LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Ila jua kuwa Mungu wa kweli hayupo kwa waislam wala wayahudi.
Wote hawa wameukataa ukweli na kupungukiwa Neema ya Mungu.
Hawa ni watu wamachafuko
Dini ya yesu ilikua uyahudi,yesu hakuwa mkiristo,hii ni kwa mujibu wa biblia, ukiristo umeundwa na paulo
 
Dini ya yesu ilikua uyahudi,yesu hakuwa mkiristo,hii ni kwa mujibu wa biblia, ukiristo umeundwa na paulo
Ukristo ni ufuasi wa kristo. Na Paulo pia baada yakuongoka akawa mfuasi wa kristo.
Kwa maana hiyo ukristo sio dini. Ukisikia mtu anasema yeye ni mkristo maana yake anayafuata mafundisho ya Yesu kristo.
Yesu alipingana na wayahudi wazi wazi.
Mafundisho ya kristo hayafanani kabisa na mafundisho ya kiyahudi. Na ndio maana wayahudi walimkataa kabisa kristo hasa kutokana na mafundisho yake. Wakasema kapagawa na pepo.
 
Ukristo ni ufuasi wa kristo. Na Paulo pia baada yakuongoka akawa mfuasi wa kristo.
Kwa maana hiyo ukristo sio dini. Ukisikia mtu anasema yeye ni mkristo maana yake anayafuata mafundisho ya Yesu kristo.
Yesu alipingana na wayahudi wazi wazi.
Mafundisho ya kristo hayafanani kabisa na mafundisho ya kiyahudi. Na ndio maana wayahudi walimkataa kabisa kristo hasa kutokana na mafundisho yake. Wakasema kapagawa na pepo.
Mbona akifuata taratibu za kiyahudi!?..Wala hakukaa kwenye mabenchi kufanya Ibada,hakutoa mapepo,kufufua Wala kuponya kwa kusema 'kwa jina langu pepo toka'..yesu haujui ukiristo,Paulo alimpinga yesu,alipoondoka akajifanya katokewa na yesu na hapo kuanza kuhubiri Imani ambayo yesu hakuifundisha,Paulo ni tapeli na dini yake ni ya kitapeli
 
Picture[emoji1313][emoji1313]Elderly Palestinian couple look at their house that they were kicked out of which is now inhabited by settlers from Brooklyn.

Hawa wapumbavu wangeletwa Uganda sahizi TZ na Kenya zisingekuwepo maana wangekua washachukua ardhi wakidai wana agano na Mungu upumbavu mtupu hadithi za kwenye makaratasi hizo hazina mashiko yoyote .View attachment 2801220
Mtoa mada leta ushahidi acha porojo na uwongo

Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
 
Ila jua kuwa Mungu wa kweli hayupo kwa waislam wala wayahudi.
Wote hawa wameukataa ukweli na kupungukiwa Neema ya Mungu.
Hawa ni watu wamachafuko
F9mH7yNXsAANBiL.jpeg
 
Mbona akifuata taratibu za kiyahudi!?..Wala hakukaa kwenye mabenchi kufanya Ibada,hakutoa mapepo,kufufua Wala kuponya kwa kusema 'kwa jina langu pepo toka'..yesu haujui ukiristo,Paulo alimpinga yesu,alipoondoka akajifanya katokewa na yesu na hapo kuanza kuhubiri Imani ambayo yesu hakuifundisha,Paulo ni tapeli na dini yake ni ya kitapeli
Upo serious kweli?
Yesu hakutoa mapepo?
Yesu hakufufua wala kuponya?
Atasema vipi kwa jina la Yesu wakati yeye ndiye?
Screenshot_20231031-082314.jpg
 
Ndio nini hiki?
Kumbuka hapo Mwanzo ulisema jamii zote hizo mbili zilimkataa Yesu. Nami nikakuletea hiyo picture kuwa it's very unfortunate kwani huyo waliyemkataa ndiye anayeweza kuwaletea karibu wakaishi kwa Amani. Na ushahidi upo Kuna wayahudi ambao wamekuja kuwa wakiristo na Waislam ambao wamekuja kuwa wakiristo na sasa wanaishi kwa Amani na kuaminiana
F9mH7yNXsAANBiL.jpeg
 
Wewe tatizo lako unaandika kiushabiki ulio jaa chuki dhidi ya Dini zingine.......wa Kenya wengi hawanaga upuuzi wako economic oriented tafauti na wewe, wewe ni mpuuzi sana hazijengi au kuelimisha mtu zaidi ya kueneza chuki tu.

Naandika ilivyo, mumejazwa chuki sana kwenye hiyo dini, maandiko yenu yanahubiri chuki na mauaji tu, leo hii tupo kwenye shida yote hii kisa dini yenu, hamkai kwa amani na dini zingine ni vurugu tu....

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Wajinga tu wanaounga mkono ugaidi!

Ni wajinga tu wanaosema eti Israel inaweza kuhangaishwa na Vinchi vya kiarabu!

Israel ni nchi yenye kuhangaishwa na Urus, China na Korea angalau
 
👉Uzi umejaa chuki tupu sishangai kuona Kenya ukabila hauishi.

👉Wewe jamaa huko kwenu Kenye hakuna forums mpaka kutwa ushinde forums za bongo unasambaza chuki na kushabikia vita

👉Kwa taarifa yako unayoyaona hapa jukwaani siyo yaliopo mtaani. Tanzania watu wa dini zote tumaheshimiana na kuishi kwa upendo lengo lako la chuki halitofanikiwa chuki zako peleka kwenu Kenya

Unaongea kuhusu chuki, hivi haya maandamano ya waislamu kupinga ujenzi wa kanisa yalifanyika nchi gani, hii ni chuki ya aina gani yaani


View: https://www.youtube.com/watch?v=pcwvILodCKM
 
Wewe tatizo lako unaandika kiushabiki ulio jaa chuki dhidi ya Dini zingine.......wa Kenya wengi hawanaga upuuzi wako economic oriented tafauti na wewe, wewe ni mpuuzi sana hazijengi au kuelimisha mtu zaidi ya kueneza chuki tu.
Hii comment umeandika ukiwa umefura kweli kweli kwa hasira mpaka unamfokea mtu kwa ID yake.Si ajabu huyu unaemwita Mkenya akawa Mluguru[emoji4]
 
Israel imevuka defensive line iliyokuwa na vizuizi kama mines na firing positions za anti tank missiles. Haijavunja ngome zile hazikuwa ngome.

Ila kwa muendelezo wao natarajia kufikia kesho asubuhi watakuwa wameitenga North Gaza na Gaza nyingine. Jana walibakiza 3km kuitenga, leo walikuwa wamebakiza kama 1km waungane upande wa ufukweni. North Gaza ikiwa cut off hakuna kitu kitaingia na kutoka bila IDF kujua unless maandaki yaliyosalia yatumike.

After that, wanajeshi wanajaa hapo N. Gaza then next move itapangwa wanaelekea wapi. Nilitarajia resistance kubwa ya Hamas ila sijaona, pendekezo la Marekani la kutaka IDF ifanye movements ndogondogo taratibu naona linafanya kazi. Hamas ni kama waitarajia makumi ya maelfu ya wanajeshi kwa pamoja waingie.

North Gaza ndio ina miundombinu mingi ya mortars, rockets zenye range ndogo na ATGM. Khan Younis kuna makazi mengi pamebanana zaidi. Rafah hamna silaha kabisa uko
View attachment 2801186
Mossad ililala sana hadi hao jamaa wakajipanga hivyo, baada ya vita kuna kashkash kibao zitatokea
 
HAMAS waona isiwe tabu, waachia ngome na kukimbia, sasa sielewi kwanini watelekeze ahadi ya mabikira.

Jameni kama kuna siku Wapalestina watarudi Gaza lazima watakua na ugomvi baina yao maana panaendelea kugeuzwa shamba, itagua vigumu kujua mipaka ya viwanja vya watu, ulikua ujinga sana kuichokoza Israel.

[IMG alt="Israeli troops operate inside the Gaza Strip on November 1, 2023.
(IDF)"]https://static.timesofisrael.com/www/uploads/2023/11/WhatsApp_Image_2023-10-31_at_14.50.42-e1698864203169-640x400.jpeg[/IMG]

Israeli troops operate inside the Gaza Strip on November 1, 2023. (IDF)
IDF Spokesman Rear Adm. Daniel Hagari says ground forces have broken through Hamas’s front lines of defense in the northern Gaza Strip.

“The ground operation is progressing as planned,” he says. “With advance planning, precise intelligence, and joint attacks [from the land, air, and sea], our forces broke through Hamas’s front lines of defense in the north of the Gaza Strip,” Hagari says.

Kiongozi wa Hamas alie panga kuchinja wa Israel alisahau kuwa hayo majamaa kwa Jina yanaitwa Israel... Utasikia mtu ameitwa na Israel Yani hao walipogana vita mwanzo mpaka mwisho so usiwaguse watakupoteza. Kizazi cha Hamas kitapotea na hakitokuwepo tena. Iran ajiandae...
 
Back
Top Bottom