishi zimeyumba?? Dah aisee nyie watu matahila tena mafala,fuvck
[emoji851]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ttzo letu tunaleta ushabiki wa kidini kwenye maisha ya watu waislamu wakiwauwa waislamu wenzao sio vibaya ila jew na waislamu wakiuwana ilo ndo kasa tuache kutumia dini vbaya tuache utumwa wa akili na fikla dini haitupeleki mbinguni
 
Israel atashinda na sababu ziko wazi, ni support kubwa sana kutoka USA( Tech USA anapiga vita) lakini unajuliza, hivi hawa Hamas ndio wangekuwa kama ni nchi au tuseme wana silaha na jeshi kama nchi na pesa au tuseme wangekuwa na 50% ya resource za Israel hii vita ingekuwaje? kwa sasa ni kama boxing basi heavyweight kapanda ulingozi na Featherweight ila wako round ya 3. Israel and pewa pesa, misaada mikubwa ya kijeshi na mpaka ulinzi ila hawa Hamas wana watu yaani wapiganaji na mshujaa. Hii vita ndani ya Ghaza ina maafa makubwa sana kuliko ushabiki wetu humu, Nentanyau emekiri kisha waandaa wa Israel, hii vita ndefu na gharama itakuwa kubwa kimali na hasara ya binadamu. Kazi bado haijaanza.
Kwenye uhalisia wa hoja usirudie tena kuleta singeli za "unge, inge" sababu wewe mwenyewe usingezaliwa duniani ungekuwa si chochote.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Sasa ulitaka Hamas wakae tu ili wanajeshi wa Israel wawauwe?
Israel anacho ambiwa ni afuate sheria za vita na sio kupiga piga hovyo kama ni kupambana apambane na hamas awaangamize kama anavyo sema na sio kuuwa raia.
Hamas wanajichanganya na raia lazima Hilo litokee wewe gaidi wa kwampalange
 
Back
Top Bottom