LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Sheikh imepita week sasa tangu mmbondwe kwenye utosi lakini hamja jibu popote pale vipi mme ingia ubaridi?
 
Kama unadhani wa Oman Wana huruma, hebu muulize msichana yoyote ambaye amefanya kazi za u housegirl Oman.
Kwani mkuu Kila anayevaa kanzu ni Muislam? Usikalili Muislamu wa kweli hawezi kufanya unyanyasaji wa aina yoyote kinyume chake si Muislam rejea makundi ya kigaidi ni nani aliyeyaanzisha na ili iwaje,tambua waislam hatutendi uzuri ili utusifie ila ibaki uelewe soma misingi uuelewe usitangulizwe na mahaba ya kuishi gizani/kukosa dini ili uhalalishe uliyonayo
 
Kwani mkuu Kila anayevaa kanzu ni Muislam? Usikalili Muislamu wa kweli hawezi kufanya unyanyasaji wa aina yoyote kinyume chake si Muislam rejea makundi ya kigaidi ni nani aliyeyaanzisha na ili iwaje,tambua waislam hatutendi uzuri ili utusifie ila ibaki uelewe soma misingi uuelewe usitangulizwe na mahaba ya kuishi gizani/kukosa dini ili uhalalishe uliyonayo
Mkuu. Wapi nimetaja uislam?
Najua kwamba sio waomani woteb Ni waislamu japo Wana majina yanayo tumiwa na waislamu. Kama hapa kwetu, sio kila juma au khamis Ni muislamu.
 
Huwezi kuwalinganisha waajemi na vitu vya hovyo, yaani waarabu.
kahtaan
We mkolosai husikii raha mpk umtaje mufti kahtaan.
Neno Ajemi asili yake ni kutoka ktk Lugha YA KIARABU. ( العجميه.) Na kiswahili maana yake ni (WASIOKUWA WAARABU)
SAsa vipi waarabu na WASIOKUWA WAARABU wakawa sawa?;🤣🤣
Ndo maana waungwana wanasema USINGIZI WA MWENYE ELIMU ni BORA kuliko ibada ya siku nzima ya MJINGA.
 
Kama unadhani wa Oman Wana huruma, hebu muulize msichana yoyote ambaye amefanya kazi za u housegirl Oman.
Wacha kuandika utumbo ewe maswara usie na elimu.
Mimi mtanzania na nimeishi Oman.
Leta ushahidi hapa kutoka serikalini kuwa kuna house girl aliwahi kuteswa Oman.

Balozi wa Tanzania alifanya ziara kwa wale wote wenye kujirekodi unafiki akatoa taarifa kwenye vyombo vya habari kuwa walikuwa wote Waongo Wanaotafuta umaarufu wa kijinga kwenye mitandao.
Matokeo yake wakafukuzwa kazi.

Leo hii wako buza wameshapigwa mimba na wavuta bange.
Unafiki umewatia adabu .
Ile kula bure na kulala bure na mshahara 700,000 kwa mwezi imeisha fasta.
 
Wacha kuandika utumbo ewe maswara usie na elimu.
Mimi mtanzania na nimeishi Oman.
Leta ushahidi hapa kutoka serikalini kuwa kuna house girl aliwahi kuteswa Oman.

Balozi wa Tanzania alifanya ziara kwa wale wote wenye kujirekodi unafiki akatoa taarifa kwenye vyombo vya habari kuwa walikuwa wote Waongo Wanaotafuta umaarufu wa kijinga kwenye mitandao.
Matokeo yake wakafukuzwa kazi.

Leo hii wako buza wameshapigwa mimba na wavuta bange.
Unafiki umewatia adabu .
Ile kula bure na kulala bure na mshahara 700,000 kwa mwezi imeisha fasta.
Nawe ulikua house girl huko?
 
Hamas wamewaua wanajeshi 14 wa Israel walivyowavamia kwenye kambi na kuwamaliza hao 14 papo hapo

Hili linajitokeza wakati ambapo hadi sasa Israel hajapata handaki hata moja la Hamas wala mateka hata mmoja hajaokolewa

Wakati huo huo Hezbollah wametangaza kuiangusha ndege ya kisasa na ghali ambazo haitumii rubani ya Israel ya Hermes 900 ambayo thamani yake ni bilioni 220 ndo ndege bora kabisa ambayo haitumii Rubani ya Israel ambapo pia hizi drone hamas walishazidaka kadhaa

Inaonekana vita bado ni mbichi, huko Telaviv hali ni mbaya watu wamemchoka netanyahu na utawala huo wa Israel unaenda kuangushwa na wananchi wake wenyewe ni suala la muda tu

My take:IDF mbele ya Hamas ni tepetepe tu hawawezi vita ya nchi kavu
20240407_142939.jpg
View attachment 2956493
 
About an hour ago, a volley of rockets were fired from Gaza towards occupied settlements surrounding gaza it on the 6 month anniversary of the start of the war.

Hamas has not ran out of rockets after 6 months of constant fighting. This is the biggest defeat the zionists have had

Minutes after the Israeli army proudly announced that it had dismantled the Khan Yunis Brigade, the Palestinian resistance launched rockets at Israeli cities.

A new lie from IDF being promoted to the Israeli people in an attempt to calm them down.
20240303_215957.jpg
 
Hamas wamewaua wanajeshi 14 wa Israel walivyowavamia kwenye kambi na kuwamaliza hao 14 papo hapo

Hili linajitokeza wakati ambapo hadi sasa Israel hajapata handaki hata moja la Hamas wala mateka hata mmoja hajaokolewa

Wakati huo huo Hezbollah wametangaza kuiangusha ndege ya kisasa na ghali ambazo haitumii rubani ya Israel ya Hermes 900 ambayo ndo ndege bora kabisa ambayo haitumii Rubani ya Israel ambapo pia hizi drone hamas walishazidaka kadhaa

Inaonekana vita bado ni mbichi, huko Telaviv hali ni mbaya watu wamemchoka netanyahu na utawala huo wa Israel unaenda kuangushwa na wananchi wake wenyewe ni suala la muda tu

My take:IDF mbele ya Hamas ni tepetepe tu hawawezi vita ya nchi kavuView attachment 2956494View attachment 2956493
Israel bila misaada ni bora hata Janjaweed
 
Hezb-Allah shot down the first $85 million Hermes 900 UAV since the beginning of the conflict.

Looks like they received some new toys
20240407_144854.jpg
 
  • Thanks
Reactions: 511
Back
Top Bottom