babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Akili yako ndogo sana,hao mateka ukiambiwa ni mapandikizi ya wake zao hao Hamas na watoto wao utachoka.mateka wanasema walikuwa wanakaa kwenye nyumba siyo mahandaki kama tunavyoamishwa😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili yako ndogo sana,hao mateka ukiambiwa ni mapandikizi ya wake zao hao Hamas na watoto wao utachoka.mateka wanasema walikuwa wanakaa kwenye nyumba siyo mahandaki kama tunavyoamishwa😂
Israel imefikia hatua hiyo?Hamas wamenikosha.The country has declared a state of emergency
Muhammad alibaka katoto kadogo kanaitwa Aisha akasema ni Mkewe,Wavaa makobanga sidhani kama mnajitambua kumuabudu Mbakaji!Yesu mvaaji makobanga namba moja
Mungu ambariki huyo Muha... Kwa kubomoa kitoto cha kikeMuhammad alibaka katoto kadogo kanaitwa Aisha akasema ni Mkewe,Wavaa makobanga sidhani kama mnajitambua kumuabudu Mbakaji!
Hakuna jeshi lenye kushinda vita isiyo na military objectives.
Sasa ukimuuliza Netanyahu anapigana ili aachive nini, atasema kuwa ni kuitokomeza HAMAS. Sawa uwezo wa kuitokomeza HAMAS anao lakini kwa kuikalia Gaza Nzima, tena kwa muda mrefu. Je anao uchumi wa kukalia watu milioni 2 in full combat gear?, au anategemea mjomba USA ampe maokoto?
We bado umekariri ya mwaka 47,, hata sie tulijua Israel ukipiga bomu linadunda kwa ulinzi na teknolojia waliyonayo,, kwa sasa ona kinachowakuta,, wanakufa kama kuku ingawa wanaficha idadi kamili, tena wao wanakufa askari,, tofauti na wapalestina wanaokufa wengi ni wagonjwa, vitoto, na akinamama na ukumbuke hao wanaopigana nao ni wanamgambo Ambao hawana hata kifaru wala ndege,, zaidi ya ma rpg na manati, mawe na magobore..kama waliweza kukalia Sinai nzima,eneo la syria na lebanone kwa wakat mmoja tena miaka hyo 1967 watashindwa leo!!
Shida mnalia sana wakipga kidogo mnakusanya watoto na wamama waliokua pamoja na hamas kuililia dunia isingekua hivo Gaza yangebaki majivu
kwan walienda kumkomboa mtu kule Gaza?Inamaana mateka wake waliotekwa bado tu hajawaona na akawakomboa
Au wapo kwenye hio nusu ilobakia [emoji3][emoji1787][emoji3]
Anadhani Yesu alikuwa anavaa Moka kama kadinari PengoYesu mvaaji makobanga namba moja
Duh nina shaka na hii habari. Kama mayahudi yanapewa kipigo ni jambo la kufurahisha. Unajua mayahudi na mabwana zake marekani na ulaya magharibi wana njama kuficha au kuzuia habari zozote za kichapo kwa el yahud.Baada ya kupata kipigo kibaya ndani ya siku mbili Israel imeamua kuokoa Wanamgambo wake kwa kuwaondoa Kaskazini mwa gaza hii ni aibu kubwa kuwahi kutokea......
[emoji599][emoji1134][emoji1193] BREAKING: “ ISRAEL has announced the WITHDRAWAL of 70% of their forces from the northern Gaza Strip due to the failure of their operations and because of resistance strikes.
The withdrawal from the northern Gaza Strip began with the truce and accelerated with the resistance strikes in the last two days.”
— Al Jazeera, citing a leading source in Al-Qassam
Wewe si shabiki madanzi tu kinaENDELEENI KUJIDANGANYA
Hizi ni za 7th October Lete za janaView attachment 2833283
Ww sema wavaa kobaz tu wenzako hao hapo napo wanabuluzwa km wezi
Sasa ndugu yaani leo unavaa vazi lililovaliwa miaka 2000 iliyopita?Anadhani Yesu alikuwa anavaa Moka kama kadinari Pengo
Mazayuni lazima wachakaeWewe si shabiki madanzi tu kina
Netanyahu na wenzake ndiyo wanajua wanachokutana nacho Gaza.
Israeli military expert "Barham Meir" on Channel 12: We have to admit that "Hamas" has won and the continuation of the struggle will lead to the great fall of the Israeli army. He says that within 24 hours, 25 vehicles were destroyed, if we assume that 3 soldiers were killed in each vehicle, the number is 75, a loss that Israel has not suffered in its history