mfanyakazfake
Member
- Feb 14, 2023
- 23
- 42
African countries are not concerned[emoji848][emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Should we?African countries are not concerned[emoji848][emoji848]
African countries are not concerned[emoji848][emoji848]
View: https://twitter.com/manniefabian/status/1725846308299170266
Hivi wadau waliokuwa wanasema Hamas ni watabe wa vita vya ardhini na mitaani wako wapi?
Israel anajibu mapigo kwa kushambulia wodi ya wazazi,ndio maana hezbollah anamnyoosha kashamwambia majeshi tupasuane ukishambulia raia na mimi nnaua wako ukishambulia kambi na mimi nnashambulia kambi.Mimi huwa nawashangaa wafia dini akiuawa muisrael mnashangilia mnawapongeza Hamas ila Israel ikijibu mapigo mtalalamika mtapaza sauti wapalestina wanauawa UN ipo wapi,umoja waarabu upo wapi,
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Hezbollah anakuja kufutwa kama HamasIsrael anajibu mapigo kwa kushambulia wodi ya wazazi,ndio maana hezbollah anamnyoosha kashamwambia majeshi tupasuane ukishambulia raia na mimi nnaua wako ukishambulia kambi na mimi nnashambulia kambi.
Akili zinakutosha kweli! Hezbollah ndo afute Israel? Waambie wakakomboe milina ya Golani kwanza, yaani nchi yenye jeshi ndo ifutwe na Hezbollah? Are ok! Hezbollah hawezi hata kuishinda South Sudan nchi mpya ya Africa. Baada ya tumaini lako Hamas kushambuliwa na kunyanganya ardhi ya Gaza kaskazini umehamie Hezbollah, Hezbollah ikipigwa sijui utahamia wapi? Huothi au Boko Haram au Janjaweed?Israel anajibu mapigo kwa kushambulia wodi ya wazazi,ndio maana hezbollah anamnyoosha kashamwambia majeshi tupasuane ukishambulia raia na mimi nnaua wako ukishambulia kambi na mimi nnashambulia kambi.
MWANAJESHI HUYU ALISEMA WAPALESTINA WAFUTWE WOTE NAYE AMEFUTWA NA HAMAS
Huyu mwanajeshi mzee wa Israel alitrend sana Alisema wapalestina ni wanyama na wanapaswa kuuawa wote na kufutwa wote hatimaye naye kauawa na Hamas..Alienda mbali zaidi kwa kuwahasisha IDF wauwe wanawake na watoto!!
Everything that calls for genocide to be committed in Gaza is being done by Netanyahu & his Zionist gang.
They called a 95 year old Zionist reservist to talk with the soldiers, in order to raise morale !
Listen to him encouraging the zionist soldiers to kill every Palestinian or even Arab !
Announcing the killing of the Zionist general - and me Ezra Yashin, 95 years old, After confirmation by DNA testing, 8 soldiers were targeted in the Tiger armored vehicle and burned until they were charred. Ezra is a participant in the 1948 massacres. The beginning of the war on October 7 circulated a clip of him urging the soldiers, “Kill them to leave none of them.”View attachment 2817479View attachment 2817480View attachment 2817481
Yaani wanachofanya IDF huko Gaza kama hawatapata Dili la kufundisha jeshi la China, niite Mbwa, China wanasumbuliwa na tatizo la UgaidiKina Malaria 2 na genge lake wapo Gaza kwenda kuokoa jahazi.
Kwahiyo Hamas wameshinda vita?? Ni mpumbavu tu ambaye anaweza kushangaa mwanajeshi Kufa akiwa vitani. Unless hujui maana ya vita. Pedoz na KOBAZMWANAJESHI HUYU ALISEMA WAPALESTINA WAFUTWE WOTE NAYE AMEFUTWA NA HAMAS
Huyu mwanajeshi mzee wa Israel alitrend sana Alisema wapalestina ni wanyama na wanapaswa kuuawa wote na kufutwa wote hatimaye naye kauawa na Hamas..Alienda mbali zaidi kwa kuwahasisha IDF wauwe wanawake na watoto!!
Everything that calls for genocide to be committed in Gaza is being done by Netanyahu & his Zionist gang.
They called a 95 year old Zionist reservist to talk with the soldiers, in order to raise morale !
Listen to him encouraging the zionist soldiers to kill every Palestinian or even Arab !
Announcing the killing of the Zionist general - and me Ezra Yashin, 95 years old, After confirmation by DNA testing, 8 soldiers were targeted in the Tiger armored vehicle and burned until they were charred. Ezra is a participant in the 1948 massacres. The beginning of the war on October 7 circulated a clip of him urging the soldiers, “Kill them to leave none of them.”View attachment 2817479View attachment 2817480View attachment 2817481
Yaani wanachofanya IDF huko Gaza kama hawatapata Dili la kufundisha jeshi la China, niite Mbwa, China wanasumbuliwa na tatizo la Ugaidi
Umewahi kuona kambi ya Hamas juu ya ardhi?.Israel anajibu mapigo kwa kushambulia wodi ya wazazi,ndio maana hezbollah anamnyoosha kashamwambia majeshi tupasuane ukishambulia raia na mimi nnaua wako ukishambulia kambi na mimi nnashambulia kambi.
Tunafurahi kwasababu aliyeuwawa ni mwanajeshi. Tunasikitika unapolipiza kwasababu unalipiza kwa raia tenaMimi huwa nawashangaa wafia dini akiuawa muisrael mnashangilia mnawapongeza Hamas ila Israel ikijibu mapigo mtalalamika mtapaza sauti wapalestina wanauawa UN ipo wapi,umoja waarabu upo wapi,
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Tanzania yenyewe vitu vingi sana vya kijeshi imejifunza na inajifunza na itaendelea kujifunza toka Israel. Hata mifumo kadhaa ya kiulinzi inanunuliwa toka Israel especially hii ya kuingilia mawasiliano.Yaani wanachofanya IDF huko Gaza kama hawatapata Dili la kufundisha jeshi la China, niite Mbwa, China wanasumbuliwa na tatizo la Ugaidi
Kobaaz, Israelphobia, wavaa pyedooz, wa mabushaaz waliropoka sana hapa jf leo hii yamewashinda wanaanzisha nyuzi za kusema Israel wanavunja intl law eti wanacommit war crimes ila wakati magaidi hamas ile tareh 7 yalipoteka na kuua Israelis na wengine wasio na hatia kama mtanzania Clemence Mtenga walifurah sanaaaa dah kweli utukufu wa mwisho wa nyumba ile utakuwa mkubwa sana na bado hili ni trailer tu.Hivi wadau waliokuwa wanasema Hamas ni watabe wa vita vya ardhini na mitaani wako wapi?