LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Idadi ya wanajeshi wao waliokufa jana tu ni zaidi ya 70 lakini wanaficha data na ukweli sijui kwanini wamekua na hii tabia tokea zamani?

Wanajeshi zaidi ya 500 washauliwa tokea hii vita ianze kwa Hezbollah pekee wanajeshi wa Israel waliokufa kwenye majibizano na Hezbollah tokea tarehe 07 October ni zaidi ya 120!

Hii vita inaenda kumuelemea sana masaa yajayo mbeleni. Nasema haya kwasababu ijumaa Hezbollah watatoa tamko rasmi la kujiunga na hii vita rasmi na wametoa matamko kabisa kuwaambia Israel kuwa mwisho wa kuamua kusitisha mashambulizi ni Ijumaa asubuhi.

Jana Yemen wametangaza kujiunga na hii vita na usiku walirusha makombora kama manne Israel mawili yalilenga shabaha kikamilifu!

Na tunafahamu ukweli kuwa Israel hawezi kusimama mwenyewe, hapo Gaza tu kapewa misaada ya matrilioni ya pesa, silaha za bure na wanajeshi kutoka US na UK lakini bado hajaweza kuteka hata kilometa moja!! Sasa ubora wa hawa watu unatoka wapi?

Jeshi gani hili?Kwa jeshi la anga wapo vizuri sana, hilo nakiri kabisa kuwa Israeli wana jeshi bora la Anga pale Mashariki ya kati!! Lakini jee vipi kuhusu jeshi la nchi kavu?Wanachojua ni kupiga angani tu na kuua wanawake na watoto!!Hivi Hamas wangekua hata na kifaru kimoja au magari ya kijeshi matano tu Telaviv pangekalika?

Hivi mnaosema Israel wana jeshi bora mnalizungumzia jeshi lipi?Wanajeshi wapi hao? Hawa maticktoker na maslay Queen? Israel hajawahi kupigana mwenyewe na hawezi kusimamia vita mwenyewe bila misaada!

Sasa soon atapigana na Hamas, Hezbollah na Answarullah ya Yemen! Hapo ndio ataanza kuzidiwa mwenyewe tu.

Itafika mahali wataomba Ceasefire wao wenyewe tu pale maji yatakapowafika shingoni.

Hamas walivyosema Gaza itageuka makaburi na kuzimu kwa Wazayuni hawakutani!Wanaenda wanajeshi 50 wa Israel Gaza wanarudi 15 sasa si uwendawazimu huo?Wewe unapiganaje vita na watu waliokubuhu kwenye mapigano?

Unajua Israel hii vita itamcost sana na sasa hivi duniani hana support ya jamii yoyote ile katika mitazamo ya watu.

Imagine uungaji wa Palestina kidunia umepanda mpaka 80% kutoka 44% mwaka 2014.

Jana mmeona mkutano wa Bilinkelin umevamiwa na wanaharakati? Soon tutaongea lugha moja tu!! Walijificha nyuma ya media safari hii wanaumbuka mchana kweupe ziko wapi zile story za Hamas beheaded 40 Israel babies?

Nikiwaambia safari hii hadi propaganda zao zimefeli huwa namaanisha kabisa. Sasa dunia imebadilika sana labda waje kuwadanganya baadhi ya wafia taifa lao huku Africa ambao wengi shule na uelewa hamna.

Aibu ambayo Israel ameanza kuipata ni noma tupu subirini Hezbollah wajiunge na hiyo vita ndo Wazayuni watajua hawajui.
Umeongea kushabiki sana Israel hawezi piga na mwarabu kamwe
 
Idadi ya wanajeshi wao waliokufa jana tu ni zaidi ya 70 lakini wanaficha data na ukweli sijui kwanini wamekua na hii tabia tokea zamani?

Wanajeshi zaidi ya 500 washauliwa tokea hii vita ianze kwa Hezbollah pekee wanajeshi wa Israel waliokufa kwenye majibizano na Hezbollah tokea tarehe 07 October ni zaidi ya 120!

Hii vita inaenda kumuelemea sana masaa yajayo mbeleni. Nasema haya kwasababu ijumaa Hezbollah watatoa tamko rasmi la kujiunga na hii vita rasmi na wametoa matamko kabisa kuwaambia Israel kuwa mwisho wa kuamua kusitisha mashambulizi ni Ijumaa asubuhi.

Jana Yemen wametangaza kujiunga na hii vita na usiku walirusha makombora kama manne Israel mawili yalilenga shabaha kikamilifu!

Na tunafahamu ukweli kuwa Israel hawezi kusimama mwenyewe, hapo Gaza tu kapewa misaada ya matrilioni ya pesa, silaha za bure na wanajeshi kutoka US na UK lakini bado hajaweza kuteka hata kilometa moja!! Sasa ubora wa hawa watu unatoka wapi?

Jeshi gani hili?Kwa jeshi la anga wapo vizuri sana, hilo nakiri kabisa kuwa Israeli wana jeshi bora la Anga pale Mashariki ya kati!! Lakini jee vipi kuhusu jeshi la nchi kavu?Wanachojua ni kupiga angani tu na kuua wanawake na watoto!!Hivi Hamas wangekua hata na kifaru kimoja au magari ya kijeshi matano tu Telaviv pangekalika?

Hivi mnaosema Israel wana jeshi bora mnalizungumzia jeshi lipi?Wanajeshi wapi hao? Hawa maticktoker na maslay Queen? Israel hajawahi kupigana mwenyewe na hawezi kusimamia vita mwenyewe bila misaada!

Sasa soon atapigana na Hamas, Hezbollah na Answarullah ya Yemen! Hapo ndio ataanza kuzidiwa mwenyewe tu.

Itafika mahali wataomba Ceasefire wao wenyewe tu pale maji yatakapowafika shingoni.

Hamas walivyosema Gaza itageuka makaburi na kuzimu kwa Wazayuni hawakutani!Wanaenda wanajeshi 50 wa Israel Gaza wanarudi 15 sasa si uwendawazimu huo?Wewe unapiganaje vita na watu waliokubuhu kwenye mapigano?

Unajua Israel hii vita itamcost sana na sasa hivi duniani hana support ya jamii yoyote ile katika mitazamo ya watu.

Imagine uungaji wa Palestina kidunia umepanda mpaka 80% kutoka 44% mwaka 2014.

Jana mmeona mkutano wa Bilinkelin umevamiwa na wanaharakati? Soon tutaongea lugha moja tu!! Walijificha nyuma ya media safari hii wanaumbuka mchana kweupe ziko wapi zile story za Hamas beheaded 40 Israel babies?

Nikiwaambia safari hii hadi propaganda zao zimefeli huwa namaanisha kabisa. Sasa dunia imebadilika sana labda waje kuwadanganya baadhi ya wafia taifa lao huku Africa ambao wengi shule na uelewa hamna.

Aibu ambayo Israel ameanza kuipata ni noma tupu subirini Hezbollah wajiunge na hiyo vita ndo Wazayuni watajua hawajui.
Unateseka ukiwa wapi......??
 
Idadi ya wanajeshi wao waliokufa jana tu ni zaidi ya 70 lakini wanaficha data na ukweli sijui kwanini wamekua na hii tabia tokea zamani?

Wanajeshi zaidi ya 500 washauliwa tokea hii vita ianze kwa Hezbollah pekee wanajeshi wa Israel waliokufa kwenye majibizano na Hezbollah tokea tarehe 07 October ni zaidi ya 120!

Hii vita inaenda kumuelemea sana masaa yajayo mbeleni. Nasema haya kwasababu ijumaa Hezbollah watatoa tamko rasmi la kujiunga na hii vita rasmi na wametoa matamko kabisa kuwaambia Israel kuwa mwisho wa kuamua kusitisha mashambulizi ni Ijumaa asubuhi.

Jana Yemen wametangaza kujiunga na hii vita na usiku walirusha makombora kama manne Israel mawili yalilenga shabaha kikamilifu!

Na tunafahamu ukweli kuwa Israel hawezi kusimama mwenyewe, hapo Gaza tu kapewa misaada ya matrilioni ya pesa, silaha za bure na wanajeshi kutoka US na UK lakini bado hajaweza kuteka hata kilometa moja!! Sasa ubora wa hawa watu unatoka wapi?

Jeshi gani hili?Kwa jeshi la anga wapo vizuri sana, hilo nakiri kabisa kuwa Israeli wana jeshi bora la Anga pale Mashariki ya kati!! Lakini jee vipi kuhusu jeshi la nchi kavu?Wanachojua ni kupiga angani tu na kuua wanawake na watoto!!Hivi Hamas wangekua hata na kifaru kimoja au magari ya kijeshi matano tu Telaviv pangekalika?

Hivi mnaosema Israel wana jeshi bora mnalizungumzia jeshi lipi?Wanajeshi wapi hao? Hawa maticktoker na maslay Queen? Israel hajawahi kupigana mwenyewe na hawezi kusimamia vita mwenyewe bila misaada!

Sasa soon atapigana na Hamas, Hezbollah na Answarullah ya Yemen! Hapo ndio ataanza kuzidiwa mwenyewe tu.

Itafika mahali wataomba Ceasefire wao wenyewe tu pale maji yatakapowafika shingoni.

Hamas walivyosema Gaza itageuka makaburi na kuzimu kwa Wazayuni hawakutani!Wanaenda wanajeshi 50 wa Israel Gaza wanarudi 15 sasa si uwendawazimu huo?Wewe unapiganaje vita na watu waliokubuhu kwenye mapigano?

Unajua Israel hii vita itamcost sana na sasa hivi duniani hana support ya jamii yoyote ile katika mitazamo ya watu.

Imagine uungaji wa Palestina kidunia umepanda mpaka 80% kutoka 44% mwaka 2014.

Jana mmeona mkutano wa Bilinkelin umevamiwa na wanaharakati? Soon tutaongea lugha moja tu!! Walijificha nyuma ya media safari hii wanaumbuka mchana kweupe ziko wapi zile story za Hamas beheaded 40 Israel babies?

Nikiwaambia safari hii hadi propaganda zao zimefeli huwa namaanisha kabisa. Sasa dunia imebadilika sana labda waje kuwadanganya baadhi ya wafia taifa lao huku Africa ambao wengi shule na uelewa hamna.

Aibu ambayo Israel ameanza kuipata ni noma tupu subirini Hezbollah wajiunge na hiyo vita ndo Wazayuni watajua hawajui.
Wapigweeeee
 
Israel ni wavamizi wa Palestina!
Alivamia akitokea wapi?

Hapo Mashariki ya kati ni Israel ndiyo iliyoyapoteza maeneo yao kwa waarabu. Kumbuka Israel ya kale walimiki ardhi yote kuanzia sehemu ya Misri ya leo mpaka sehemu ya ndani ya Iraq ya sasa.
 
Kwa vipindi na nyakati tofauti, chunguza sana kwa umakini hali za kiuchumi na kijamii kwa nchi zote zenye mahusiano mabaya ya kidiplomasia na nchi ya Israeli. Aidha kwa upande mwingine chunguza zile ambazo zina mahusiano mazuri na nchi hii.

Ni vyema tukatafakari vyema nukuu ifuatayo kutoka katika maandiko matakatifu,

WARAKA KWA WARUMI 11

1 Kwa hiyo nauliza, je, Mungu amewakataa watu wake? La, sivyo. Mimi mwenyewe ni Mwisraeli, wa uzao wa Ibrahimu na wa kabila la Benjamini.

2 Mungu hajawakataa watu wake ambao aliwajua tokea mwanzo. Hamfahamu Maandiko yanavyosema kuhusu Eliya, jinsi alivyomlalamikia Mungu kuhusu Waisraeli akisema,

3 “Bwana, wamewaua manabii wako na kuziharibu madhabahu zako, nimebaki mimi peke yangu, nao wanataka kuniua?

4 Na Mungu alimjibuje? “Nime bakiza kwa ajili yangu watu elfu saba ambao hawajapiga magoti kumwabudu Baali.”

5 Ndivyo ilivyo hata sasa; wapo wachache wal iosalia ambao Mungu amewachagua kwa neema yake.

6 Lakini ikiwa wamechaguliwa kwa neema, haiwezekani tena wakachaguliwa kwa msingi wa matendo. Kama ingekuwa hivyo, neema isingekuwa neema tena.

Wewe ukae kizembe zembe halafu usingizie tatizo ni mahusiano yetu na Israel. Nani ameleta rushwa na wizi huu ambao umetamalaki wa mali ya umma?
Tusitumie Biblia, ambayo ni kitabu kitakatifu kuficha madhambi yetu ya waziwazi
 
Hizi vita propaganda nyingi sana mpaka unachanganyikiwa,ila upande unaolia na kuomba huruma ya dunia unajulikana.
vita za Israel ni za siku 1, 2 tu vita yake ngumu kabisa ni siku sita tu, hii ya sasa mbona inachukua siku nyingi mno? akili za kuambiwa changanya na zako bhanaweee.
 
Kuna mambo matatu

1: Corona
2: Vita vya Ukraine na Urusi
3: Vita vya Israel na Hamas

Hivi vitu vimejaa usanii wa kimtandao.
Tangu tarehe 7 October hadi leo ni siku ngapi kwa Gaza tu? hata kama mitandao inapotosha lakini mazingira huyasomi?
 
Hakuna katika majeshi imara mashariki ya kati ni Egypt pamoja Syria. Walichokipata kwa Israel wanajua. Mpaka leo Eneo Sinai ni la Egypt lakini lilikaliwa Israel na alishindwa kulikomboa yakafanyika mazungumzo likarejeshwa kwa makubaliano kuwa Egypt isijaribu kuingia vitani na Israel vinginevyo Sinai Peninsula itakaliwa tena na Israel. Eneo la Golan heights iko Syria lakini limekaliwa na Israel mpaka sasa.
Nchi zenye majeshi imara zimeshindwa kukomboa maeneo yao hao wanamgambo wanaweza kuwa tishio kwa Israeli. Sana sana wanachoweza ni kufanya fujo tu...
sio israel bali Marekani na Magharibi hasa UK, changanya na zako
 
Idadi ya wanajeshi wao waliokufa jana tu ni zaidi ya 70 lakini wanaficha data na ukweli sijui kwanini wamekua na hii tabia tokea zamani?

Wanajeshi zaidi ya 500 washauliwa tokea hii vita ianze kwa Hezbollah pekee wanajeshi wa Israel waliokufa kwenye majibizano na Hezbollah tokea tarehe 07 October ni zaidi ya 120!

Hii vita inaenda kumuelemea sana masaa yajayo mbeleni. Nasema haya kwasababu ijumaa Hezbollah watatoa tamko rasmi la kujiunga na hii vita rasmi na wametoa matamko kabisa kuwaambia Israel kuwa mwisho wa kuamua kusitisha mashambulizi ni Ijumaa asubuhi.

Jana Yemen wametangaza kujiunga na hii vita na usiku walirusha makombora kama manne Israel mawili yalilenga shabaha kikamilifu!

Na tunafahamu ukweli kuwa Israel hawezi kusimama mwenyewe, hapo Gaza tu kapewa misaada ya matrilioni ya pesa, silaha za bure na wanajeshi kutoka US na UK lakini bado hajaweza kuteka hata kilometa moja!! Sasa ubora wa hawa watu unatoka wapi?

Jeshi gani hili?Kwa jeshi la anga wapo vizuri sana, hilo nakiri kabisa kuwa Israeli wana jeshi bora la Anga pale Mashariki ya kati!! Lakini jee vipi kuhusu jeshi la nchi kavu?Wanachojua ni kupiga angani tu na kuua wanawake na watoto!!Hivi Hamas wangekua hata na kifaru kimoja au magari ya kijeshi matano tu Telaviv pangekalika?

Hivi mnaosema Israel wana jeshi bora mnalizungumzia jeshi lipi?Wanajeshi wapi hao? Hawa maticktoker na maslay Queen? Israel hajawahi kupigana mwenyewe na hawezi kusimamia vita mwenyewe bila misaada!

Sasa soon atapigana na Hamas, Hezbollah na Answarullah ya Yemen! Hapo ndio ataanza kuzidiwa mwenyewe tu.

Itafika mahali wataomba Ceasefire wao wenyewe tu pale maji yatakapowafika shingoni.

Hamas walivyosema Gaza itageuka makaburi na kuzimu kwa Wazayuni hawakutani!Wanaenda wanajeshi 50 wa Israel Gaza wanarudi 15 sasa si uwendawazimu huo?Wewe unapiganaje vita na watu waliokubuhu kwenye mapigano?

Unajua Israel hii vita itamcost sana na sasa hivi duniani hana support ya jamii yoyote ile katika mitazamo ya watu.

Imagine uungaji wa Palestina kidunia umepanda mpaka 80% kutoka 44% mwaka 2014.

Jana mmeona mkutano wa Bilinkelin umevamiwa na wanaharakati? Soon tutaongea lugha moja tu!! Walijificha nyuma ya media safari hii wanaumbuka mchana kweupe ziko wapi zile story za Hamas beheaded 40 Israel babies?

Nikiwaambia safari hii hadi propaganda zao zimefeli huwa namaanisha kabisa. Sasa dunia imebadilika sana labda waje kuwadanganya baadhi ya wafia taifa lao huku Africa ambao wengi shule na uelewa hamna.

Aibu ambayo Israel ameanza kuipata ni noma tupu subirini Hezbollah wajiunge na hiyo vita ndo Wazayuni watajua hawajui.
Tembelea page ya IDF utaelewa!
 
Huu ni wakati wa Serikali ya Tanzania kuvunja mahusiano na Israel haraka sana kwa yanayoendelea huko Gaza!!

Huko nyuma tuliwahi kusema kuwa "kila mtu anastahili haki ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake". Pia tulisema kwamba kila watu wana haki ya kuwa na mahali ambapo watakuwa salama kutoka vitisho vyovyote vya utu wao na nafasi yao kama jamaa.

Tokea enzi za Nyerere tuliamini ya kwamba hakuna mwanadamu mwingine ambaye ana haki ya kumtawala kwa nguvu mwanadamu mwingine kwa kisingizio chochote kile. Hii ilikuwa ni falsafa yetu dhidi ya ukoloni.

Leo hii tunashuhudia yanayoendelea Palestina ambapo karibu maelfu ya watu wameshauawa. Je, Bunge linapokutana siku chache zijazo zilaani mauaji hayo? Je, serikali ilaani pande zote mbili kwa kusababisha mazingira ambayo yanamnyima mwanadamu nafasi ya kuwa huru kufanya lolote? Tunapaswa tuungane na nchi nyingine mfano Bolivia ambazo zimevunja uhusiano na Israel kutokana na suala la Gaza

Hatuwezi kuendelea kulisapoti taifa la kigaidi ambalo lina mchango mkubwa wa ubaguzi wa Rangi na.ambalo limeshiriki kuwaangamiza Waafrika wengi mfano wakati wa makaburi walitoa misaada ya kila aina kwa makaburu ili waendelee kuwauwa watu weusi kule Africa ya kusini bado zile cases za waafrika waethiopia kufungwa vizazi wasizae kwa nguvu!

Kwa yanayoendelea naiomba serikali ivunje uhusiano mara moja na huu utawala katili wa Israel View attachment 2799632View attachment 2799631View attachment 2799633View attachment 2799634
Tanzania hata usipoitambua Israel haitasaidia kitu, kinachoendelea hapo ni kutimiza kwa unabii wa miaka ya 580 BC. Manabii Ezekiel, Zakaria, Yeremia, Amos... wote walitabiri Israel ataondoshwa kwenye nchi aliyopewa na kutawanywa baada ya kumwasi Mungu, lakini pia Mwenyezi Mungu aliahidi kuwarudisha kama Nabii Amos 9:15, na ilitimia mwaka 1948, na haikuishia kuwa watarudi tu, Bali wakirudi hakuna atakayewatoa. Wewe Tanzania hata ukivunja ubalozi wako haitapindisha alichokisema Mwenyezi Mungu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom