LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Msije kusema free Palestine 🇵🇸.......sasa ile hospital nimeamrisha iwe kama uwanja wa kaitaba .........safisha mpaka majokofu ya maiti za hamas maana ni uchuro
 
Naangalia hapa BBC sioni hiyo issue, na nimeweka Al Jazeera na hakuna kitu kama hiko,

Kuweni wakweli basi
 

Attachments

  • 16999092931934266113553808379543.jpg
    16999092931934266113553808379543.jpg
    2.3 MB · Views: 4
Kuna watu wanafanya propaganda upande wa hamas kana kwamba wanalipwa na kundi hilo wakati hata haliwatambui na haliwajui, wanasukumwa na udini wao
 
Mimi niko uku Tel Aviv ila sijaona wala kusikia kitu kama icho.

#PrayForPeace 🇵🇸🇮🇱
 
[emoji298]️SUMMARY: Al-Qassam, has since this morning, destroyed or damaged 12 IOF army vehicles.

This includes:
• 7 Merkava tanks
• 1 APC
• 4 Military vehicles

• Al-Qassam also targeted an IOF infantry forces barricaded inside a building in Beit Hanoun with a TBG grenade.

(Updated 18:00 Beirut time
Hiyo ndio link? Habari hata Aljazeera haipo
 
Syed Ali Khamenei Once Said: Era Of ‘Hit And Run’ Is Over....

This is Tel Aviv Now
L

ogopa sana kupigana na mtu ambaye hana cha kupoteza, inamaana mpaka sasa Israel hawajajua makombora yanatokea wapi!
Kuna habari tatu za kushangaza sana kwenye hii vita;

1) Wanajuwa kabisa wanpigwa kuytokea wapi na wanatuma ndege za kivita kwenda kupiga na makombora ya mbali (missiles) lakini cha kushangaza wakienda walipopiga wanapigwa wao.

2) Maaskari wa kizayuni wanaotoka Ghaza wengi wanarudi kwa kupatwa na majanga ya kupiga kelele hovyo na kuona, majegajega, vitu ambavyo wengine hawavioni (hallucinations), askari mmoja kasema alikuwa kwenye kifaru kikapigwa akawahi kutoka, akaona kazungukwa na vifaru zaidi 20 akwa anapiga kelele niwachieni maisha yangu, naondoka sirudi " anasema "wakniwachia". Cha kushangaza ni kuwa wapalestina hawana kifaru hata kimoja.

3) Wayahudi wanapigana na majeshi makundi kwa makundi lakini wanayaona wao tu.

Sasa hivi mazayuni wanachukuwa wanajeshi wa kulipwa (merceneries) kutokea dunia nzima, wanawalipa Dollar 4,0000 kwa wiki.

 
Back
Top Bottom