LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Idadi ya wanajeshi wao waliokufa jana tu ni zaidi ya 70 lakini wanaficha data na ukweli sijui kwanini wamekua na hii tabia tokea zamani?

Wanajeshi zaidi ya 500 washauliwa tokea hii vita ianze kwa Hezbollah pekee wanajeshi wa Israel waliokufa kwenye majibizano na Hezbollah tokea tarehe 07 October ni zaidi ya 120!

Hii vita inaenda kumuelemea sana masaa yajayo mbeleni. Nasema haya kwasababu ijumaa Hezbollah watatoa tamko rasmi la kujiunga na hii vita rasmi na wametoa matamko kabisa kuwaambia Israel kuwa mwisho wa kuamua kusitisha mashambulizi ni Ijumaa asubuhi.

Jana Yemen wametangaza kujiunga na hii vita na usiku walirusha makombora kama manne Israel mawili yalilenga shabaha kikamilifu!

Na tunafahamu ukweli kuwa Israel hawezi kusimama mwenyewe, hapo Gaza tu kapewa misaada ya matrilioni ya pesa, silaha za bure na wanajeshi kutoka US na UK lakini bado hajaweza kuteka hata kilometa moja!! Sasa ubora wa hawa watu unatoka wapi?

Jeshi gani hili?Kwa jeshi la anga wapo vizuri sana, hilo nakiri kabisa kuwa Israeli wana jeshi bora la Anga pale Mashariki ya kati!! Lakini jee vipi kuhusu jeshi la nchi kavu?Wanachojua ni kupiga angani tu na kuua wanawake na watoto!!Hivi Hamas wangekua hata na kifaru kimoja au magari ya kijeshi matano tu Telaviv pangekalika?

Hivi mnaosema Israel wana jeshi bora mnalizungumzia jeshi lipi?Wanajeshi wapi hao? Hawa maticktoker na maslay Queen? Israel hajawahi kupigana mwenyewe na hawezi kusimamia vita mwenyewe bila misaada!

Sasa soon atapigana na Hamas, Hezbollah na Answarullah ya Yemen! Hapo ndio ataanza kuzidiwa mwenyewe tu.

Itafika mahali wataomba Ceasefire wao wenyewe tu pale maji yatakapowafika shingoni.

Hamas walivyosema Gaza itageuka makaburi na kuzimu kwa Wazayuni hawakutani!Wanaenda wanajeshi 50 wa Israel Gaza wanarudi 15 sasa si uwendawazimu huo?Wewe unapiganaje vita na watu waliokubuhu kwenye mapigano?

Unajua Israel hii vita itamcost sana na sasa hivi duniani hana support ya jamii yoyote ile katika mitazamo ya watu.

Imagine uungaji wa Palestina kidunia umepanda mpaka 80% kutoka 44% mwaka 2014.

Jana mmeona mkutano wa Bilinkelin umevamiwa na wanaharakati? Soon tutaongea lugha moja tu!! Walijificha nyuma ya media safari hii wanaumbuka mchana kweupe ziko wapi zile story za Hamas beheaded 40 Israel babies?

Nikiwaambia safari hii hadi propaganda zao zimefeli huwa namaanisha kabisa. Sasa dunia imebadilika sana labda waje kuwadanganya baadhi ya wafia taifa lao huku Africa ambao wengi shule na uelewa hamna.

Aibu ambayo Israel ameanza kuipata ni noma tupu subirini Hezbollah wajiunge na hiyo vita ndo Wazayuni watajua hawajui.

Ni watu wazima, wewe pambana na kutafuta ada, january imekaribia, una shida nyingi kuwazidi.
 
Huu ni wakati wa Serikali ya Tanzania kuvunja mahusiano na Israel haraka sana kwa yanayoendelea huko Gaza!!

Huko nyuma tuliwahi kusema kuwa "kila mtu anastahili haki ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake". Pia tulisema kwamba kila watu wana haki ya kuwa na mahali ambapo watakuwa salama kutoka vitisho vyovyote vya utu wao na nafasi yao kama jamaa.

Tokea enzi za Nyerere tuliamini ya kwamba hakuna mwanadamu mwingine ambaye ana haki ya kumtawala kwa nguvu mwanadamu mwingine kwa kisingizio chochote kile. Hii ilikuwa ni falsafa yetu dhidi ya ukoloni.

Leo hii tunashuhudia yanayoendelea Palestina ambapo karibu maelfu ya watu wameshauawa. Je, Bunge linapokutana siku chache zijazo zilaani mauaji hayo? Je, serikali ilaani pande zote mbili kwa kusababisha mazingira ambayo yanamnyima mwanadamu nafasi ya kuwa huru kufanya lolote? Tunapaswa tuungane na nchi nyingine mfano Bolivia ambazo zimevunja uhusiano na Israel kutokana na suala la Gaza

Hatuwezi kuendelea kulisapoti taifa la kigaidi ambalo lina mchango mkubwa wa ubaguzi wa Rangi na.ambalo limeshiriki kuwaangamiza Waafrika wengi mfano wakati wa makaburi walitoa misaada ya kila aina kwa makaburu ili waendelee kuwauwa watu weusi kule Africa ya kusini bado zile cases za waafrika waethiopia kufungwa vizazi wasizae kwa nguvu!

Kwa yanayoendelea naiomba serikali ivunje uhusiano mara moja na huu utawala katili wa Israel View attachment 2799632View attachment 2799631View attachment 2799633View attachment 2799634

Ndugu mburumundu wengi na wengine wana rangi zingine:

Tutambuane: Wenye ujasiri au sababu za kuikabili CCM

Haki ipi anapigania nani kama haki ya wapalestina si haki?
 
Idadi ya wanajeshi wao waliokufa jana tu ni zaidi ya 70 lakini wanaficha data na ukweli sijui kwanini wamekua na hii tabia tokea zamani?

Wanajeshi zaidi ya 500 washauliwa tokea hii vita ianze kwa Hezbollah pekee wanajeshi wa Israel waliokufa kwenye majibizano na Hezbollah tokea tarehe 07 October ni zaidi ya 120!

Hii vita inaenda kumuelemea sana masaa yajayo mbeleni. Nasema haya kwasababu ijumaa Hezbollah watatoa tamko rasmi la kujiunga na hii vita rasmi na wametoa matamko kabisa kuwaambia Israel kuwa mwisho wa kuamua kusitisha mashambulizi ni Ijumaa asubuhi.

Jana Yemen wametangaza kujiunga na hii vita na usiku walirusha makombora kama manne Israel mawili yalilenga shabaha kikamilifu!

Na tunafahamu ukweli kuwa Israel hawezi kusimama mwenyewe, hapo Gaza tu kapewa misaada ya matrilioni ya pesa, silaha za bure na wanajeshi kutoka US na UK lakini bado hajaweza kuteka hata kilometa moja!! Sasa ubora wa hawa watu unatoka wapi?

Jeshi gani hili?Kwa jeshi la anga wapo vizuri sana, hilo nakiri kabisa kuwa Israeli wana jeshi bora la Anga pale Mashariki ya kati!! Lakini jee vipi kuhusu jeshi la nchi kavu?Wanachojua ni kupiga angani tu na kuua wanawake na watoto!!Hivi Hamas wangekua hata na kifaru kimoja au magari ya kijeshi matano tu Telaviv pangekalika?

Hivi mnaosema Israel wana jeshi bora mnalizungumzia jeshi lipi?Wanajeshi wapi hao? Hawa maticktoker na maslay Queen? Israel hajawahi kupigana mwenyewe na hawezi kusimamia vita mwenyewe bila misaada!

Sasa soon atapigana na Hamas, Hezbollah na Answarullah ya Yemen! Hapo ndio ataanza kuzidiwa mwenyewe tu.

Itafika mahali wataomba Ceasefire wao wenyewe tu pale maji yatakapowafika shingoni.

Hamas walivyosema Gaza itageuka makaburi na kuzimu kwa Wazayuni hawakutani!Wanaenda wanajeshi 50 wa Israel Gaza wanarudi 15 sasa si uwendawazimu huo?Wewe unapiganaje vita na watu waliokubuhu kwenye mapigano?

Unajua Israel hii vita itamcost sana na sasa hivi duniani hana support ya jamii yoyote ile katika mitazamo ya watu.

Imagine uungaji wa Palestina kidunia umepanda mpaka 80% kutoka 44% mwaka 2014.

Jana mmeona mkutano wa Bilinkelin umevamiwa na wanaharakati? Soon tutaongea lugha moja tu!! Walijificha nyuma ya media safari hii wanaumbuka mchana kweupe ziko wapi zile story za Hamas beheaded 40 Israel babies?

Nikiwaambia safari hii hadi propaganda zao zimefeli huwa namaanisha kabisa. Sasa dunia imebadilika sana labda waje kuwadanganya baadhi ya wafia taifa lao huku Africa ambao wengi shule na uelewa hamna.

Aibu ambayo Israel ameanza kuipata ni noma tupu subirini Hezbollah wajiunge na hiyo vita ndo Wazayuni watajua hawajui.
Hakuna katika majeshi imara mashariki ya kati ni Egypt pamoja Syria. Walichokipata kwa Israel wanajua. Mpaka leo Eneo Sinai ni la Egypt lakini lilikaliwa Israel na alishindwa kulikomboa yakafanyika mazungumzo likarejeshwa kwa makubaliano kuwa Egypt isijaribu kuingia vitani na Israel vinginevyo Sinai Peninsula itakaliwa tena na Israel. Eneo la Golan heights iko Syria lakini limekaliwa na Israel mpaka sasa.
Nchi zenye majeshi imara zimeshindwa kukomboa maeneo yao hao wanamgambo wanaweza kuwa tishio kwa Israeli. Sana sana wanachoweza ni kufanya fujo tu...
 
Hakuna katika majeshi imara mashariki ya kati ni Egypt pamoja Syria. Walichokipata kwa Israel wanajua. Mpaka leo Eneo Sinai ni la Egypt lakini linakaliwa Israel na ameshindwa kulikomboa. Eneo la Golan heights iko Syria lakini limekaliwa na Israel.
Nchi zenye majeshi imara zimeshindwa kukomboa maeneo yao hao wanamgambo wanaweza kuwa tishio kwa Israeli. Sana sana wanachoweza ni kufanya fujo tu...
Vita ni timing na mbinu , mwaka 2006 walitandikwa kisawasawa na hezbollah hadi marekani akaenda kuomba ceasefire usisahau hilo
 
Watz, tuna shida kibao nchini mwetu, hebu tumalize yetu kwanza maana najua wengi mnajiingiza kwa hii vita kwa sababu za kidini hakuna lingine! mngekuwa mnatetea watoto kweli mngeanzia pale hamas alipovamia Israel. Kiukweli hakunaga upande sahihi wa vita isipokuwa amani, huwezi shabikia kifo cha mwingine ukahurumia cha mwingine, ukithamini maisha ya binadamu basi wote wana haki ya kuishi.
 
Idadi ya wanajeshi wao waliokufa jana tu ni zaidi ya 70 lakini wanaficha data na ukweli sijui kwanini wamekua na hii tabia tokea zamani?

Wanajeshi zaidi ya 500 washauliwa tokea hii vita ianze kwa Hezbollah pekee wanajeshi wa Israel waliokufa kwenye majibizano na Hezbollah tokea tarehe 07 October ni zaidi ya 120!

Hii vita inaenda kumuelemea sana masaa yajayo mbeleni. Nasema haya kwasababu ijumaa Hezbollah watatoa tamko rasmi la kujiunga na hii vita rasmi na wametoa matamko kabisa kuwaambia Israel kuwa mwisho wa kuamua kusitisha mashambulizi ni Ijumaa asubuhi.

Jana Yemen wametangaza kujiunga na hii vita na usiku walirusha makombora kama manne Israel mawili yalilenga shabaha kikamilifu!

Na tunafahamu ukweli kuwa Israel hawezi kusimama mwenyewe, hapo Gaza tu kapewa misaada ya matrilioni ya pesa, silaha za bure na wanajeshi kutoka US na UK lakini bado hajaweza kuteka hata kilometa moja!! Sasa ubora wa hawa watu unatoka wapi?

Jeshi gani hili?Kwa jeshi la anga wapo vizuri sana, hilo nakiri kabisa kuwa Israeli wana jeshi bora la Anga pale Mashariki ya kati!! Lakini jee vipi kuhusu jeshi la nchi kavu?Wanachojua ni kupiga angani tu na kuua wanawake na watoto!!Hivi Hamas wangekua hata na kifaru kimoja au magari ya kijeshi matano tu Telaviv pangekalika?

Hivi mnaosema Israel wana jeshi bora mnalizungumzia jeshi lipi?Wanajeshi wapi hao? Hawa maticktoker na maslay Queen? Israel hajawahi kupigana mwenyewe na hawezi kusimamia vita mwenyewe bila misaada!

Sasa soon atapigana na Hamas, Hezbollah na Answarullah ya Yemen! Hapo ndio ataanza kuzidiwa mwenyewe tu.

Itafika mahali wataomba Ceasefire wao wenyewe tu pale maji yatakapowafika shingoni.

Hamas walivyosema Gaza itageuka makaburi na kuzimu kwa Wazayuni hawakutani!Wanaenda wanajeshi 50 wa Israel Gaza wanarudi 15 sasa si uwendawazimu huo?Wewe unapiganaje vita na watu waliokubuhu kwenye mapigano?

Unajua Israel hii vita itamcost sana na sasa hivi duniani hana support ya jamii yoyote ile katika mitazamo ya watu.

Imagine uungaji wa Palestina kidunia umepanda mpaka 80% kutoka 44% mwaka 2014.

Jana mmeona mkutano wa Bilinkelin umevamiwa na wanaharakati? Soon tutaongea lugha moja tu!! Walijificha nyuma ya media safari hii wanaumbuka mchana kweupe ziko wapi zile story za Hamas beheaded 40 Israel babies?

Nikiwaambia safari hii hadi propaganda zao zimefeli huwa namaanisha kabisa. Sasa dunia imebadilika sana labda waje kuwadanganya baadhi ya wafia taifa lao huku Africa ambao wengi shule na uelewa hamna.

Aibu ambayo Israel ameanza kuipata ni noma tupu subirini Hezbollah wajiunge na hiyo vita ndo Wazayuni watajua hawajui.
Hata hilo jeshi la anga wanawaonea Palestine tu sababu hawana silaha za kutungulia ndege ngoja hizo ndege zao ziende kushambulia Yemen au Leban kama zitarudi.
 
Idadi ya wanajeshi wao waliokufa jana tu ni zaidi ya 70 lakini wanaficha data na ukweli sijui kwanini wamekua na hii tabia tokea zamani?

Wanajeshi zaidi ya 500 washauliwa tokea hii vita ianze kwa Hezbollah pekee wanajeshi wa Israel waliokufa kwenye majibizano na Hezbollah tokea tarehe 07 October ni zaidi ya 120!

Hii vita inaenda kumuelemea sana masaa yajayo mbeleni. Nasema haya kwasababu ijumaa Hezbollah watatoa tamko rasmi la kujiunga na hii vita rasmi na wametoa matamko kabisa kuwaambia Israel kuwa mwisho wa kuamua kusitisha mashambulizi ni Ijumaa asubuhi.

Jana Yemen wametangaza kujiunga na hii vita na usiku walirusha makombora kama manne Israel mawili yalilenga shabaha kikamilifu!

Na tunafahamu ukweli kuwa Israel hawezi kusimama mwenyewe, hapo Gaza tu kapewa misaada ya matrilioni ya pesa, silaha za bure na wanajeshi kutoka US na UK lakini bado hajaweza kuteka hata kilometa moja!! Sasa ubora wa hawa watu unatoka wapi?

Jeshi gani hili?Kwa jeshi la anga wapo vizuri sana, hilo nakiri kabisa kuwa Israeli wana jeshi bora la Anga pale Mashariki ya kati!! Lakini jee vipi kuhusu jeshi la nchi kavu?Wanachojua ni kupiga angani tu na kuua wanawake na watoto!!Hivi Hamas wangekua hata na kifaru kimoja au magari ya kijeshi matano tu Telaviv pangekalika?

Hivi mnaosema Israel wana jeshi bora mnalizungumzia jeshi lipi?Wanajeshi wapi hao? Hawa maticktoker na maslay Queen? Israel hajawahi kupigana mwenyewe na hawezi kusimamia vita mwenyewe bila misaada!

Sasa soon atapigana na Hamas, Hezbollah na Answarullah ya Yemen! Hapo ndio ataanza kuzidiwa mwenyewe tu.

Itafika mahali wataomba Ceasefire wao wenyewe tu pale maji yatakapowafika shingoni.

Hamas walivyosema Gaza itageuka makaburi na kuzimu kwa Wazayuni hawakutani!Wanaenda wanajeshi 50 wa Israel Gaza wanarudi 15 sasa si uwendawazimu huo?Wewe unapiganaje vita na watu waliokubuhu kwenye mapigano?

Unajua Israel hii vita itamcost sana na sasa hivi duniani hana support ya jamii yoyote ile katika mitazamo ya watu.

Imagine uungaji wa Palestina kidunia umepanda mpaka 80% kutoka 44% mwaka 2014.

Jana mmeona mkutano wa Bilinkelin umevamiwa na wanaharakati? Soon tutaongea lugha moja tu!! Walijificha nyuma ya media safari hii wanaumbuka mchana kweupe ziko wapi zile story za Hamas beheaded 40 Israel babies?

Nikiwaambia safari hii hadi propaganda zao zimefeli huwa namaanisha kabisa. Sasa dunia imebadilika sana labda waje kuwadanganya baadhi ya wafia taifa lao huku Africa ambao wengi shule na uelewa hamna.

Aibu ambayo Israel ameanza kuipata ni noma tupu subirini Hezbollah wajiunge na hiyo vita ndo Wazayuni watajua hawajui.
Sasa kama Israel haina uwezo msianze kulia lia tulieni si mnayaweza sio kutuwekea picha za watoto na wanawake wapalestina wanaonewa

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Aisee ushabiki wa watu unaweza ukafikiria hii ni game kwenye PS3, X-Box au Nintendo Wii
 
Hizi vita propaganda nyingi sana mpaka unachanganyikiwa,ila upande unaolia na kuomba huruma ya dunia unajulikana.
Tuoneshe upande uliolia tuuone.

Hamas malengo yao yamefanikiwa sana tena sana.

Kama ni kikundi cha Kigaidi kama tunavyoaminishwa, nini lengo la ugaidi? Jibu ni moja tu, usikike.

Kama lengo ni hilo, Hamas ni waashindi wa mara million moja. Sasa hivi dunia nzima inaongelea masuala haya ya Palestina na wayahudi.

Kama si ushindi huo ni nini?
 
Idadi ya wanajeshi wao waliokufa jana tu ni zaidi ya 70 lakini wanaficha data na ukweli sijui kwanini wamekua na hii tabia tokea zamani?

Wanajeshi zaidi ya 500 washauliwa tokea hii vita ianze kwa Hezbollah pekee wanajeshi wa Israel waliokufa kwenye majibizano na Hezbollah tokea tarehe 07 October ni zaidi ya 120!

Hii vita inaenda kumuelemea sana masaa yajayo mbeleni. Nasema haya kwasababu ijumaa Hezbollah watatoa tamko rasmi la kujiunga na hii vita rasmi na wametoa matamko kabisa kuwaambia Israel kuwa mwisho wa kuamua kusitisha mashambulizi ni Ijumaa asubuhi.

Jana Yemen wametangaza kujiunga na hii vita na usiku walirusha makombora kama manne Israel mawili yalilenga shabaha kikamilifu!

Na tunafahamu ukweli kuwa Israel hawezi kusimama mwenyewe, hapo Gaza tu kapewa misaada ya matrilioni ya pesa, silaha za bure na wanajeshi kutoka US na UK lakini bado hajaweza kuteka hata kilometa moja!! Sasa ubora wa hawa watu unatoka wapi?

Jeshi gani hili?Kwa jeshi la anga wapo vizuri sana, hilo nakiri kabisa kuwa Israeli wana jeshi bora la Anga pale Mashariki ya kati!! Lakini jee vipi kuhusu jeshi la nchi kavu?Wanachojua ni kupiga angani tu na kuua wanawake na watoto!!Hivi Hamas wangekua hata na kifaru kimoja au magari ya kijeshi matano tu Telaviv pangekalika?

Hivi mnaosema Israel wana jeshi bora mnalizungumzia jeshi lipi?Wanajeshi wapi hao? Hawa maticktoker na maslay Queen? Israel hajawahi kupigana mwenyewe na hawezi kusimamia vita mwenyewe bila misaada!

Sasa soon atapigana na Hamas, Hezbollah na Answarullah ya Yemen! Hapo ndio ataanza kuzidiwa mwenyewe tu.

Itafika mahali wataomba Ceasefire wao wenyewe tu pale maji yatakapowafika shingoni.

Hamas walivyosema Gaza itageuka makaburi na kuzimu kwa Wazayuni hawakutani!Wanaenda wanajeshi 50 wa Israel Gaza wanarudi 15 sasa si uwendawazimu huo?Wewe unapiganaje vita na watu waliokubuhu kwenye mapigano?

Unajua Israel hii vita itamcost sana na sasa hivi duniani hana support ya jamii yoyote ile katika mitazamo ya watu.

Imagine uungaji wa Palestina kidunia umepanda mpaka 80% kutoka 44% mwaka 2014.

Jana mmeona mkutano wa Bilinkelin umevamiwa na wanaharakati? Soon tutaongea lugha moja tu!! Walijificha nyuma ya media safari hii wanaumbuka mchana kweupe ziko wapi zile story za Hamas beheaded 40 Israel babies?

Nikiwaambia safari hii hadi propaganda zao zimefeli huwa namaanisha kabisa. Sasa dunia imebadilika sana labda waje kuwadanganya baadhi ya wafia taifa lao huku Africa ambao wengi shule na uelewa hamna.

Aibu ambayo Israel ameanza kuipata ni noma tupu subirini Hezbollah wajiunge na hiyo vita ndo Wazayuni watajua hawajui.
We fala kama si Gaidi basi hustahili kabisa kuwa Mpumbavu kiasi hicho...[emoji2]

Wahanga wa vita Msumbiji, Somalia, DRC, Sudan na Nigeria wanakuomba usiwasahau kuwaombea kisa tu chuki zako za kidini kwa Israel.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Wabongo katika ubora wetu.
Stori za vijiweni kama kawa.
Chambuzi za vita.
Tukishakula mihogo tukashiba, tumechaji simu kwa umeme wa mgao, Tv zimesha zima, Tanesco washachukua umeme, ndio tunashika simu kuanza kudanganyana sasa. Si tuna acess ya bando!!

Data ambazo waisrael wanazificha we umezipata wapi? Upo kwenye battle field au una reporter huko anaekupenyezea za ndani kabisa? Acheni propaganda. Acha zipigwe mwisho wa siku atakaye sanda tutamuona.
 
Back
Top Bottom