LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Kwa sababu walikuwa wanapigana kwa sababu ya allah basi wapewe totoz 72 kwa haraka sana hapo fasi ya dwasi.
 
Pole kwa kufikiri bepari anaridhika.

Ameingia Gaza na hatoondoka.

Kuiba au kupita so Kwamba huna Bali Ni kuaccumulate utajiri /rasilimali kadiri inavyofaa.

Marekani iliachilia usd bil 6 kwenda Iran. Iran ikawafadhili Hamas km ilivyo kawaida na kuwapa jeuri ya kuanzisha Vita. Lkn Iran mchezo mzima anaujua.

Unadhani mosad wamelala kiasi hawakua mipango ya mashambulizi ya Hamas.?

Unadhani Israel kugundua gesi yake ndiyo hataitaka na ya Gaza.

Fikiri nje ya box.


Hawa mabepari hawaingii Vita isiyo na maslahi mapana ya kiuchumi.

Hii Vita haina hata chembe ya dini Bali Ni Vita ya kiuchumi.Kwa wanaofikiri na wnatafuta habari za kina.

Kuna mengi huyajui.
Mgogoro huo kiini chake ni dini sio kingine.

Mzungu hahitaji kutumia nguvu kukunyonya.
Rudi soma biblia vizuri hata jama huiamini lakini kwq,kuwa mambo yaliandikwa mule miaka zaidi ya elfu iliyopita linganisha kuanzia kurudi kwa wayahudi na kuunda taifa lao. Mwaka 1948.

Iran hafaidiki kiuchumi na hamas wala hizbolla hivho vikundi na vingine alivyoviunda huko syria, iraq, yemen, bahrain kwanza vinamtia hasara maana anavigharimia kuviendesha na hapati kitu kwao, yeye iran anasukumwa na imani za kidini jinsi zinavyosema kuhusu nchi takatifu hususan Jerusalem. Kama ingekuwa dini sio chimbuko , majuzi nchi za kiislamu zimeitisha mkutano wa dharura kuzungumzia vita; je umewahi kusikia wamekutana kujadili kuhusu Dafur huko Sudani si hivyo navyo ni vita vinaua waislamu? Wamewahi kuitisha mkutano kuzungumzia Sahara magharibi inayokaliwa kimabavu na Muislamu mwenzao Morocco.?

Usifuate uchambuzi katika TV za hapa nyumbani ambazo ziko biased wanawaalika watu wa imani moja kuzungumzia huo mgogoro jiulize kwa nini hawawaaliki watu wa imani tofauti ili ufanyike uchambuzi kwa hoja?

hiyo gesi ya gaza hata bila vita itacbhmbwa na mataifa yenye teknolojia ya magharibi.


So long mtu mweusi au muarabu hajui kugeuza mchanga/ udongo kuwa mashine chochote kinachohusu teknolojia kitafanywa na hao weupe wenye teknolojia.
 
Unaona raha gani kumuita mwenzio kafiri we[emoji205],?
Mkishakula urojo mnawaza kukuna mbupu tu vibarazani na badae mkanywe supu kwenye mafuriko jangwani badae vyoo vyote vinajaa.
Achana nae huyo mwarabu wa kwa mparange Kwanza ukijua maana ya neno kafiri hata haina haja ya kukasirika kafiri ni mpingaji sasa yy anaupinga ukristo ni kafiri pia .
 
Kumekua na mrundikano wa vifaru na magari mengi ya Israel yaliyokutana na kipigo (ambush) katika jiji la Gaza..

[emoji298]Israeli vehicles destroyed in Gaza ambush - local media
IMG_20231113_203855.jpg
 
Kumekua na mrundikano wa vifaru na magari mengi ya Israel yaliyokutana na kipigo (ambush) katika jiji la Gaza..

[emoji298]Israeli vehicles destroyed in Gaza ambush - local mediaView attachment 2812926
Tuli kuwa tunaliswa matango pori kuwa vufaru vya Israel havipigiki ,na hapo Hamas wanatumia Ant_tank walizo jitengenezea wenyewe kienyeji hivyo hazina nguvu sana na zina hitaji kulenga target kwa ukaribu wa mita mia tu, hivyo kuwaweka hatarini ya kuuawa kwa walengaji wa shabaha.

Hamas wange kuwa na ant tank za kisasa na zenye nguvu kama walizo nazo Hizbulah tunge shuhudia kiama cha vufaru vya Israel ndani ya gaza.
 
Kafiri ukifa bado ni mkiristo ni motoni. Hili neno nitalirudia . Wengi wananifata inbox ili niwaeleze kiundani. Washashtuka
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.(Yohana 14:6).
 
Hawa jamaa wanapiga sana huko Gaza, ila tu wanajifanya kichwa ngumu. Na washukuru sana walianza na mashambuli ya anga, wangetia buti za infantry soldiers mapema wangejua hawajui.
 
Uko na vita, halafu eti usiue hata mwanajeshi mmoja, usiharibu hata kifaa chochote cha adui yako, hata kama adui huyo ananguvu za aina gani, yasipotokea hayo! Basi hao wapiganaji ulio nao ni mambuzi yote

Wamepiga hizo silaha sawa kabisa! Ila ki ukweli hiyo nchi imesambaratishwa na magaidi yanakufa kama senene!
 
Back
Top Bottom