LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Nasikia kukubali kuwachia matekwa wote na wafungwa wa Hamasi, mwimba umemkaa papaya si alijidai hasimamishi vita mpaa wawachiliwe matekwa wote.

Pili anatafuta njia yakutoka Gaza sababu hawezi pigana bila kuwauwa watoto, wanawake na dunia nzima inalalamika wanasema huyo anacho fanya genocide, anawakimbia Hamasi anaenda uwa watoto wanawake na wagonjwa sa kupigana na Hamasi hawezi na kuendelea kuwauwa watoto hata America kanza kuona kuna hatari upande wake.

Achague mawili pigana na Hamasi au kubali huwawezi
Hata wale majasusi wameachiwa?
 
Haitustui sisi waisrael tushawahi uawa maelfu lakini Adui akitiwa Mkononi mwetu na Mwenyeenzi Mungu Wetu hatumuachi.

Kwenye Vita Mojawapo Mfalme Wetu Sauli watoto wake waliuawa na hata yeye akajiua. Mungu akatuletea Daudi Tikashinda Vita nyingi Mno. Hata sasa Tuna Netanyahu Mungu anatupigania Tutashinda.
Netanyau kaitumbukiza Israel kwenye shimo reefu.
 
Vita ni vita murah.....Wazayuni wanazidi kuangamizwa huko Gaza haya mpwa wa kike wa Netanyahu nae ameangamizwa huko Gaza

Mpaka sasa idadi wa wanajeshi wa kizayuni walioangamizwa huko Gaza na mpakani na Lebanon ni karibia 900!!

Today Al-Qassam Brigades killed soldier Barkitzi Matania Artzi in Gaza, the younger niece of Sara Artzi, the wife of Prime Minister of Israel Netanyahu.
View attachment 2811903
Bro kwani hayo maandamo ya akina Ponda, yanasemaje?
 
Palestina Palestina uko wapi palestina mungu wako nakutafuta palestina mbona umetenda aya.......
 
Today Al-Qassam Brigades killed soldier Barkitzi Matania Artzi in Gaza, the younger niece of Sara Artzi, the wife of Prime Minister of Israel Netanyahu.
View attachment 2811903

Kati ya huyo binti, na huyu bwana Jonathan Netanyahu, nani yuko karibu naye zaidi?

Familia ya Netanyahu walishampoteza vitani ndugu yao wa damu Jonathan Netanyahu mwaka 1976 and they cared less! Sembuse huyu ndugu wa mkewe?

images (1).jpeg
 
Eti wanajeshi 900 hahahahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hamasi wa bongo bhana.
 
Vita ni vita murah.....Wazayuni wanazidi kuangamizwa huko Gaza haya mpwa wa kike wa Netanyahu nae ameangamizwa huko Gaza

Mpaka sasa idadi wa wanajeshi wa kizayuni walioangamizwa huko Gaza na mpakani na Lebanon ni karibia 900!!

Today Al-Qassam Brigades killed soldier Barkitzi Matania Artzi in Gaza, the younger niece of Sara Artzi, the wife of Prime Minister of Israel Netanyahu.
View attachment 2811903
Kila siku anapewa mapendekezo ya kuachiwa mateka huru anapuuza.Anadhani nguvu ya mabomu ndio ushindi wa vita.
 
Hapo ndoo utajua kama hujui sisi wa tz tunatukanana matusi makubwa kisa waarabu na wayahudi,wao wamechagua watwangane wewe mtz kinakuuma nini hadi utoe mitusi mikubwa mkubwa kwa mtz mwenzako?nyie wote hamnazo ila kichwani mmebeba makamasi
 
Inaonekana huko Israel vijana wamehamasika kujiunga na jeshi na kupigana bila kuangalia hadhi au ni lazima?

Hivi bongo kweli jamaa wa viongozi kwa sasa wanaweza kwenda frontline?
 
Sasa we maralia shetani ( majini) ni rafiki yako utaendaje mbinguni?
 
Back
Top Bottom